Mwanasayansi anasema dini ni ugonjwa wa akili

Mwanasayansi anasema dini ni ugonjwa wa akili



Mkuu,kama hutojali waweza kutudokezea walau kiduchu dini gani hizo zinazouwa uwezo wa kufikiri.
Nyie wenzetu ambao hamuamini kuwa Mungu yupo hivyo hamuamini mafundisho ya vitabu vya dini munaishije wenzetu.
Yaani mnaishi kwa kufuata taratibu gani ?
Maana sisi hizo dini zinatukataza kufanya mambo fulani na zinaturuhusu kufanya mambo flani.
Kwa mfano Bwana Yesu Kristo alituagiza tusifanye jambo litakalo muudhi jirani na pia tumpende Mungu aliyetoa hayo maagizo.
Sasa mimi nakuulizeni ninyi msio na dini,

Ivi mnafuata katiba ya nchi pekee ?

Kama mnasheria nyingine mnazozifuata hebu mtueleze na sisi wenzenu ili nasi tuzipime kama tunawaza kuzifuata.

Zaidi ya katiba ya nchi, kuna sheria nyingine mnazozitii ?

Tell us Mr. Keyon.
 
[emoji261]KWA NINI KUNA MKANISA MENGI!?[emoji261]
[emoji117]sehemu 01

[emoji116].
Tunatazama kila mahali na kuona kitu gani? Makanisa kila mahali, makanisa mengi tofauti, yote yanafundisha mafundisho tofauti, yote yana majina tofauti, yote yakijaribu kumtumikia Mungu mmoja. Kwa nini? Kwa nini makanisa mengine hufundisha wokovu ni kwa njia ya neema peke yake? Kwa nini mengine yanafundisha wokovu ni kwa njia ya imani peke yake a mengine wokovu ni kwa njia ya matendo? Tutafundishaje, wote mafundisho tofauti kuhusu njia ya wokovu na wakati huo huo kudai kwamba tumeunganika sote katika Kristo? Naamini sababu moja ya kuwa na makanisa mengi ni ya kukosa kulifahamu neno la Mungu. Katika Mat. 22:29 Yesu alijibu swali kwa kusema, “Mwapotea kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.” Watu hufundishwa vitu tofauti na wanaviamini kwa sababu hawaifahamu Biblia na yale yanayofundishwa na Biblia. Hata mtume Paulo alisema, kwamba maisha yake ya dhambi kabla ya kufanyika kuwa Mkristo aliyatenda katika ujinga na kwa kutokuamini, 1 Tim. 1:13. Ujinga siyo kisingizio, Mungu anatutaka tuufahamu ukweli. Yesu alisema, “Tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.” Yoh. 8:32. Kwa kuifahamu kweli tutaitii kweli. Ikiwa hatuyafahamu yanayofundishwa katika Biblia, ni rahisi kupotoshwa na mafundisho ya uongo. Sababu nyingine inayofanya kuwe na makanisa mengi ni ya kwamba kuna watu wengi ambao hawafundishi neno la Mungu inavyostahili. Biblia inatuonya mara nyingi kuhusu walimu wa uongo wanooweza kutuongoza dhambini. “Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, ikiwa yamkini hata walio wateule.” Math. 24:24. “Yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa kutenda kwake shetani, kwa uwezo wote, na ishara za uongo; na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea, kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa, kwa hiyo Mungu awaletea nguvu ya upotevu, wauamini uongo; ili wahukumiwe wote ambao hawakuamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.” 2 Thes. 2:9-12. “Basi Roho anena wazi wazi kwamba nyakati za mwisho, wengine watajitenga na imani wakisikiliza Roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani, kwa unafiki wa watu wasemao uongo wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe, wakiwazuia watu wasioe na kuwaamuru wajiepushe na baadhi ya vyakula ambavyo Mungu aliviumba vipokelewe kwa shukurani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli,” 1 Tim. 4:1-3. (Na maandiko mengine mengi.) Biblia inatuonya tutumie kwa halali neno la Mungu (2 Tim. 2:15) hii inamaanisha kwamba neno la Mungu linaweza likatumika katika njia isiyo halali, tusipokuwa waangalifu. Ikiwa mtu anakueleza kuwa yeye ni dereva na umpe gari lako, utakuwa hatarini asipoliendeha vizuri. Anaweza kuliharibu gari lako na pengine kukuua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atheists wanajenga hoja zao kwa kuchambua mapungufu ya waumini wa dini lakini wanakosa hoja za kusukuma hoja zao kuonesha Mungu hayupo. Mtu asiyeamini uwepo wa Mungu anapofanya utafiti kujua IQ ya wanaoamini kwenye dini na wale wasioamini uwepo wa Mungu jibu lake litakuwa kwamba wanaoamini Mungu wana IQ ndogo na wasioamini wana IQ kubwa ili tu kufurahisha nafsi zao.
 
Ungetoa huo mfano hai wa dini kuchangia umaskini.
Labda hiyo dini yenu.

Kama ni dini ya Ukristo imechangia sana katika maendeleo ya uchumi wa Tanzania.

Ukristo ulijenga shule nyingi kuanzia za Msingi ,Secondary na Vyuo vya ufundi mbalimbali karibu kila mkoa wa nchi hii. Mpaka shule nyingine zikataifishwa na Serikari ya Nyerere.
Viongozi wengi ambao ni waasisi wa Uhuru wa Tanganyika na Serikari ya kizalendo iliyomrithi mkoloni walisoma katika shule za misheni za kikristo.
Hapa Daresalaam shule za kwanza kabisa kama Kibasila ni za wamisheni.
Shule za Kikristo ndizo zilizo wasomesha wanasiasa wengi hapa nchini, karibu maraisi wote wa awamu zote tano walisoma shule za
misheni.
Wamishenari wa Kikristo ni waasisi wa kuchangia huduma za jamii tokae zamani za ukoloni.
Kuna hospitari nyingi na vituo vya afya ambavyo vipo hadi leo katika maeneo mbalimbali ambavyo vilijengwa na wamishenari na huduma zake ni bora kabisa.

Fanya utafiti kabla ya kuzungumza ndugu, au ni vizuri ukaitaja hiyo dini iliyosababisha umasiki hapa nchini.
Kama ni umaskini umeletwa na uvivu wa kazi wa watu wa maeneo husika na sio dini flani.
Hata hao wanaoabudu kwenye Lorge wanatoa michango kwenye jamii na
inaonekana.
Jambo lingine kubwa linalostawisha na imani za dini ni Ustaarabu.
Hebu niambie ivi kusingekuwa na na mafundisho ya dini kabisa, leo watu wangapi wangekuwa majambazi ?
Ujue kuna mamilioni ya watu ambao hawafanyi uhalifu kwa sababu tu wanamuogopa Mungu wao.
Kuna watu wameacha wizi, uporaji, ushoga nk, kwasababu ya kuyatii maandiko ya vitabu vya dini.
Nyie mnaodharau imani ya dini mnataka watu waishi bila miiko yoyote halafu matokeo yake wanaume waandamane wakitaka kuolewa na wanaume wanzao.
Nakushangaeni sana ninyi watu sijui mnawaza nini.
Dini sio tu imesaidia, ndiyo iliyoleta maandeleo kwa watu na ndio iliyoasisi maisha ya Ustaarabu na Kuheshimiana toka zamani za kale hadi hii leo.
Mnaodharau dini sijui kama ni binadamu mliotimamu.

Mjiite tu, Mashetani.










Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau missionaries ni miongoni mwa agents of colonialism... Hivi unaweza kulinganisha hasara tulizozipata kwa sababu ya ukoloni na faida tulizopata?!!!... Obvious hasara ni nyingi kuliko Faida ... Kitendo cha wao kutu-brain wash akili zetu na kusaliti miungu wa mababu zetu hiyo ni hasara kubwa..


Tumeaminishwa mungu wa mababu zetu ni Ujinga ila tumeelrkezwa tuabudu mungu wa Yakobo .... This is absolutely insanity

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Umesahau missionaries ni miongoni mwa agents of colonialism... Hivi unaweza kulinganisha hasara tulizozipata kwa sababu ya ukoloni na faida tulizopata?!!!... Obvious hasara ni nyingi kuliko Faida ... Kitendo cha wao kutu-brain wash akili zetu na kusaliti miungu wa mababu zetu hiyo ni hasara kubwa..


Tumeaminishwa mungu wa mababu zetu ni Ujinga ila tumeelrkezwa tuabudu mungu wa Yakobo .... This is absolutely insanity

Sent From My Nokia Ya Tochi
Asante kwa mawazo,
Kwanza lazima ujue neno dini ni kitu kimojawapo kinachopatikana kwenye neno utamaduni.
Utamaduni ni utaratibu wa maisha unaofanywa na wana jamii husika.
Utamaduni wa jamii unavyokua kwa kujifunza mambo mapya huwa dini nayo inaathirika.
Kabla ya ukoloni mababu walikuwa na dini zao, ambazo sheria zake zinafanana kabisa na zilizoko sasa.
Angalia Amri Kumi Za musa ikiiacha ile ya Sabato na kuchonga sanamu, nyingine zote zilikuwo kwenye dini za mababu zetu, tatizo wao hawakuziandika tu.
Dini zote za kiafrika zilikuwa zinasema
Usiue
Usiibe
Usizini
Usitamani mke wa mtu
Usiongope
Usimwonee maskini
Waheshimu baba na mama, ndugu na majirani.
Usilale na mnyama au na mwanamume kama ulalavyo na mwanamke.
Usimtukane Mungu (mlungu)
Nk.
Karibu Torati yote ilikuwepo na iliadhimishwa na wanajamii.
Kulikuwepo na Makuhani, Wasaidizi wao na watumishi wa ngazi za chini kabisa.
Hata kabla ya kuja kwa Waarabu na Wazungu.

Hakuna kitu kilicho chakachuliwa hapo.

Ndo maana nawashangaa hao wanaopinga uwepo Wa Mungu ivi wao wamelelewa kwenye jamii ipi ?
Au hawapo karibu na mila na desturi zao ?
Kama ni sababu ya uhuru wa mawazo basi nakubaliana nao kabisa.
 
Asante kwa mawazo,
Kwanza lazima ujue neno dini ni kitu kimojawapo kinachopatikana kwenye neno utamaduni.
Utamaduni ni utaratibu wa maisha unaofanywa na wana jamii husika.
Utamaduni wa jamii unavyokua kwa kujifunza mambo mapya huwa dini nayo inaathirika.
Kabla ya ukoloni mababu walikuwa na dini zao, ambazo sheria zake zinafanana kabisa na zilizoko sasa.
Angalia Amri Kumi Za musa ikiiacha ile ya Sabato na kuchonga sanamu, nyingine zote zilikuwo kwenye dini za mababu zetu, tatizo wao hawakuziandika tu.
Dini zote za kiafrika zilikuwa zinasema
Usiue
Usiibe
Usizini
Usitamani mke wa mtu
Usiongope
Usimwonee maskini
Waheshimu baba na mama, ndugu na majirani.
Usilale na mnyama au na mwanamume kama ulalavyo na mwanamke.
Usimtukane Mungu (mlungu)
Nk.
Karibu Torati yote ilikuwepo na iliadhimishwa na wanajamii.
Kulikuwepo na Makuhani, Wasaidizi wao na watumishi wa ngazi za chini kabisa.
Hata kabla ya kuja kwa Waarabu na Wazungu.

Hakuna kitu kilicho chakachuliwa hapo.

Ndo maana nawashangaa hao wanaopinga uwepo Wa Mungu ivi wao wamelelewa kwenye jamii ipi ?
Au hawapo karibu na mila na desturi zao ?
Kama ni sababu ya uhuru wa mawazo basi nakubaliana nao kabisa.
Hii ilikuwa jamii ya kisukuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau missionaries ni miongoni mwa agents of colonialism... Hivi unaweza kulinganisha hasara tulizozipata kwa sababu ya ukoloni na faida tulizopata?!!!... Obvious hasara ni nyingi kuliko Faida ... Kitendo cha wao kutu-brain wash akili zetu na kusaliti miungu wa mababu zetu hiyo ni hasara kubwa..


Tumeaminishwa mungu wa mababu zetu ni Ujinga ila tumeelrkezwa tuabudu mungu wa Yakobo .... This is absolutely insanity

Sent From My Nokia Ya Tochi
Kumbuka Marekani nayo ilitawaliwa na Muingereza lakini leo ndio taifa linaloongoza kwa kwa nguvu za kiuchumi.
Mara nyingi onapoona umevamiwa na adui au umepata matatizo lazima ulichukulie tatizo hilo kama changamoto ya
mafanikio.
Kuna mambo mengi sana ambayo mataifa ya Afrika yalinufaika baada ya kutembelewa na watu wa nje ya bara hili, kama waarabu na wazungu.
Baada ya kukutana na Wakoloni, Jamii ya kiafrika ilinyanyuka haraka toka katika hali ya kimaisha ya Kiujima hadi kwenye Ujamaa na Ubepari.
Jambo hili lilifanya viongozi wengi wa mwazoni mwa utawala wa wazawa kuwa malimbukeni na vibaraka wa wazungu, hivyo kudhorotesha uchumi wa nchi zao.
Hadi leo hii tunaona Raisi akichaguliwa tu siku ya pili mbio za Ulaya zinaanza. Mara yupo U.S.A, mara Ufaransa.
Mikataba ya biashara yote inaandikwa hukohuko na kusainiwa hukohuko.
Ukoloni siyo chanzo cha umaskini wa Waafrika chanzo ni sisi wenyewe.
Hadi hii leo nchi nyingi za kiafrika zimebweteka na haziwezi kujitegemea kiuchumi, bado zinategemea nchi za hao wakoloni watupe msaada wa pesa taslimu na misaada mingine mingi.
Leo Tundu Lisu anaziomba nchi za ulaya ziikatie misaada Tanzania.
Huoni kuwa bado Wakoloni wanatusaidia kwa hali na mali ili tuweze kujimudu
kiuchumi ?
Je hapo tumlaumu mkoloni ?






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anachokifanya yeye ni kuibua hoja na dhana yake aliofanyia uchunguzi yeye mwenyewe.

Lakini ukweli ni kwamba Mungu hachunguziki hasa kwa akili za kibinadamu.

Watu miamoja wanaposhindana na dhana iliyoletwa Mara moja tu na wao wenyewe hukinzana kila MTU na hoja yake hilo hutoa jibu kimili kuwa wao hubahatisha tofauti na dhana ya uwepo wa Mungu iliosimama enzi na enzi.

Kabla ya sayansi alikuwa anaamini lakini baada ya kupata ufahamu ambao hajui umetoka wapi anaibuka na hoja zenye ukakasi namna hii binafsi sioingi hoja yake lakini pia sikubaliani nayo kabsa.

Mungu yupo na na ndie muasisi wa ulimwengu huu tunaouchezea Leo.

Kila kilichoumbwa kina muumbaji wake.

Mwana biologia mmoja aliwa kusema.... Kudhani kuwa uhai ni dhana ya uibukaji ni sawa na kuwepo kamusi kupatikana ndani ya chumba ikiwa imekamilika bila muandaaji.
Ingekua ni mtihani ungepata 0.001% yeye anaongelea uhusiano kati ya dini na ugonjwa wa akili lakini wewe unaongelea uwepo wa Mungu. Kwamba sisi tusioamini katika dini zenu za kufikirika ndo hatuna mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ilikuwa jamii ya kisukuma

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha..ha..ha...
Amini nakuambia
Mtoto aliyezaliwa mtaani, akatelekezwa na wazazi wake hali ya kuwa ni mchanga bado akakulia mtaani, akaishi mtaani.
Hawezi kuamini kuwa Mungu yupo.
Yeye muda wote anahangaika apate chakula na mavazi, hana ndugu wala rafiki wa kweli.
Mtoto huyo akikua hadi kufikia umri wa Che mittoga.
Kamwe hawezi kuamini kama kuna Mungu.

Poleni watoto wa mtaani.
Mlikosa malezi yanayowapata wanadamu.
Wazazi wenu hawakuwatendea haki hata kidogo.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji261]KWA NINI KUNA MKANISA MENGI!?[emoji261]
[emoji117]sehemu 01

[emoji116].
Tunatazama kila mahali na kuona kitu gani? Makanisa kila mahali, makanisa mengi tofauti, yote yanafundisha mafundisho tofauti, yote yana majina tofauti, yote yakijaribu kumtumikia Mungu mmoja. Kwa nini? Kwa nini makanisa mengine hufundisha wokovu ni kwa njia ya neema peke yake? Kwa nini mengine yanafundisha wokovu ni kwa njia ya imani peke yake a mengine wokovu ni kwa njia ya matendo? Tutafundishaje, wote mafundisho tofauti kuhusu njia ya wokovu na wakati huo huo kudai kwamba tumeunganika sote katika Kristo? Naamini sababu moja ya kuwa na makanisa mengi ni ya kukosa kulifahamu neno la Mungu. Katika Mat. 22:29 Yesu alijibu swali kwa kusema, “Mwapotea kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.” Watu hufundishwa vitu tofauti na wanaviamini kwa sababu hawaifahamu Biblia na yale yanayofundishwa na Biblia. Hata mtume Paulo alisema, kwamba maisha yake ya dhambi kabla ya kufanyika kuwa Mkristo aliyatenda katika ujinga na kwa kutokuamini, 1 Tim. 1:13. Ujinga siyo kisingizio, Mungu anatutaka tuufahamu ukweli. Yesu alisema, “Tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.” Yoh. 8:32. Kwa kuifahamu kweli tutaitii kweli. Ikiwa hatuyafahamu yanayofundishwa katika Biblia, ni rahisi kupotoshwa na mafundisho ya uongo. Sababu nyingine inayofanya kuwe na makanisa mengi ni ya kwamba kuna watu wengi ambao hawafundishi neno la Mungu inavyostahili. Biblia inatuonya mara nyingi kuhusu walimu wa uongo wanooweza kutuongoza dhambini. “Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, ikiwa yamkini hata walio wateule.” Math. 24:24. “Yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa kutenda kwake shetani, kwa uwezo wote, na ishara za uongo; na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea, kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa, kwa hiyo Mungu awaletea nguvu ya upotevu, wauamini uongo; ili wahukumiwe wote ambao hawakuamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.” 2 Thes. 2:9-12. “Basi Roho anena wazi wazi kwamba nyakati za mwisho, wengine watajitenga na imani wakisikiliza Roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani, kwa unafiki wa watu wasemao uongo wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe, wakiwazuia watu wasioe na kuwaamuru wajiepushe na baadhi ya vyakula ambavyo Mungu aliviumba vipokelewe kwa shukurani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli,” 1 Tim. 4:1-3. (Na maandiko mengine mengi.) Biblia inatuonya tutumie kwa halali neno la Mungu (2 Tim. 2:15) hii inamaanisha kwamba neno la Mungu linaweza likatumika katika njia isiyo halali, tusipokuwa waangalifu. Ikiwa mtu anakueleza kuwa yeye ni dereva na umpe gari lako, utakuwa hatarini asipoliendeha vizuri. Anaweza kuliharibu gari lako na pengine kukuua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka kwanza paragraph nitarudi kuja kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu yupo na na ndie muasisi wa ulimwengu huu tunaouchezea Leo.

Kila kilichoumbwa kina muumbaji wake.

Mwana biologia mmoja aliwa kusema.... Kudhani kuwa uhai ni dhana ya uibukaji ni sawa na kuwepo kamusi kupatikana ndani ya chumba ikiwa imekamilika bila muandaaji.

Hata hao unayoyaamini kuwa ni ya enzi na enzi ni imagination tu za watu kutokana na mwisho Wao wa kufikiria zaidi kuhusiana ulimwengu hivyo wakahitimisha kuwa atakuwa muumbaji wa ulimwengu (Mungu). Hakuna mwenye uhakika Ndio maana inaitwa imani, kwa kutumia dhana hiyo ya kwamba ulimwengu ni complex hivyo haiwezekani kujiumba wenyewe mpaka awepo wa kuviumba basi Mungu nae ni complex zaidi hivyo nae hawezi kujiumba mpaka aumbwe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ninaamini kuna muumbaji aliyevifanya vyote vionekanavyo na visivyoonekana na vyote vyenye effects zozote ktk mfumo wote wa jua, endapo ktk ukuu wake huo nikapenda kumuita kwa jina, basi nitamuita ktk hiyo popular name, yaani Mungu!
Huyo kwangu ni mkamilifu wala hana ajutialo ktk yote aliyoyafanya!
Hana aliloliweka likaja kumshangaza na kufikia hatua ya kutishia vitu alivyovifanya mwenyewe eti kuwa ameweka masharti na yasipofuatwa, kuna moto wa milele!
Watu wengi wa dini wamejiumbia mungu hata asiyekuwa na uhakika kama kuna viumbe vyake vinamuelewa lah, mungu huyo kazi kubwa kujinasibu kuwaokoa viumbe kutoka kwa mamlaka nyingine, tena anabidii kweli kuleta mitume, manabii, maaskofu, mapadri, wainjilist na wengine wengi!
Anasema usipofuata mafundisho yake basi ukifa utakwenda kuhukumiwa kwenda moto wa milele!
Mara oooh walio wake anawajua, maana yake kuna viumbe vingine viliji-generate au kuumbwa na mamlaka zingine! Hatari sana!
Mungu wangu ni Mungu mkamilifu na vyote alivyovifanya alivifanya ktk ukamilifu! Hahitaji oooh mara viumbe vyake viwe na uwezo wa kuvielimisha viumbe vingine kumfahamu yeye! Wewe kumfahamu wala kutomfahamu kwako hakuathiri chochote kwake maana hakukushirikisha uje lini duniani na utaondoka lini duniani!
Yeye katufanyia kila mazingira tuweze kuambatana nayo kutokana na wakati!
Kunielewa hapo ujue wewe ni genius! Vinginevyo usikasirike bure, nenda kapime tatizo lako la akili limefikia Kiwango gani!
Ujue kila mtu anatatizo la akili, ila tunatofautiana viwango vya matatizo hayo!
Watu wengi wa dini na vitabu vyao kila siku wanatangaza kumpa ushindi kiumbe waliyemuumba na kumpa jina la shetani!
Yaani utaaikia wanasema, njia iendayo uzimani ni nyembamba na watakaopita ni wachache! Hii nini maana yake? Tafakari!
Yaliyotabiriwa hayakutolewa suluhisho la kuyaepuka eti lazima yatimie, tena yanampa ushindi mkubwa kiumbe aitwae shetani!
Mimi Mungu wangu hapambani na viumbe alivyovifanya, hata kidogo! Maana yake, ktk imani yangu sina kiumbe kinaitwa shetani!
Niwaombe, usijilazimishe kuwa bora zaidi wakati labda tatizo lako la akili ni kubwa!
Tafakarini pia, unperfect person can creat a perfect thing that does not operate beyond his/her expectations lakini kuna mungu anaonekana aliumba viumbe ambavyo vilikuja kuenenda tofauti na matarajio yake mpaka ikabidi aanze kutuma waokozi! Prove me wrong!
Enendeni kulingana na mazingira mpitiayo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom