Mwanasayansi anasema dini ni ugonjwa wa akili

Mwanasayansi anasema dini ni ugonjwa wa akili

Namie naombea asipate kazi milele ili akione cha mtamakuni mpaka atakapo tubu na kuamini ya kwamba yupo Mungu na yeye ndiyo kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maelezo yako uliyatoa hapo na ndugu yako..yanawakilisha waumini walio wengi.wanaosema dini huondoa uwezo wa kufikiri na ugonjwa wa akili wanamaana kubwa.

Watu wasio amini vitabu vyenu/dini akipata matatizo,magonjwa-nyinyi mnasema ati huyu haamini Ndio maana yanampata haya.

Ikitokea upande wenu kuandamwa na matatizo/magonjwa- nyinyi mnadai ati huyu anapitia majaribu..!

Watu wasio amini wakipata utajiri/mafanikio nyinyi mnadai ati hakupata kwa njia Halali.

Ikitokea upande wenu katika mafanikio/utajiri-nyinyi mnadai ati huyu kabalikiwa au Baraka zimemushikia...

Sasa hii si inashangaza sana...zindukeni ninyi wana Waafrika!!
 
Profesa mwakilishi wa ibilisi na imani yake ya hakuna Mungu.

Angesema hawa waabudu hakuna- Mungu religion wana pretend kuwa na akili kuliko wengine
 
Kiukweli Biblia imeandikwa na jopo, heri hata waislamu wanaosema imeshushwa Quran angalau wanajustify nadharia yao
 
Kiukweli Biblia imeandikwa na jopo, heri hata waislamu wanaosema imeshushwa Quran angalau wanajustify nadharia yao

Jopo tena? Hivi kwa nini kama huelewi kitu huwezi kuuliza kwa wanaojua? Biblia iliandikwa kila mwandishi kivyake na kwa wakati wake
 
Kwani haka kaupinzani kanaweza hata kufika robo ya upinzani aliokutana nao wakina Abednego?, Au aliokutana nao yusufu au yesu mwenyewe?

Shida ya liimani hili huwa linapenya katikati ya milima ya chuki, linaondoka linatembea ninyi mnakufa lenyewe linayoyoma tu hilooooo na halifi ng'o!
 
Mfano mzuri, chunguza mlokole wa kiafrika aliyekolea ulokole "amekaa kitaahira". Anapoteza mda mwingi kupiga sala, mwisho wa siku anakuambia "una buku ya karibu?"
 
M
Dini haina tofauti na bangi...kuna jamaa yang alizungusha A level sababu ya kusali masaa yote
Miaka ya 2000 kuja 2005 naskia kuna shule moja maarufu special ya serikali kuna vijana walikua wanafanya mtihani partial na kuacha eti wameambiwa roho atamalizia. Naskia walipata ziro mtihani wao wa A level wakati o level walikua wametusua hadi kuchaguliwa special skuli😭😭😭.
 
Kwani mtu hutakiwa aonekane intelligent akiwa na umri gani?? Maana kuna ambae huonekana intelligent utotoni lakini asiweze kumaintain mpaka ukubwani..Na mwengine akaonekana wa kawaida utotoni lakini akawa super intelligent ukubwani..

Kingine intelligent ya mtu nahisi haiwezi kupimwa kutokana na variation inayotokana na mazingira,,malezi,,vyakula,,mafunzo na hata genetic inheritance...Mfano mtu aliekulia California na akawa very inteligent angekulia hapa nachingwea au mitaa ya mbagala kibonde maji na akaipata hii elimu ya big result now angekuwa wa kawaida tu..Pia tujaribu kumchukua mtoto wa kibonde maji anaesoma darasa lenye watoto 180 na mwalimu anafundisha bila hata kipaza sauti,,tumpeleke california darasa moja lenye watoto 8.Na watoto wanakula na kufundishwa kulingana na mafundisho sahihi na saikolojia ya watoto..Ndipo tutajua kwamba yoyote anaweza kuwa super inteligent..

Suala la kusema religious people Wana low iq ni Kwa Sababu wao wanaamini yupo Mungu na pia wanazichallenge nonsense kama Darwin theory of evolution,,bing bang theory na hoja nyingine zilizojaa uwongo na wishfully thinking.
 
Mfano mzuri, chunguza mlokole wa kiafrika aliyekolea ulokole "amekaa kitaahira". Anapoteza mda mwingi kupiga sala, mwisho wa siku anakuambia "una buku ya karibu?"
Achilia mbali kusolve tatizo la kifo. Pamoja na kuzinadi akili zako kuwa nyingi kuliko za mlokole, lkn bado hujaweza kuchangia hata chembe ya badiliko la uhai wako au wa wengine ambao Ni vipofu, ajali, viwete na vilema. Zaidi yakutuandikia kasentensi Kama std7
 
Hakika ni ugonjwa sugu hasa katika dunia ya tatu. "Unamkuta professor, tena amejikita kwenye sayansi, anaipigia sanamu magoti " ukimuuliza mbona unaabudu sanamu, anatoa jibu la kitoto, huu ni uuuuuuuuungwana?
 
Back
Top Bottom