Mwanasheria Albert Msando amvaa Lulu kisa Mali za Majizzo

Mwanasheria Albert Msando amvaa Lulu kisa Mali za Majizzo

Couple haihitaji kukubaliwa na mtu mwingine yeyote, inatakiwa kujikubali yenyewe tu.

Hivi Lulu akimwambia Msando kwamba Msando ana wivu wa kisenge, anataka Lulu aachwe ili Msando aolewe na Majizo, atie timu kwenye "mjengo" Msando atajisikiaje?

Kuna maneno mengine mwanamme hata kama unaona hii couple haidumu, hutakiwi kusema hilo.

Unajuaje wanaridhishana vipi wakiwq wawili mpaka uanze kuongea habari za kuachana?

Msando ni kama mtu aliyepewa nyundo halafu tatizo lolote anataka kulimaliza kwa nyundo.

Hata akiwashwa pumbu atataka kujipiga nyundo.

Si kila kitu kinahitaji ushauri wa kisheria.

Zaidi, mwanasheria kutoa ushauri wa kisheria kwa mtu ambaye si mteja wako, hajakuomba ushauri na hakulipi, tena mitandaoni, ni ushamba na ulimbukeni.

Yani hapo Msando anaweza kuanzisha ugomvi mpya kati ya Lulu na mmewe, Lulu akasema kumbe wewe umefanya makusudi kujenga kabla hujanioa ili nyumba iwe kwa jina lako peke yako, tukiachana uniache bila nyumba.

Wakati inawezekana hata mume hakuwa na nia hiyo, alitaka kujenga kabla ya kuoa kama sehemu ya utamaduni wa makabila mengi wa mwanamme kuwa na kwake kabla ya kuoa.

Kuna vineno vineno vingine vidogo tu, lakini vinainesha uwezo wa mtu wa kufikiri.

Inawezekana watu wakawa hawana mpango wa kuqchana, maneno ya mtu yakapanda mbegu ya kuachana, mbegu ikastawi na kuchanua maua vizuri.

Maneno yanaumba, tujihadhari na maneno yetu.
Nahisi msando kuwa karibu na macelebrity ndo inapelekea mda fahamu zinamtoka anafanya mambo ya ovyo.

Watu wameoana juzi tayari kashaanza kumtajia mke mgao wa Mali hii ni kama kumpa taarifa indirect kwamba "mtaachana tu"
 
Kwa kanuni za waungwana waliofundwa, mwanamme kumchulia mwanamme mwenzako aliyetoka kuoa habari za "mkiachana" ni kukosa adabu.

Hizo ni habari za kujadiliwa kabla ya ndoa.

Akishaoa hutakiwi hata kuongea kwamba kuna uwezekano wa kuachana.

Baada ya ndoa, waungwana hutakiana heri na mafanikio katika ndoa tu.

Ukiongelea habari hizo, za kuachana, hususan kwenye mitandao, inaonekana kama una hamu waachane na unachochea hilo.
Teh teh..labda ni Divorce lawyer..Kuandaa mazingira ya mkate mbeleni..
 
Huyo Msando kiazi tu Sasa hayo yanamuhusu nini yeye au anatarajia hao watu waachane lini
Kwa sababu watu wametoka kuona na lengo la kuoana ni kuishi mpaka kifo

Sasa katika uzee wao labda dj akatangulia lakini akiwa ameacha watoto wa kutosha na wajukuu pia akabaki manka akiwa mzee nae
Msando ndiyo ataenda na Sheria zake kusema kuwa mama alimkuta baba na mali kadha wa kadha kwa hiyo hazimuhusu mama?
Au anachulia watu na akili zake mbovu za kichaga kuwaza mali tu
Wachaga kama wachaga

Inaonesha msando hamkubali lulu..ni kama huko aliko anajutia majizzo why umeoa huyu binti..
 
Nahisi msando kuwa karibu na macelebrity ndo inapelekea mda fahamu zinamtoka anafanya mambo ya ovyo.

Watu wameoana juzi tayari kashaanza kumtajia mke mgao wa Mali hii ni kama kumpa taarifa indirect kwamba "mtaachana tu"
Unaweza kuwa mwanasheria mshamba vilevile.

Yani, ukaijua sheria lakini ukakosa kile kitu Wafaransa wanakiita "savoir faire".

"Savoir faire" ni uwezo wa kujua sehemu gani useme jambo gani, nguo gani uvae wapi, kitu gani kukifanya kwa kadamnasi gani ni mwiko, sehemu gani hata kufanya ujinga ni sawa, na kadhalika.

Msando hana "savoir faire".
 
Couple haihitaji kukubaliwa na mtu mwingine yeyote, inatakiwa kujikubali yenyewe tu.

Hivi Lulu akimwambia Msando kwamba Msando ana wivu wa kisenge, anataka Lulu aachwe ili Msando aolewe na Majizo, atie timu kwenye "mjengo" Msando atajisikiaje?

Kuna maneno mengine mwanamme hata kama unaona hii couple haidumu, hutakiwi kusema hilo.

Unajuaje wanaridhishana vipi wakiwa wawili mpaka uanze kuongea habari za kuachana?

Msando ni kama mtu aliyepewa nyundo halafu tatizo lolote anataka kulimaliza kwa nyundo.

Hata akiwashwa pumbu atataka kujipiga nyundo.

Si kila kitu kinahitaji ushauri wa kisheria.

Zaidi, mwanasheria kutoa ushauri wa kisheria kwa mtu ambaye si mteja wako, hajakuomba ushauri na hakulipi, tena mitandaoni, ni ushamba na ulimbukeni.

Yani hapo Msando anaweza kuanzisha ugomvi mpya kati ya Lulu na mmewe, Lulu akasema kumbe wewe umefanya makusudi kujenga kabla hujanioa ili nyumba iwe kwa jina lako peke yako, tukiachana uniache bila nyumba.

Wakati inawezekana hata mume hakuwa na nia hiyo, alitaka kujenga kabla ya kuoa kama sehemu ya utamaduni wa makabila mengi wa mwanamme kuwa na kwake kabla ya kuoa.

Kuna vineno vineno vingine vidogo tu, lakini vinaonesha uwezo wa mtu wa kufikiri.

Inawezekana watu wakawa hawana mpango wa kuachana, maneno ya mtu yakapanda mbegu ya kuachana, mbegu ikastawi na kuchanua maua vizuri.

Maneno yanaumba, tujihadhari na maneno yetu.

Sijajua mipaka ya huyu mwanasheria inaishia wapi na endapo hata mitandaoni anatakiwa afanye vipi kazi, lakini hii kwa wengine angeweza kupoteza kibarua kwa haya maneno yasio mbele wala nyuma.
 
Ni mjinga sababu hajui lulu ni brand kubwa hata wasipogawana yule mwanamke ana akili zake kichwani na maisha yake mazuri hata ukimpora kila kitu kwa brand yake bado ataishi tena vzr..



Msando anafikiria km kila mwanamke ni loser km mkewe,Hapana kuna wanawake hawaolewi kuwaza kuachana mgawane mali sababu wana maisha yao,hawajaolewa kisa mali na hawana rogo mbaya ya kimaskini[emoji1787][emoji1787]

Wengine wana future zao wameolewa mapenzi
 
Sijajua mipaka ya huyu mwanasheria inaishia wapi na endapo hata mitandaoni anatakiwa afanye vipi kazi, lakini hii kwa wengine angeweza kupoteza kibarua kwa haya maneno yasio mbele wala nyuma.
Kazi nyingi hizi "skilled professions", hususan zenye professional boards, kama wanasheria na madaktari, zina miiko mingi na mikali dhidi ya members kutoa professional advise willy nilly online, hususan kwenye social media.
 
Mh acha kujidanganya.
Kwanini asiolewe na konda wa daladala?
Ni mjinga sababu hajui lulu ni brand kubwa hata wasipogawana yule mwanamke ana akili zake kichwani na maisha yake mazuri hata ukimpora kila kitu kwa brand yake bado ataishi tena vzr..



Msando anafikiria km kila mwanamke ni loser km mkewe,Hapana kuna wanawake hawaolewi kuwaza kuachana mgawane mali sababu wana maisha yao,hawajaolewa kisa mali na hawana rogo mbaya ya kimaskini[emoji1787][emoji1787]

Wengine wana future zao wameolewa mapenzi
 
Unaweza kuwa mwanasheria mshamba vilevile.

Yani, ukaijua sheria lakininukakosa kike kitu Wafaransa wanakiita "savoir faire".

"Savoir faire" ni uwezo wa kujua sehemu gani useme jambo gani, nguo gani uvae wapi, kitu gani kukifanya kwa kadamnasi gani ni mwiko, sehemu gani hata kufanya ujinga ni sawa, na kadhalika.

Msando hana "savoir faire".
Hapa amewakamulia ndimu tu na kumtia wasiwasi bwana harusi ukizingatia vibinti vya nyakati hizi hukodolea sana mali macho
 
Back
Top Bottom