Mwanasheria Albert Msando amvaa Lulu kisa Mali za Majizzo

Mwanasheria Albert Msando amvaa Lulu kisa Mali za Majizzo

Msando ametoa kauli sahihi kwa wakati usio sahihi.....

Lakini ki ukweli nyakati hizi ni nyakati ngumu sana na zenye mashaka kuchagua mke hasa ukiwa umejaaliwa kipato....kipato kinavuta watu wengi sana maishani mwako.....lakini bahati mbaya kati ya wengi hao wengi wao ni wanafiki.....na wakati mwingine hata yule unayedhani ni asali wa moyo wako ndio anaweza kuwa ndio mnafiki namba moja na akawa sababu ya anguko lako........hizi ni nyakati ngumu sana kuchagua mke......hizi ni nyakati ambazo matumizi ya akili yanatakiwa kuwa juu kuliko mapigo ya moyo......na wote walioacha nyuma akili zao na kutanguliza mioyo yao wamesha angamia na wengine waliobakia ni wafungwa huru.......

WORD IS ENOUGH FOR THE WISE.....
Umeongea ukweli boss , tatizo wenye chura kuwapata mpak uwe na cash 💰, na rungu linahtaj chura ili litakate , mzee Baba kuoa mdada ambaye hujamkubali utamtesa Sana na utamtia stress mwisho anakulamba limbwata , kupata mke mwema bado inabak kuwa gambling labda tuwasikilize kidog watu wa dini hudai mke mwema hutoka Kwa Bwana, naamini hata katika wanawake wapenda mwanaume mwenye mafanikio still wapo wake wema ..... Wanaume wasio na muonekano wa kuvutia ndo hupata taabu Zaid cse inabid wawe na pesa ndo wanawake wawavute , wanaume wenye mvuto wanahtaj pesa ya wastani Tu kuchagua fungu lilio Jema😋😀
 
We naye hujielewi , Majizo aliliona Hilo mapema ndo mana hakumuoa huyo kenge mapema ili amalize Kwanza mjengo wake , Msando ni wakili mbobezi we kima , alichokiongea ni kuweka attention Kwa Huyo Lulu kuwa kama amefata ndoa apambane apate vitu vya kwenye ndoa siyo abweteke akidhani vile ni vyake , kiufupi kama Lulu lengo lake ni kufata zile Mali ajiandae Kwa stress za Kylin na Mengi inatakiwa apambane now sasa kupata vya kwake ewe kilaza
Hivi lulu kakukosea nini hadi umuite kenge?
 
Umeongea ukweli boss , tatizo wenye chura kuwapata mpak uwe na cash 💰, na rungu linahtaj chura ili litakate , mzee Baba kuoa mdada ambaye hujamkubali utamtesa Sana na utamtia stress mwisho anakulamba limbwata , kupata mke mwema bado inabak kuwa gambling labda tuwasikilize kidog watu wa dini hudai mke mwema hutoka Kwa Bwana, naamini hata katika wanawake wapenda mwanaume mwenye mafanikio still wapo wake wema ..... Wanaume wasio na muonekano wa kuvutia ndo hupata taabu Zaid cse inabid wawe na pesa ndo wanawake wawavute , wanaume wenye mvuto wanahtaj pesa ya wastani Tu kuchagua fungu lilio Jema😋😀


Hao watu wa dini ndio hawajui kitu kabisaa, wao ni bendera kufuata upepo tu. Wamekaririshwa kila kitu, hawawezi kutumia akili zao kupata solution yoyote.
 
Unaweza kuwa mwanasheria mshamba vilevile.

Yani, ukaijua sheria lakini ukakosa kile kitu Wafaransa wanakiita "savoir faire".

"Savoir faire" ni uwezo wa kujua sehemu gani useme jambo gani, nguo gani uvae wapi, kitu gani kukifanya kwa kadamnasi gani ni mwiko, sehemu gani hata kufanya ujinga ni sawa, na kadhalika.

Msando hana "savoir faire".
[emoji122][emoji122]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani msando anatabiri kifo Cha huyo mwanaume ?
Au anatabiri talaka?
Mbona watu wanatabia za kichawi Sana?
Msomi Kama yeye anaongea ujing ujing an amesikia wataachana ili wagawane Mali
Anatabiri talaka
 
Sababu majizzo kamzidi kipato lulu nadhani
Ila umaskini mbaya jamani wanawake tutafute Mali zetu hatutasengenywa hivi

Kwa kweli, wanawake tujiongeze tutafute vya kwetu. Mali ya mume ina masimango na maneno makali sana. Mwanamke ukiwa na cha kwako inakupunguzia haya ma stress mengine. Chako ni chako tu hata kama ni kidogo
 
Majizo angeendelea kuwa DJ angempata Lulu?

WangeonanA wapi sasa kwamba lulu angeenda disco ambalo majizzo ni Dj na kuanza kuomba nipigie mziki flani halafu wakaanza kuzoeana wakabadilishana namba wakawa wapenzi???????Hapana

Narudia tena kwangu mimi na wewe ni kazi kudate wanawake wa hivyo sababu hatuchanganyiki nao na hili utembee nao lazima muwe na muingiliano sasa huo muingiliano ndo umesababisha majizo ampate lulu na mimi na wewe tushindwe angekuwa DJ kusingekuwa na Muingiliano....

Diamond alivyokuwa tandale akuweza ku date star yeyote ila kitendo tu cha kuwa mwanamziki na kuingiliana na mastar ndo akaanza kupata mademu mastar[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Wataonana wapi??????Naweza kukupa billion 5 nikakwambia tafuta star utembee nae kama hujui wapi wanaenda kunywa beer na wapi wanapatikana huwezi kumpata hata mmoja.

Muingiliano ni muhimu sana ili upate muingiliano lazima kazi yako iendane nao mcheki vunja bei mda wowote anaweza kula star yule,wacheki wakina calissa sio kwamba wa hela sana ila mbona wema aliliwa???Mcheki kimarioo cha shishi kilw nikipiga picha kizuri sana sasa kimempiga shishi miaka nenda rudi mwishowe shishi kakitunuku sio kwamba kina hela sana hapana muingiliano...
 
Ni mjinga sababu hajui lulu ni brand kubwa hata wasipogawana yule mwanamke ana akili zake kichwani na maisha yake mazuri hata ukimpora kila kitu kwa brand yake bado ataishi tena vzr..



Msando anafikiria km kila mwanamke ni loser km mkewe,Hapana kuna wanawake hawaolewi kuwaza kuachana mgawane mali sababu wana maisha yao,hawajaolewa kisa mali na hawana rogo mbaya ya kimaskini[emoji1787][emoji1787]

Wengine wana future zao wameolewa mapenzi
Hahahah Lulu Ana brand gan?si mdangaji Kama bongo movie wengine tu🤣
 
Back
Top Bottom