rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani balaa sanaHuu ni Wivu wa kiwango cha juu sana kuonyeshwa na mtoto wa kiume
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani balaa sanaHuu ni Wivu wa kiwango cha juu sana kuonyeshwa na mtoto wa kiume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nn eti dea?[emoji23]eti futuhi
Babeeeh plz nioe kabla huna kitu chchte, sihitaji ukiwa unanipa talaka narud kwetu km nilivotoka.Anatafuta kiki huyo mpumbavu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msando amecomment kimbea mbea sana. Anayajua makubaliano ya wanandoa hao? Wanaume kama mabinti alioimbaga jide ndio huyu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cc usicheke eti, lulu atapata nimonia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amber lulu kaolewa na prezzo, sio JaguarHuyu Lulu nlisikia ameolewa na yule jamaa wa "kigeu geu" (jagua) kule Kenya imekuaje tena?
Au mimi ndio nlisikia vibaya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] plz taratibu bas, lulu atapata nimonia ghafla, akiona comment yako.We tenaaa
Mwambie lulu aanze kuhesabu siku ya valentine juzi mpaka watakapoachana kachuma nini na majizzo ndo wagawane pasu kwa pasu
Alizozikuta sio zake
Acheni roho mbaya!We naye hujielewi , Majizo aliliona Hilo mapema ndo mana hakumuoa huyo kenge mapema ili amalize Kwanza mjengo wake , Msando ni wakili mbobezi we kima , alichokiongea ni kuweka attention Kwa Huyo Lulu kuwa kama amefata ndoa apambane apate vitu vya kwenye ndoa siyo abweteke akidhani vile ni vyake , kiufupi kama Lulu lengo lake ni kufata zile Mali ajiandae Kwa stress za Kylin na Mengi inatakiwa apambane now sasa kupata vya kwake ewe kilaza
Ndio itakavyokuwa kwa Lulu!Watoto ndo wamempa Mali..na pia alizochuma wakiwa ndoani
Pesa za bank na makampuni ni sababu ya watoto nadhani
wengi watamponda wakili ila kaongea ukweli unaoumaWe naye hujielewi , Majizo aliliona Hilo mapema ndo mana hakumuoa huyo kenge mapema ili amalize Kwanza mjengo wake , Msando ni wakili mbobezi we kima , alichokiongea ni kuweka attention Kwa Huyo Lulu kuwa kama amefata ndoa apambane apate vitu vya kwenye ndoa siyo abweteke akidhani vile ni vyake , kiufupi kama Lulu lengo lake ni kufata zile Mali ajiandae Kwa stress za Kylin na Mengi inatakiwa apambane now sasa kupata vya kwake ewe kilaza
Labda tukuulize unajua mwamba Majizo mpak hapo ana watoto wangap ...au UnakrupukaAcheni roho mbaya!
Mfano lulu amepata mtoto,majizo akamuandika mtoto kwenye hizo mali zake,majizo akaitwa na Mungu baba,mali zitabaki mikononi mwa nani?
Bado mtasema hastahili kuwa na hizo mali kisa hawakutafuta wote wakati wanafunga ndoa?
Roho mbaya tuu,mali zinawauma utadhani mlimsaidia kuzitafuta?mfano ameamua kumrithisha hata km hawajatafuta wote mtasema??
Tafutene zenu,sio mnakazi ya kumpangia mali itakuwa ya nani km mlimsaidia kuzitafuta.
Muangaliege majina ya kuwapa watoto wenu,sio shida,tabu nkKuwapata Bongo movies huitaji muingiliano,bali unahitaji pesa basi,alafu hiyo bilion 5 mbona hela nyingi sana.
Alafu hawa wasanii mbona viwanja vyao vinajulikana,hivi viwanja vinavyo sumbua mjini ukienda utawakuta kibao.
Alafu hiyo dhana ya Majizo kampata Lulu kwa ajili ya mwingiliano ifute,Lulu alisoma Chuo cha Mwl Nyerere,sasa jiulize pamoja na kuwa na mwingiliano mkubwa na wanafunzi wenzake,mwisho wa siku Majizo ndiye aliye oa.
Hata km wapo 20 I hope kila mtoto atarithi sehemu yake,mwisho wa siku mali itarudi kwa mama.Labda tukuulize unajua mwamba Majizo mpak hapo ana watoto wangap ...au Unakrupuka
Itarud Kwa Mama yupi we kilaza , unajua sarakasi za Mali lakini wewe , muulize mrema wa Arusha Billionaire wa mahotel watoto wanavyoburuzana mahakamani na wanapishana kurogana Kwa waganga au muulize Kylin wa mengi , ndo mana Msando amewafungua ili kumuweka kwenye safe zone huyo Lulu .... Hata kama akizaa Kwa Mali zilizopo mtoto atagawiwa kama watoto wengine ,Jambo sahihi ni kutozifikria hzo Mali apambane zipatikane za kwnye ndoa madam bado Majizo ana nguvu ..... Huwa mna vichwa vigumu Sana ndo mana mambo yakiharbika mnakimbilia kwenye media na mashirika ya haki za wanawake na still inakuwa too late....na bado hujui hzo Mali kaandikiwa Nani pengine tayar jamaa ashaziandikia mmiliki Kisheria ..we unakazana kukata mauno kitandaniHata km wapo 20 I hope kila mtoto atarithi sehemu yake,mwisho wa siku mali itarudi kwa mama.
Ndio umekula ugali kwetuNitee ugali nakula kwenu,kwani hao EFM walianza na jengo au walipanga.
Ukute katumwa na aliyesema AsanteMsando amecomment kimbea mbea sana. Anayajua makubaliano ya wanandoa hao? Wanaume kama mabinti alioimbaga jide ndio huyu
Lulu anamiliki kucha na nguo ake tu labda na qyumerMbona hakuongelea majizo asifikirie atarithi nyumba za lulu kama anazo.
Usipanic, kaeleza ukweliAnatafuta kiki huyo mpumbavu.
Watagawana mali zipi wakati kuna uwezekano mkubwa mali zote zikatokana na EFM na TVNawaombea Majizo na Lulu wadumu na wasifikie huku kwenye kugawana mali.