Mwanasheria: Barua ya Job Ndugai kujiuzulu Uspika ni batili kwa mujibu wa Katiba

Mwanasheria: Barua ya Job Ndugai kujiuzulu Uspika ni batili kwa mujibu wa Katiba

Kosinde

Member
Joined
Jun 7, 2018
Posts
49
Reaction score
61
Leo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
 
Leo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Imekwisha hiyo! Sukuma Gang mtakuwa vichaa mwaka huu
 
Anaejiuzulu anaweza kupeleka barua popote anapota mradi tu pia apeleke barua hio hio kwa bosi wake wa kazi anayotaka kujiuzulu.
 
Leo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Duuh! Kwa hiyo mnataka kumrejesha Ndugai kwa mlango wa nyuma?
 
Leo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Ushaambiwa nyie wengine mumepewa press release,barua rasmi imeandikwa kwa Katibu wa Bunge na Katibu Mkuu waChama
 
Ushaambiwa nyie wengine mumepewa press release,barua rasmi imeandikwa kwa Katibu wa Bunge na Katibu Mkuu waChama
Tunajua ile ni Press lkn hiyo press ndo kasema procedure alizofanya kujiuzulu ambazo kwa mujibu wa Katiba ni batili labda awe amefanya tofauti na alivyosema kwenye release yake
 
Back
Top Bottom