Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 601
Unawawaza sana hao sukuma gangImekwisha hiyo! Sukuma Gang mtakuwa vichaa mwaka huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawawaza sana hao sukuma gangImekwisha hiyo! Sukuma Gang mtakuwa vichaa mwaka huu
anaipenda kazi yake na amesema anasubiri barua rasmi ili waifanyie kazi.Katibu wa Bunge kama anaipenda kazi yake atakanusha hii taarifa na kufanyia kazi mchakato wa speaker chap chap.
Mkuu, masahihisho kidogo. Katibu wa Bunge hajasema hafanyii kazi nakala. Amesema hiyo nakala aliyopokea ni official, ila anasubiri katibu wa ccm ampelekee. Ili naye aanze mambo yake mengine.katibu wa Bunge amesema Bunge limepokea nakala tu,
hivyo hawafanyii kazi nakala wanasubiri barua rasmi.
Useless televisionUTV ni ya wapi?
Ndugai amekua bungeni kwa kipindi kirefu na anajua taratibu za kisheria za kujiuzulu, amepeleka barua kwenye chama chake ukiwa ni utaratibu wa awali ili chama kiwe na muda wa kuandaa spika mwingine.
Japokua nafasi ya spika sio lazima uwe mwanachama lakini ni dhahiri spika mwingine atatoka CCM.
Hivi hakuna kikao cha bunge kinachoendelea ninaamini atafuata tu taratibu za kisheria, ambazo anazijua.
Mbona sio siri tena kuwa watu wasiojulikana ndio waliogushi barua ya kujiuzulu kwa Ndugai na wamemuweka kizuizi baridi asifanye lolote wala kusema chochote.Leo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Ni upuuzi tu huo,spika anaupata uspika kupitia chama chake,au kwa njia ya kujitegemea,ndugai,anamuarifu katibu mkuu wa ccm kuwa kajiuzulu ili chama kitangaze hiyo nafasi kuwa wazi,katibu mkuu anamjulisha katibu wa bunge kuwa kuna ombwe,ndipo mchakato wa kumtafuta mtu uanzeLeo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Dhamana ya spika ipo katika michakato ya bunge sio ya CCM. Ndugai anawafanyia uhuni jamaa wa bunge, inabidi barua aiandike kwa Katibu wa bunge moja kwa moja sio kumuweka kama sehemu ya wahusika.Leo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Ubiquitous Tanzanian Vehicle (UTV). Kila mtu anaweza kuingia ndani yake.UTV ni ya wapi?
Ndugai anawafanyia uhuni watu wa bunge. Anahusika kwa bunge moja kwa moja. Aandike barua kwa katibu wa bunge iwepo kumbukumbu ya kudumu ya kujiuzulu kwake bungeni.Ni upuuzi tu huo,spika anaupata uspika kupitia chama chake,au kwa njia ya kujitegemea,ndugai,anamuarifu katibu mkuu wa ccm kuwa kajiuzulu ili chama kitangaze hiyo nafasi kuwa wazi,katibu mkuu anamjulisha katibu wa bunge kuwa kuna ombwe,ndipo mchakato wa kumtafuta mtu uanze
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
maelezo yako siyo kweli; katiba hamtambui katibu mkuu wa chama chochote kuhusiana na mwenendo wa Bunge.Ni upuuzi tu huo,spika anaupata uspika kupitia chama chake,au kwa njia ya kujitegemea,ndugai,anamuarifu katibu mkuu wa ccm kuwa kajiuzulu ili chama kitangaze hiyo nafasi kuwa wazi,katibu mkuu anamjulisha katibu wa bunge kuwa kuna ombwe,ndipo mchakato wa kumtafuta mtu uanze
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kisheria katibu wa bunge hawezi kufanyia kazi barua sio yake. Itabidi ndugai aandike barua upya kwa katibu wa bunge kukidhi mahitaji ya kisheria. Mimi naona kuna mkono wa mungu au job ndugai ni mjanja sana. Binafsi ningemshauri asijiuzulu kwa kua hajafanya kosa kutofautiana hoja na rais. Yeye ni kiongozi wa mojawapo ya mihimili huru ya dola. Ni bahati nzuri kosa hili limefanyika kwa hivyo legaly ndugai bado ni speaker wa bunge na bado hajajiuzulu.Leo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Hiyo barua haijaelekezwa sehemu yoyote zaidi ya kusema kuwa amemkopi katibu wa Bunge.Leo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Dakika ya 89 kutoka Uwanja wa Jamhuri ya Muungano Msoga Gang 3: 0 Sukuma Gang. Ball posession Msoga Gang 98%: 2% Sukuma GangLeo nimesikiliza Mwanasheria mmoja kupitia UTV ameeleza kuwa kwa mujibu wa Katiba Spika akitaka kuachia madaraka anapaswa kulitaarifu Bunge na si Chama kama alivyofanya. Je Bunge litakuwa na uhalali wa kufanyia kazi barua yake kama asipoandika barua kwa Katibu wa bunge?
Kwani wakati ana gombea usipika bunge pokea utambulisho toka wapi kama sio kwa katibu mkuu Ccm?katibu wa Bunge amesema Bunge limepokea nakala tu,
hivyo hawafanyii kazi nakala wanasubiri barua rasmi.