Mwanasheria: Barua ya Job Ndugai kujiuzulu Uspika ni batili kwa mujibu wa Katiba

Mwanasheria: Barua ya Job Ndugai kujiuzulu Uspika ni batili kwa mujibu wa Katiba

Niliyoandika Nimeyaandika by Pontio Pilato!
Nadhani alifanya makusudi, kwa kumuandikia Katibu mkuu wa CCM chama chake na kupeleka Copy kwa Katibu wa Bunge. Wewe ni spika wa Bunge unajiuzulu uspika, unapelekaje barua kwa Katibu mkuu wa chama? Kule kwenye chama ingeenda taarifa tu au hata isiende. Hili watalifunika tu mwanaharamu apite, maana wanajua matanzania ni makondoo. Wanaoweza kulijua hili hata asilimia 1 (1%) hawafiki. Maisha yaendelee....
 
Period! Nakala huwa haifanyiwi kazi. Ni taarifa tu anapewa aliyenakiliwa!
Ndugai atakua amefanya makusudi au ndiyo uCCM wa kukiweka chama chao mbele hata kwenye mambo ya kitaifa (Unakuta Rais anaongea na watanzania kama kiongozi wa serikali, lakini kuna watu wanakuja na mavazi ya kijani). Kule kwenye chama chake alikua anapeleka Original ya nini? Kule ilikua ni copy tu, kwa taarifa tu.
 
Kwani wakati ana gombea usipika bunge pokea utambulisho toka wapi kama sio kwa katibu mkuu Ccm?
Hivyo Ndugai karudisha uteuzi wake kwa katibu mkuu Ccm. By the way katiba viraka haionyeshi ni wapi alitakiwa apeleke barua yake ya kujiuzulu. What we need to know Ndugai sio spika tena,,, period!!!
mimi nimetoa tu maelezo aliyosema katibu wa Bunge.
mengine nawaachia wadanganyika waendelee kudemka.
 
Sijui kwanini gafla nimeanza kumchukia huyu mama ,wakat mwanzon nilimpenda Sana na niliamin Ni mtu muungwana Sana kumbe mshari Ivo!!!
Daah huyu mama anaonekana anatamaa balaa na ipo siku atakatalia madarakani
 
Ndugai kasema mwenyewe kwa mdomo wake kwamba amejiuzulu.

Sasa, hata kama hajafuata procedures, si inatakiwa viongozi wa bunge na hao wanasheria wamjulishe Ndugai hizo procedures ili kuhalalisha mchakato wake?

Endapo Ndugai hataki kuwa speaker na katangaza kujiuzulu bila kufuata procedures, je, atabebwa kwa nguvu na kupelekwa bungeni kuongoza bunge?

Ndugai kajiuzulu, Ndugai kajiuzulu jamani, hataki kuwa speaker, nyie mnamlazimisha ili iweje? Kwani makada wameisha?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Na katibu wa Bunge ni mteule wa Rais! Nchi hii Katiba yake ni ya kifalme! Yaani Rais anateua Jaji Mkuu na majaji na kuwaapisba. Kisha anateua Katibu wa Bunge ambaye kimsingi anasimamia shughuli za Bunge. Kisha Rais anapelekewa maamuzi ya Bunge na anaweza kuamua asisaini au asaibi ile iwe au isiwe sheria.

Halafu bado kuna watu wanatumia maneno “mihimili inayojitegemea” katika sentansi zao!!
 
Ndugai kasema mwenyewe kwa mdomo wake kwamba amejiuzulu.

Sasa, hata kama hajafuata procedures, si inatakiwa viongozi wa bunge na hao wanasheria wamjulishe Ndugai hizo procedures ili kuhalalisha mchakato wake?

Endapo Ndugai hataki kuwa speaker na katangaza kujiuzulu bila kufuata procedures, je, atabebwa kwa nguvu na kupelekwa bungeni kuongoza bunge?

Ndugai kajiuzulu, Ndugai kajiuzulu jamani, hataki kuwa speaker, nyie mnamlazimisha ili iweje? Kwani makada wameisha?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naombeni mnijibu! Kama Ndugai hataki kuwa spika, je, mtamlazimisha kuwa spika hata kama hajafuata procedures za kujiuzulu?





Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom