The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
katibu wa Bunge amesema Bunge limepokea nakala tu,
hivyo hawafanyii kazi nakala wanasubiri barua rasmi.
Katibu wa CCM anasema ameshapeleka barua rasmi kwa Katibu wa bunge.
Lakini bado haiondoi hoja kwamba alitakiwa spika alitaarifu bunge kupitia katibu wa bunge.
Sasa hapo ndio unaposhangaa chombo cha kutunga sheria kinaposhindwa kuelewa taratibu na mambo madogo kama haya.
Ndio maana wanapitisha mambo bila umakini baadae wanaongea tofauti utafikiria ni jambo geni kabisa.