Mwanasheria Dkt. Kilangi atoa ufafanuzi kuhusu mchanga wa madini uliozuiliwa na Rais

Nina shaka na uzalendo wa wajumbe wa bodi ya ACCACIA akina Mwapachu na Deo Mwanyika
 
Serikali na ACACIA walifunga mkataba wa kisayansi au wa kisheria
ata kama ulikuwa wa kishria tuna nafasi kubwa ya kuhiji uhalali wake sasa kwani ulikuwa umejaa fraud, misrepresentation, kinyume na kifungu cha 19 cha sheria ya mikataba ya Tanzania ambacho kimekopwa kwenye sheria za mikataba za kimataifa mutatis - mutandis . Kwa kuwa wamekuwa wakidanganya kiasi cha madini kilichopo kwenye mchanga wanaosafirishi ni kwamba wamekwenda kinyume na masharti ya mkataba na by implication wamekuwa wa kwanza kuivunja kwa kutokuheshimu principle ya PACTA SUNT SERVANDA hivyo kwa sasa hatuna mkataba wowote na mabwana hao, kwani mkataba uliokuwepo walishauvunja wenyewe na mikono yao kwa kuingiza ulaghai
 
Anatutishia tuogope kuwapelekesha wawekezaji hawa wezi!
Hizi ndio sampuli za wasomi wetu,akina Dr Kafumu,Chenge,Tundu Lissu,Muhongo hawa wote wana mikono yao kwenye mikataba ya madini au ushirika na wenye makampuni ya madini na ndio maana hao wote akaunti zao zinapumua mamilioni wakati sio wafanyabiashara au hata ushauri wa makampuni yao hauendeni na ukwasi mkubwa walio nao.
 
Kama mkataba ulifungwa baina ya serikali na ACACIA aliyethibitisha wizi au uvunjaji wa mkataba ni tume ya serikali pekee, wote tume ya serikali na ACACIA, au tume huru inayotambulika nataasisi nyingine za kimataifa?
 
Dr Kilangi naomba nikuulize maswali yafuatayo, wewe ukiwa mwanasheria mzoefu: Je hawa jamaa tunaruhusiwa kuwashitaki kwa kosa la fraud? Kwa kudanganya kuwa kontena zina mchanga wa dhahabu wa tani 20 kila moja wakati ni tani 23, hiyo siyo fraud? Kwa kudanganya kuwa huo mchanga ni wa copper concentrates wakati ukweli ni gold concetrates, hiyo siyo fraud case?

Na kama wamefanya fraud, na ushahidi tunao, hatuwezi kweli kushinda kesi hiyo ya fraud kwenye mahakama hizo za wakubwa? Na kama tutashinda, baada ya hapo haturuhusiwi kuomba kuvunja huo mkataba kati yetu na hao fraud company? Na kudai kile walichotufanyia fraud? Au sisi ni wa kunyolewa tu bila maji kwenye hizo makama za wakubwa whatever tutakachoshitaki huko kwa wakubwa kuhusiana na makampuni haya? Kwa hiyo haya makampuni ni untouchable, ya immunity kwenye hizo makama za kimataifa? Kama jibu ni ndiyo kulingana na ulichoeleza kwenye mada hako basi twafaaaa tu.
 
Tatizo hapa serikali haitaki kukubali kwa ba tumeibiwa kwa upumbavu wao.Inatumia nguvu nyingi kuliko akili .
 
Nyerere aliwafahamu wabongo...kuwa ni wajinga hawataweza kusimamia uvunaji wa madini.
Akaanzisha State mining Corporation ili wapate kujifunza hatimae wachimbe wenyewe madini. Alisema madini hayaozi.
Ni kama watu wakiomba aondoke duniani kwa kuondoka tu ...badi mapapa na mafisadi wakauza kila kitu...mkapa alikua mbogo kwenye ufisadi huu...
Kwa nini ccm wasimseme wazi tu wamwambie na afukuzwe chamani.....
 
Nimekukubali YEHODAYA, hizi ulizoleta ni hoja madhubuti za kuweza kuwashinda haya majizi ktk mahakama za kimataifa. Kwa hoja zako hizo nina hakika Dk. na Lissu wataiacha taaluma yao, wewe ni mwanasheria kiboko. Salute!!
 
Kwa kifupi hatuna pa kukimbilia, sharti tuyaoge maji yetu.

Hiyo ya confidentiality ya mikataba sio issue kihivyo unaweza kuleak vitu annonymously kama una nia, angalia Trump analeak vitu strategically kila siku.
Tatizo ni kwamba hakuna kitu ndani ya mkataba kitakachoisaidia serekali wananchi wakijua huo mkataba.
 

Please naomba utoe andiko in details, hata ikibidi kuwa kitabu.

Taifa hili lina VICHWA.
 
Jamii yoyote haikosi wendawazimu wake.

Bila shaka wewe ni mwendawazimu ktk jamii yetu.
 
Ningekuwa Rais wa nchi hii wale wote waliohusika kuijifunga ktk mikataba ya kinakunaku kama hii ningepiga risasi hadharani tena pale Taifa, sijui wanajickiaje ktk madudu kama haya lkn Mungu hatowaacha salama kamwe
 
Nazani this time mlengwa alikuwa Prof muhongo sijui wamepishana wapi na sizonje.
 
Wakati mwingine tunawalaamu wazungu buru tu, tatizo kubwa lipo kwa viongozi wetu kuanzia rais mpaka chini, hebu fikiria mkataba wa IPTL pamoja na matitizo yote bado tume renew tena mkataba nao, pamoja na mikataba wa awali kusema kuwa ukifika mwisho mitambo itakuwa yakwetu lakini wapi mitambo tumewachia na ku renew mwingine wa kinyonyaji , pia mkataba wa bandari.
Sasa kosa hapo la mwekezaji liko.
 
Nimejifunza mambo kadhaa.

1. Kuvunja mikataba hatuwezi kama jinsi mihemuko wengi ya watanzania ilivyo.

2. Report imeegemea upande mmoja, hivyo wakishtaki wanaweza wakashinda.
 
Kirahisi hivyo???? Nadhani Mungu analitakia mema Taifa fulani kwasababu anajua fika lenyewe kama yalivyo mataifa mengi ya mfano wake watu wake hawana uwezo wa kumuondoa kiongozi muovu hivyo anaamua kumfitinisha na wenye uwezo wa kumuondoa.
 
Hizi akili ndio zinaturudisha nyuma
Mnaambiwa tulipokosea ili tujisahihishe mnakuja na stories za ajabu. CCM bure kabisa
 
Unatulete stories za ahadi za mwanatanu leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…