Hivi kama nia ni njema na inalenga kukuza ustawi wa nchi na Wananchi wanaona hawako tayari kunufaika na hiyo deal Je,Kuna ugumu gani kuachana na hiyo deal? Kama kuachana na Mkataba huo ili tujipange upya inawezekana nadhani kunahaja ya kufanya hivyo.
Isijekuwa mkataba ulifika sehemu ambaya hali itakayo pelekea ukivunjika wanase NDEGE zetu.
Mimi naona ni Muhimu kusogeza mbele ili tufanye upembuzi yakinifu.
Isijekuwa mkataba ulifika sehemu ambaya hali itakayo pelekea ukivunjika wanase NDEGE zetu.
Mimi naona ni Muhimu kusogeza mbele ili tufanye upembuzi yakinifu.