Kwa hiyo huu nkataba mbona sijaona sahihi ya Mwanasheria zaidi ya waziri wa ujenzi na karibu mkuuHakuna Mkataba bila Mwanasheria! Na ukiona Mkataba hauna Mwanasheria ujuwe huo ni Mkataba wa Kugushi! Kwa ukimya wa AG usikufumbe macho!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app