Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aikataa Katiba

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aikataa Katiba

six hakujiandaa kisaikolojia na hili linalotokea sasa hivi ndani ya binge.
 
Yes ni kwel anastahil pongez na pia sitegemei kama wataweza kumtishia chochote kile na hata wale wajumbe hawawezi kiwatishia kwasasa kwan inaelekea yule alikuja kukazia mguu wa zanzibar
 
Msimamo ni kitu cha msingi katika maisha sifa ziwe juu yake mwanasheria MKUU WA #ZANZIBAR . Yule babu anasimama anasema sijawahi kuzungumza leo nizungumze kisha anazungumza ujinga usioeleweka chamsingi ni kuheshimu msimamo na maamuzi ya kila mmoja kwa nafasi yake.
 
mejitambua na wala hataki laana ya vizani vyake vijavyo
Ukimwangalia usoni utajua wazi pasina shaka kuwa yuko tayari kwa lolote na haterereki wala hayumbishwi na mawimbi aliyoyaona pale bungeni.Nimependa sana msimamo wake,ameonesha dhahiri ni msomi na mpambanaji wa kweli.Kwangu mimi ni Alama ya USHINDI kwa msimamo wake.Kaandika Historia yake ya kipekee.
 
Msimamo ni kitu cha msingi katika maisha sifa ziwe juu yake mwanasheria MKUU WA #ZANZIBAR . Yule babu anasimama anasema sijawahi kuzungumza leo nizungumze kisha anazungumza ujinga usioeleweka chamsingi ni kuheshimu msimamo na maamuzi ya kila
mmoja kwa nafasi yake.

Yule mzee alisema hajawahi kuongea kabisa bungeni kwahiyo apewe nafasi ya kuongea.kwa heshima m/kiti alimpa heshima ya pekee kuchangia badala ya kuchangia jambo la msingi kaishia kuponda uhuru wa mtu kutoa mdimamo wake na kuonesha wazi kabisa kuwa hajitambui kama mbunge pia haijui katiba ya zamani wala hajui katiba inayotungwa.hao ndio watu tuliowatuma kwenda kutunga katiba.
 
Kauli ya kakobe imetimia?
kuwa hawataelewana kama waliojenga mnara wa Babel?
666??$*~^#/
 
Nani anajua Mwanasheria huyo kakataa ibara zipi
Amekataa Ibara za 2,9,86,70 hadi 75, 128, 129,158,159,160,161,243 hadi 251 pamoja na nyongeza ya kwanza, maudhui yake hayo hapa:
2. Eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

9. Ukuu na utii wa Katiba
70. Muundo wa Muungano
71. Utekelezaji wa shughuli za Mamlaka ya Nchi
72. Mamlaka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano
73. Mamlaka ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mambo yasiyo ya muungano
74. Mahusiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
75. Wajibu wa viongozi wakuu kulinda Muungano

86. Utaratibu wa uchaguzi wa Rais

128. Madaraka ya kutunga Sheria
129. Utaratibu wa kubadilisha Katiba

158. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na mamlaka yake

159. Rais wa Zanzibar na mamlaka yake

160. Baraza la Mapinduzi la Zanzibar na kazi zake

161. Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

243. Misingi ya matumizi ya fedha za umma
244. Akaunti ya Fedha ya Pamoja
245. Tume ya Pamoja ya Fedha
246. Mfuko Mkuu wa Hazina
247. Masharti ya kutoa fedha za matumizi katika Mfuko Mkuu wa Hazina

248. Utaratibu wa kuidhinisha matumizi ya fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina
249. Utaratibu wa kuidhinisha matumizi ya fedha kabla ya sheria inayohusu matumizi ya fedha ya Serikali kuanza kutumika
250. Mfuko wa Matumizi ya Dharura
251. Mishahara ya baadhi ya watumishi kudhaminiwa na Mfuko Mkuu wa Hazina

Nyongeza ya Kwanza: Mambo 14 ya Muungano
 
Hivi punde akipiga kura baada ya kuja bungeni,amepiga kura ya Hapana kwa sura kadhaa na ibara kadhaa.

Baada ya kupiga kura ya Hapana,kuna mjumbe amesimama na kuomba muongozo ambapo amemshambulia kwa dhihaka na kejeli huku akiungwa mkono na wajumbe karibu wote wa CCM bara na wakisema hafai,mnafiki etc huku Sitta akionekana dhahiri kuruhusu vijembe hivyo na hatimae kahairisha bunge hadi Kesho.

Ikumbukwe kuwa Mwanasheria huyu wa Zanzibar alijiuzuru ujumbe wa kamati ya uandishi iliyo chini ya Chenge baada ya wajumbe wenzie kukataa mambo 17 aliyoyaleta ya Zanzibar yasiingie kwenye katiba ila bunge na kina Sitta walifanya siri.

kama kaletwa chini ya ulinzi mkali atakuwa kizuizini, yale yale ya abdul jumbe!
 
wapi lizaboni na simiyu yetu.....mibukusaba iliyo na akili kama mizombi.
 
Kiukweli znz mwanasheria wanaye.ila huku kwa kina tumbili.tu mwizi!
Kakubali yote ya Tanganyika ila yote yanayoigusa zanzibar hataki...hata mambo yaliyo kwenye hati ya muungano. Hana tofauti na aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar, Wolfgang Dourado,
 
Ameonyesha njia sahihi inayopaswa kufuatwa na magamba.
 
kama kaletwa chini ya ulinzi mkali atakuwa kizuizini, yale yale ya abdul jumbe!
Sasa hivi hawana ujanja ule, media kibao.. watetezi wa haki kibao hata ndani SMZ... Labda kumuweza wamuunganishe kwenye ile kesi ya ugaidi ya akina sheikh Farid na wenzake.
 
huyu ndiye mtaalamu na mwenye uoni mkubwa wa namna maslahi ya zanzibar yalivyominywa kwenye katiba. kw aahiyo ni ajabau km wazanzibar wa kawaida ambao wanamwani huyu kuwasaidia kubaini mapungufu katika haya mambo ya muungano wataacha kumfuata. Yeye ndiye anaangaliwa. na kura yake ni msumari wa mwisho kenye jeneza la katiba mptya ya CCM. Chochote watakachokifanya sasa hivi ni kuingiza zanzibar kwenye machafuko ambayo hayakuwahi kutoke tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Wazanzibar wameshazungumza, waheshimiwe.
 
Dhambi ya kutukana viongozi wa makanisa itamtafuna tu mzee 6.Walifikiri rasimu ya wananchi wakiipuuza watatoka salama mjengoni!Huku mtaani wanalaumiwa sana kwa kuupuuza rasimu ya Warioba,na kuliingizia Taifa hasara.
 
nitakuwaje raia wa zanzibar huru? tafadhali nisaidiwe kuwa sehemu ya watu huru na thabit kama wa zanzibar....msaada please
 
siwezi kuongozwa na werema hata kwa kupewa pesa...coward ag. coward mps coward erthing
 
huyu ndiye mtaalamu na mwenye uoni mkubwa wa namna maslahi ya zanzibar yalivyominywa kwenye katiba. kw aahiyo ni ajabau km wazanzibar wa kawaida ambao wanamwani huyu kuwasaidia kubaini mapungufu katika haya mambo ya muungano wataacha kumfuata. Yeye ndiye anaangaliwa. na kura yake ni msumari wa mwisho kenye jeneza la katiba mptya ya CCM. Chochote watakachokifanya sasa hivi ni kuingiza zanzibar kwenye machafuko ambayo hayakuwahi kutoke tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Wazanzibar wameshazungumza, waheshimiwe.

Kula like mkuu.
 
Hakidi zinatafutwa kwa nguvu, nimeona mama mmoja anaitwa Mama Kasembe alishapiga kura leo kaambiwa arudie kupiga eti hakusikikika vizuri jana, cha ajabu kama jana hakusikika vizuri kwa nini arudie kupiga na zile za juzi alizopiga ina maana na juzi hakusikika? Anasema ana watu kutoka Uwaka wamehaidi kupiga kwani hiyo ni siri maana ni kura za kila mtu na lazima jina lake lijulikane hata kama anapiga kwa siri lazima watu waone nani kapiga kura ya siri kwa nini hawa hawatajwi?
Hii ni tetesi nimeipata kwamba ili akidi ipatikane,watu wenye nguo za kiraia walimfikisha na kuhakikisha ameingia, akidi inatafutwa! Natafuta taarifa zaidi,nina wasiwasi wajumbe wengine pia wanaweza kuletwa under the same style,mwenye uhakika zaidi afunguke au mwanasheria mwenyewe
 
Back
Top Bottom