zipi
Amekataa Ibara za 2,9,86,70 hadi 75, 128, 129,158,159,160,161,243 hadi 251 pamoja na nyongeza ya kwanza, maudhui yake hayo hapa:
2. Eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
9. Ukuu na utii wa Katiba
70. Muundo wa Muungano
71. Utekelezaji wa shughuli za Mamlaka ya Nchi
72. Mamlaka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano
73. Mamlaka ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mambo yasiyo ya muungano
74. Mahusiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
75. Wajibu wa viongozi wakuu kulinda Muungano
86. Utaratibu wa uchaguzi wa Rais
128. Madaraka ya kutunga Sheria
129. Utaratibu wa kubadilisha Katiba
158. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na mamlaka yake
159. Rais wa Zanzibar na mamlaka yake
160. Baraza la Mapinduzi la Zanzibar na kazi zake
161. Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.
243. Misingi ya matumizi ya fedha za umma
244. Akaunti ya Fedha ya Pamoja
245. Tume ya Pamoja ya Fedha
246. Mfuko Mkuu wa Hazina
247. Masharti ya kutoa fedha za matumizi katika Mfuko Mkuu wa Hazina
248. Utaratibu wa kuidhinisha matumizi ya fedha zilizomo katika Mfuko Mkuu wa Hazina
249. Utaratibu wa kuidhinisha matumizi ya fedha kabla ya sheria inayohusu matumizi ya fedha ya Serikali kuanza kutumika
250. Mfuko wa Matumizi ya Dharura
251. Mishahara ya baadhi ya watumishi kudhaminiwa na Mfuko Mkuu wa Hazina
Nyongeza ya Kwanza: Mambo 14 ya Muungano