Mwanasheria Mkuu: Wabunge wa CHADEMA wa Viti Maalumu waliapishwa kwa mujibu wa Sheria na Katiba, CHADEMA isiwaguse

Serikali ya CCM Mpya haina historia ya kusimamia haki

MAGUFULI alivowanyooshea na kuwafokea wanasheria wanaochelewesha kesi ili haki isipatikane alaumu kukosekana maadili mema

 
we acha tu ndugu. Hiyo ndio dhana ya utawala bora ya tz
 
Yaani wabunge ni Chadema lakini wanalindwa na CCM?
 
I've never trusted the contents of this paper. If so, it is evident that the government has a hand in this immoral and dirty game. Shame on it!
 
Na ikitokea hivyo Chadema itakuwa TLP ijayo.
 
Leo gazeti la Uhuru linamtetea Halima Mdee???

Maajabu ya dunia.
 
Mshindo wa mlipuko huibua wajinga kama huyu!
 
Chadema haitashughulika kuwafukuza ubunge ila itawafukuza uanachama wanachama wake, hakuna sheria inayokataza mwanachama kufukuzwa, wataendelea kuwa wabunge wa chadema kupitia CCM.
 
Kesho ndio kesho ngoja tuone [emoji23][emoji23][emoji23]
Nalog off
Ijumaa ndio leo. Hadi sasa hakuna update yeotr ya kikao kuhusu Halima au Mbowe aliyrtajwa na Halima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
AG hana mamlaka ya kuwaonya CHADEMA labda ni kwa sababu hajawahi kua kwenye ulingo wa Siasa hajui hayo.Utaratibu ni kua wakivuliwa wanachama watapeleka majina mbadala.Mbona hakuwahi muonya lipumba wakati ule
 
Huku Vingi kumbe ni noma!

Hata wanasheria huwa wanavuta bange?

Kwani CHADEMA ki taasisi wapo chini ya AG??
 
AG zingatia katiba ya nchi, Kwa nn NUSRAT atolewe gerezani usiku na kukimbizwa kwenda kuapishwa? Ninyi ndiyo mnaoichafua hii nchi. Kama ww ndiyo AG wa serikali hivi KWELI wananchi tutarajie nini kama siyo mateso ya kuteswa na hizo Sheria zenu za kulinda TABAKA TAWALA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…