Mwanasheria Phillipo Mwakilima amtaka Spika Tulia Ackson aache kuchanganya sheria na siasa

Mwanasheria Phillipo Mwakilima amtaka Spika Tulia Ackson aache kuchanganya sheria na siasa

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Akihojiwa na chombo kimoja cha habari, Mwanasheria Phillipo Mwakilima anemkosoa vikali Spika Tulia Ackson kwa staili yake ya kujifanya ni mtafsiri sheria na mwalimu wa sheria kila sehemu anayokuwepo.

Wakili Mwakilima, akaponda kauli za spika kuwa eti bungeni walipitisha makubaliano na siyo mkataba wakati barua kutoka serikalini ya kuwasilisha mkataba ule bungeni ilitamka wazi kuwa serikali inataka bunge liridhie "Mkataba baina ya serikali na Dubai".

Pia Wakili Mwakilima akamkumbusha Spika kuwa hoja yake ya kusema kuwa katiba ya kufuata katika mambo ya nchi ni ya Kiingereza, Siyo kweli kwa sababu kwa mujibu wa muongozo wa sheria ya kutafsri katiba , Katiba rasmi ni ya KISWAHILI na si ya Kiingereza.

Wakili Mwakilima akamalizia kwa kusema kuwa huenda Tulia Ackson amemiss sana kufundisha darasani, kwa hiyo ni bora akarudi darasani kufundisha badala ya kudanganya na kupotosha watu huku nje.

Unaweza kutazama kipande cha Mahojiano hapa:

 
jiwe la utosi
20230615_104559.jpg
 
Akihojiwa na chombo kimoja cha habari, Mwanasheria Phillipo Mwakilima anemkosoa vikali Spika Tulia Ackson kwa staili yake ya kujifanya ni mtafsiri sheria na mwalimu wa sheria kila sehemu anayokuwepo.
Wakili Mwakilima, akaponda kauli za spika kuwa eti bungeni walipitisha makubaliano na siyo mkataba wakati barua kutoka serikalini ya kuwasilisha mkataba ule bungeni ilitamka wazi kuwa serikali inataka bunge liridhie "Mkataba baina ya serikali na Dubai".
Pia Wakili Mwakilima akamkumbusha Spika kuwa hoja yake ya kusema kuwa katiba ya kufuata katika mambo ya nchi ni ya Kiingereza, Siyo kweli kwa sababu kwa mujibu wa muongozo wa sheria ya kutafsri katiba , Katiba rasmi ni ya KISWAHILI na si ya Kiingereza.

Wakili Mwakilima akamalizia kwa kusema kuwa huenda Tulia Ackson amemiss sana kufundisha darasani, kwa hiyo ni bora akarudi darasani kufundisha badala ya kudanganya na kupotosha watu huku nje.

Unaweza kutazama kipande cha Mahojiano hapa:


Huyu gagula juzi huko Mbeya alitangaza jimbo lake ndilo Tanesco inatoza sh. 27,000/= kuwekewa umeme nyumba yako, wengine majimbo mengine tulikataliwa, Tanesco ithibitishe hilo la umeme wa sh. 27,000/= kuwa upo.
 
Akihojiwa na chombo kimoja cha habari, Mwanasheria Phillipo Mwakilima anemkosoa vikali Spika Tulia Ackson kwa staili yake ya kujifanya ni mtafsiri sheria na mwalimu wa sheria kila sehemu anayokuwepo.
Wakili Mwakilima, akaponda kauli za spika kuwa eti bungeni walipitisha makubaliano na siyo mkataba wakati barua kutoka serikalini ya kuwasilisha mkataba ule bungeni ilitamka wazi kuwa serikali inataka bunge liridhie "Mkataba baina ya serikali na Dubai".
Pia Wakili Mwakilima akamkumbusha Spika kuwa hoja yake ya kusema kuwa katiba ya kufuata katika mambo ya nchi ni ya Kiingereza, Siyo kweli kwa sababu kwa mujibu wa muongozo wa sheria ya kutafsri katiba , Katiba rasmi ni ya KISWAHILI na si ya Kiingereza.

Wakili Mwakilima akamalizia kwa kusema kuwa huenda Tulia Ackson amemiss sana kufundisha darasani, kwa hiyo ni bora akarudi darasani kufundisha badala ya kudanganya na kupotosha watu huku nje.

Unaweza kutazama kipande cha Mahojiano hapa:

Mwisho wa Tulia Ackson umefika rasmi .
 
Akihojiwa na chombo kimoja cha habari, Mwanasheria Phillipo Mwakilima anemkosoa vikali Spika Tulia Ackson kwa staili yake ya kujifanya ni mtafsiri sheria na mwalimu wa sheria kila sehemu anayokuwepo.
Wakili Mwakilima, akaponda kauli za spika kuwa eti bungeni walipitisha makubaliano na siyo mkataba wakati barua kutoka serikalini ya kuwasilisha mkataba ule bungeni ilitamka wazi kuwa serikali inataka bunge liridhie "Mkataba baina ya serikali na Dubai".
Pia Wakili Mwakilima akamkumbusha Spika kuwa hoja yake ya kusema kuwa katiba ya kufuata katika mambo ya nchi ni ya Kiingereza, Siyo kweli kwa sababu kwa mujibu wa muongozo wa sheria ya kutafsri katiba , Katiba rasmi ni ya KISWAHILI na si ya Kiingereza.

Wakili Mwakilima akamalizia kwa kusema kuwa huenda Tulia Ackson amemiss sana kufundisha darasani, kwa hiyo ni bora akarudi darasani kufundisha badala ya kudanganya na kupotosha watu huku nje.

Unaweza kutazama kipande cha Mahojiano hapa:

Niliposikia Mtu mwenye mamlaka ya Spika wa nchi anasema katika nchi yake tafsiri ya Katiba yake iko kwenye lugha ya kigeni (Kiingereza) badala ya lugha mama (Kiswahili) nikasema tumepatikana.
 
Huyu gagula juzi huko Mbeya alitangaza jimbo lake ndilo Tanesco inatoza sh. 27,000/= kuwekewa umeme nyumba yako, wengine majimbo mengine tulikataliwa, Tanesco ithibitishe hilo la umeme wa sh. 27,000/= kuwa upo.
Tanesco wakikubali kutumika watakuwa wajinga sana ! nakuhakikisha kama jambo hili ni la kweli tutahakikisha uongozi wa Tanesco Mbeya unang'olewa , Liwalo na Liwe
 
Akihojiwa na chombo kimoja cha habari, Mwanasheria Phillipo Mwakilima anemkosoa vikali Spika Tulia Ackson kwa staili yake ya kujifanya ni mtafsiri sheria na mwalimu wa sheria kila sehemu anayokuwepo.
Wakili Mwakilima, akaponda kauli za spika kuwa eti bungeni walipitisha makubaliano na siyo mkataba wakati barua kutoka serikalini ya kuwasilisha mkataba ule bungeni ilitamka wazi kuwa serikali inataka bunge liridhie "Mkataba baina ya serikali na Dubai".
Pia Wakili Mwakilima akamkumbusha Spika kuwa hoja yake ya kusema kuwa katiba ya kufuata katika mambo ya nchi ni ya Kiingereza, Siyo kweli kwa sababu kwa mujibu wa muongozo wa sheria ya kutafsri katiba , Katiba rasmi ni ya KISWAHILI na si ya Kiingereza.

Wakili Mwakilima akamalizia kwa kusema kuwa huenda Tulia Ackson amemiss sana kufundisha darasani, kwa hiyo ni bora akarudi darasani kufundisha badala ya kudanganya na kupotosha watu huku nje.

Unaweza kutazama kipande cha Mahojiano hapa:


Namna ya kumsaidia ni kumnyima Ubunge ili abaki kuwa mwanasheria
 
Kwahyo anaona Bora Mhe arudi chuo kuwafundisha huo uongo Wanafunzi ambao ndio tegemeo la baadae😁
 
Back
Top Bottom