Sheria ndo wakati mwingine imekaa kijinga ndo maana kuna mazingira busara za jaji lazima zitumike maana hapo wakili akiuliza ni kinyume cha sheria kumwaga mafuta uliyonunua mwenyewe? Jibu ni hapana, Sasa didy aliyamwaga.Atakua alinunua tu kwa sababu ana nyumba kubwa, si kama alizihitaji kwa matumizi yoyote.
Mawakili wakiulizwa sasa mbona zilikua tupu mafuta alienda wapi? Watasema kile kipindi ambapo joto lilipanda sana mafuta yaliharibika Diddy akaamua kuyamwaga chooni hivyo zikabaki chupa tupu!
Mawakili huwa na akili za kijinga sana
Inasemakana iyo michezo alikua anawafanyia watoto wadogo mfano justin bieber akiwa bado mdogo na pia hata hao watu wazima alikua anawachanganyia madawa kwenye vinywaji ndio anawazibua mitaro lakini hili halina ushaidi wa wazi inawezekana zikawa story cha kuchangamsha genge tuHivi huyu jamaa anatuhumiwa kwa makosa yepi hasa?
Kua na idadi kubwa ya hayo mafuta ni kosa kisheria US?
Halafu wazungu si ndio wanashadadia haya mambo ya watu kulana marinda? kwa hiyo hilo nalo pia ni kosa anatuhumiwa nalo huko US?
Hao aliowala marinda (Kama ni kweli) aliwabaka au ni kwa tamaa zao tu?
Anayejua tuhuma za huyu jamaa atuwekee hapa.
Anatuhumiwa kwa kufanya unyanyasaji wa ngono waume kwa wake,vile vile hawo walionyanyaswa inadaiwa walikuwa wanatoka mbali ie..AfricaHivi huyu jamaa anatuhumiwa kwa makosa yepi hasa?
Kua na idadi kubwa ya hayo mafuta ni kosa kisheria US?
Halafu wazungu si ndio wanashadadia haya mambo ya watu kulana marinda? kwa hiyo hilo nalo pia ni kosa anatuhumiwa nalo huko US?
Hao aliowala marinda (Kama ni kweli) aliwabaka au ni kwa tamaa zao tu?
Anayejua tuhuma za huyu jamaa atuwekee hapa.
Hawa si watu wa kuwaamini, huku kwetu wanatulazimisha ushoga huko kwao wanawakamata wenye kuwapaka wenzao mafuta, mbona hatuwaelewi?Wakati dunia ikiwa busy kujiuliza kwanini P Diddy alikutwa na chupa takriban 1000 za mafuta ya watoto kipindi anakamatwa na FBI, mwanasheria wa msanii huyo amejitokeza hivi karibuni kujibu tuhuma hizo.
Akizungumza na TMZ, Marc Agnifilo alisema kuwa Diddy ana nyumba kubwa kwa hivyo ananunua vitu vyake kwa wingi na kwamba kwa Diddy hicho ni kitu cha kawaida sana kwani huwa na Costcos karibu kwenye kila nyumba anayoishi
Soma pia: Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga
Kwa Diamond na Babu Tale alitumia mbili tu, zikabaki 998Wakati dunia ikiwa busy kujiuliza kwanini P Diddy alikutwa na chupa takriban 1000 za mafuta ya watoto kipindi anakamatwa na FBI, mwanasheria wa msanii huyo amejitokeza hivi karibuni kujibu tuhuma hizo.
Akizungumza na TMZ, Marc Agnifilo alisema kuwa Diddy ana nyumba kubwa kwa hivyo ananunua vitu vyake kwa wingi na kwamba kwa Diddy hicho ni kitu cha kawaida sana kwani huwa na Costcos karibu kwenye kila nyumba anayoishi
Soma pia: Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga
Nakazia ni lipi kosa la Sean Combs P didy?Hivi huyu jamaa anatuhumiwa kwa makosa yepi hasa?
Kua na idadi kubwa ya hayo mafuta ni kosa kisheria US?
Halafu wazungu si ndio wanashadadia haya mambo ya watu kulana marinda? kwa hiyo hilo nalo pia ni kosa anatuhumiwa nalo huko US?
Hao aliowala marinda (Kama ni kweli) aliwabaka au ni kwa tamaa zao tu?
Anayejua tuhuma za huyu jamaa atuwekee hapa.
nadhani issue ni kuwa aliwafanyia watu ambao umri wao ni mdogoHivi huyu jamaa anatuhumiwa kwa makosa yepi hasa?
Kua na idadi kubwa ya hayo mafuta ni kosa kisheria US?
Halafu wazungu si ndio wanashadadia haya mambo ya watu kulana marinda? kwa hiyo hilo nalo pia ni kosa anatuhumiwa nalo huko US?
Hao aliowala marinda (Kama ni kweli) aliwabaka au ni kwa tamaa zao tu?
Anayejua tuhuma za huyu jamaa atuwekee hapa.
vitu vingine alivyokutwa navyo ni Rais wa Tandale na mbunge hamnazoUkiachilia mbali mafuta, vitu gani vingine ananunua "in bulk" na vilikutwa vingi nyumbani kwake?
Umenikumbusha miaka hiyo!
Huyu jamaa PDiddy alimuacha kweli?
Hii nyimbo nilikuwa naikubali bump, bump, bump by B2k.
Sasa mafuta kununua ni illegal?Ukiachilia mbali mafuta, vitu gani vingine ananunua "in bulk" na vilikutwa vingi nyumbani kwake?