Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
Kampuni yoyote, hasa kampuni kubwa kama tiGO inakuwa na organization structure yake ambayo iko well organized. Mwanasheria sio part ya management bali ni muajiriwa wa kawaida tu ambaye kwa kawaida huwa wako chini ya Idara ya Rasilimali Watu.
Lazima wana departments kadhaa ambazo kila moja ina majukumu yake. Mwanasheria wa kampuni anakuwa chini ya Idara ya Rasilimali Watu ambayo lazima iwe na mkuu wake wa idara.
Pia kampuni lazima iwe na msemaji ambaye ndiye anahusika na kuisemea kampuni kwenye mambo yote yanayoihusu. Na yeye anakuwa yuko chini ya hiyohiyo idara ya rasilimali watu.
Masuala yote yanayotoka nje, hasa yanayohusu taarifa za wateja hayawezi kufanyika bila kupitia hii idara ya rasilimali watu. Maombi ya taarifa za wateja yakishamfikia mkuu wa idara ndipo yeye sasa atawapa maelekezo wahusika waandae nyaraka zinazotakiwa kulingana na request husika.
Huyu mwanasheria wa tiGO imekuwaje kila kitu amefanya yeye, mpaka saini amehusika yeye peke yake.
Inawezekanaje mtu ambaye hayupo hata kwenye management ya kampuni anafanya mchakato wote yeye peke yake bila hata management kujua? Mpaka saini zote ni za kwake tuu, hamna za mkuu yeyote wa kitengo chochote. Hii ni ajabu sana.
Kamwe kwenye kampuni kubwa kama MIC haiwezekani mwanasheria uwe na access ya kila kitu, haiwezekani mwanasheria unakuwa na access na mifumo yoooote. Sasa mwanasheria akifanya kazi za watu wa IT na watu wa IT watakuwa na kazi gani?
Lazima wana departments kadhaa ambazo kila moja ina majukumu yake. Mwanasheria wa kampuni anakuwa chini ya Idara ya Rasilimali Watu ambayo lazima iwe na mkuu wake wa idara.
Pia kampuni lazima iwe na msemaji ambaye ndiye anahusika na kuisemea kampuni kwenye mambo yote yanayoihusu. Na yeye anakuwa yuko chini ya hiyohiyo idara ya rasilimali watu.
Masuala yote yanayotoka nje, hasa yanayohusu taarifa za wateja hayawezi kufanyika bila kupitia hii idara ya rasilimali watu. Maombi ya taarifa za wateja yakishamfikia mkuu wa idara ndipo yeye sasa atawapa maelekezo wahusika waandae nyaraka zinazotakiwa kulingana na request husika.
Huyu mwanasheria wa tiGO imekuwaje kila kitu amefanya yeye, mpaka saini amehusika yeye peke yake.
Ombi la taarifa za mteja amepokea yeye (ambapo zilitakiwa zifike kwanza kwa Director wa HR)
Print-out za KYC ametoa yeye (ambapo alitakiwa atoe mtu wa Registration)
Print-out za tiGO pesa ametoa yeye (ambapo alitakiwa atoe mtu wa Mobile Money Transactions)
Barua ya majibu ameandika yeye (ambapo alitakiwa aandike Director wa HR)
Inawezekanaje mtu ambaye hayupo hata kwenye management ya kampuni anafanya mchakato wote yeye peke yake bila hata management kujua? Mpaka saini zote ni za kwake tuu, hamna za mkuu yeyote wa kitengo chochote. Hii ni ajabu sana.
Kamwe kwenye kampuni kubwa kama MIC haiwezekani mwanasheria uwe na access ya kila kitu, haiwezekani mwanasheria unakuwa na access na mifumo yoooote. Sasa mwanasheria akifanya kazi za watu wa IT na watu wa IT watakuwa na kazi gani?