Mwanasheria wa tiGO katika Organogram ya Kampuni ni mtu mdogo sana, hawezi kuwa na access na mifumo yote aliyoitaja

Mwanasheria wa tiGO katika Organogram ya Kampuni ni mtu mdogo sana, hawezi kuwa na access na mifumo yote aliyoitaja

Hapa ndio unajiuliza arguement kama hizi zinasaidiaje Mbowe kutoka kitanzini. Kwa hiyo mtu kama muandishi wa habari, akipewa majukumu ya uafisa uhisiano, mtadai huyu ni muandishi tu. Hamuamini ndani ya taasisi kuna nafasi anapewa mtu anaejua sheria kuepuka kufanya makosa ya kisheria?
Sasa wewe thibitisha iwapo zile laki tano alizotuma Mbowe zilienda kweli kifadhiri ugaidi bila kuacha shaka yoyote.
 
Uko sahihi mkuu. Ukiachilia mbali namna maombi ya taarifa yalivofika kwake/Tigo - shahidi alikuwa na wajibu wa kuonesha tu kuwa namba aliyopewa kuitolea taarifa ilifanya hivo kwa namba za washitakiwa. Matokeo yake akatoa taarifa za miezi miwili zikionesha taarifa za watu wengine wengi pia. Watu hao hawajalindwa taarifa zao japo hawahusiki na kesi hii. Mpaka shahidi anamaliza ushahidi hakutamka kwa mdomo wake kuwa kulikuwa na miamala iliyoenda kwa washitakiwa (labda documents zitaonesha). Badala yake ameacha maswali mengi sana ambayo yanaibua hoja kuhusu ushiriki wake katika jambo zima. Sikuwahi kusikia kampuni ya kibiashara ikiwa na mfumo unaoruhusu mawasiliano yake na nje/umma yakiwa mikononi mwa jmtu ambaye hayuko kwenye management. Tena mashirika mengi yanazuia wafanyakazi wake hata kutoa comment yoyote kuhusu jambo la kampuni (ndio maana ya kuweka watu wa mawasiliano ya umma). Shahidi anaulizwa kama katika viambatanisho kuna barua aliyopokea kutoka polisi, anajibu hapana. Kama barua ilikuwa minuted na uongozi wake wa juu kuonesha alipewa maelekezo kufanya aliyofanya, anajibu hapana. Je alishughulikia jambo hilo toka mwanzo mpaka mwisho peke yake, anajibu ndio.

Ameiacha tigo katika wakati mgumu na ingeweza kutokea kesi ndogo nyingine kuhusu jinsi ushahidi ulivopatikana - utetezi labda kwa makusudi uliacha tru jambo hili lipite!
Yaani, basi tu!
 
Hapa ndio unajiuliza arguement kama hizi zinasaidiaje Mbowe kutoka kitanzini. Kwa hiyo mtu kama muandishi wa habari, akipewa majukumu ya uafisa uhisiano, mtadai huyu ni muandishi tu. Hamuamini ndani ya taasisi kuna nafasi anapewa mtu anaejua sheria kuepuka kufanya makosa ya kisheria?
Mkuu, hadi sasa kesi ya utetezi bado haijaanza, kesi ipo hatua ya mashtaka. Kama jaji ataamua kuna kesi ya kujibu hapo ndio mtaanza kusikia wanajiteteaje.

Kinachofanyika sasa ni kudiscredit ushahidi wa upande wa serikali ili ikiwezekana, jaji aone mashtaka hayana mashiko, au washtakiwa hawana kesi ya kujibu.
 
hapo ndipo tunaposhangaa tulio wengi, hata Mahakama nayo ikabaki inashangaa - ombi la barua yeye, kusaka data za mteja yeye, kujibu na kusign barua yeye, hivi hawa TIGO kumbe ni taasisi ndogo namna hii, yaani ni sawa na haya makanisa yetu ya kilokole mitaani - kila kitu ni baba mchungaji... kama hayupo basi mnawekewa recorded voice clip.
Mkuu hapo kwenye Baba mchungaji nimebaki nacheka tuu [emoji1787]
 
Inaonekana huyu Avae Kapala Freddy kawa surprise sana acheni mambo yaende yafika mwisho atakayeokota mfupa au atakayeambulia harufu ajulikane maisha mengine yaendelee
 
Na watu wa aina yako ndio shida ya taifa hili. Sidhani umeelewa point ya jamaa. Shahidi ni legal officer (mshauri wa maswala ya sheria). Majukumu kwa sehemu kubwa ni hayo na kwa sehemu ndogo ni mengine. Usitake kuonesha kuwa ni yeye pia mtu wa Tigo pesa, au IT department! Point kubwa hapa ni kuwa ushahidi wake unaongeza mashaka kuliko kuyaondoa. Mbowe katuma pesa. Hilo ndilo jambo alipaswa kulionesha na kama kutuma au kutumiwa sio kosa, hakupaswa kutoa taarifa hizo, kama amezitoa basi ushiriki wake lazima uhojiwe!! Mashaka yanayohojiwa ni kama alikuwa na mamlaka ya kufanya hivo na alifanywa kwa mujibu wa sheria.

Mbona mnakuwa viazi kiasi hiki, hukujua kulikuwa kuna kesi ndogo ya kupinga maelezo ya mshitakiwa kuletwa Mahakamani na hata kupinga hati ya mashtaka?? Jaji mmoja alikubaliana na waleta shauri kuwa hati haikuwa sawa na irekebishwe (alipaswa kuifuta kesi) na wa pili akaonesha hakuna ushahidi maelezo yalichukuliwa kwa mateso na vitisho. Unajua kuwa kesi ya pili utetezi ungeshinda ndio kesi nzima ingekosa "standing" na kufutwa kabisa?? Wasingefikia hata huku kwenye Mbowe kutuma pesa.

Nakushauri usiangalie mwisho wa jambo, sheria huangalia limefikiwaje.
Unamfundisha Mbuzi.
 
Kingine kilichonishangaza ni kusema hakuna taarifa za aliyesajili line.

Hii maana yake hata wale matapeli wanaosumbua watu wanatumia mwanya huu kusajili line na kuibia watu kwa sababu taarifa zao hazitafahamika kuwa ni wapi na nani amewasajilia line zao.
Na kama sivyo, basi shahidi #5 alikusudia kuwachafua TIGO kwa makusudi ili kutimiza matakwa ya ushahidi wake bila kuathiri ukweli wa maelezo yake.

Nadhani ni wakati sasa wa wateja wa mitandao ya simu kuanza kubadili mtazamo juu ya sheria za faragha zinazomlinda mtumiaji wa huduma.
Screenshot_20211102-174010~3.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20211102-174010.jpg
    Screenshot_20211102-174010.jpg
    40.8 KB · Views: 1
Kingine kilichonishangaza ni kusema hakuna taarifa za aliyesajili line.

Hii maana yake hata wale matapeli wanaosumbua watu wanatumia mwanya huu kusajili line na kuibia watu kwa sababu taarifa zao hazitafahamika kuwa ni wapi na nani amewasajilia line zao.
Na kama sivyo, basi shahidi #5 alikusudia kuwachafua TIGO kwa makusudi ili kutimiza matakwa ya ushahidi wake bila kuathiri ukweli wa maelezo yake.

Nadhani ni wakati sasa wa wateja wa mitandao ya simu kuanza kubadili mtazamo juu ya sheria za faragha zinazomlinda mtumiaji wa huduma.View attachment 1997073
Kwa style hii usishangae Laini yako ikafungwa wakaisajili juu kwa juu wanakomba pesa na kuifanyia uharifu
 
Kwa style hii usishangae Laini yako ikafungwa wakaisajili juu kwa juu wanakomba pesa na kuifanyia uharifu
Hakika mkuu unachokisema.

Niliwahi kusikia tetesi kuwa baadhi ya mawakala ukimpa kitambulisho kusajili anakutengenezea mazingira ya kuamini kuwa mtandao unasumbua ili akuchukue alama za vidole zaidi ya mara 1 kumbe anasajili line zingine mbali ya ile unayosajiliwa wewe.

Kwa majibu haya kuwa hawawajibiki kumlinda mteja kutoka kwa mwanasheria wa kampuni ni hatari zaidi.
 
kibatala aligusia pale kesi ya kibubu ya tigo mteja kuchukuliwa hela kwenye kibubu ,mi ni mpenzi wa kuweka hela tigo kibubu kwasababu hamna makato Ila nikahamisha benki fasta baada ya kumsikiliza kibatala

Halafu yule zezeta akasema hajui kama kampuni yake ina mgogoro huo....yaani Ni lezafea wa kiwango Cha lami
 
Kingine kilichonishangaza ni kusema hakuna taarifa za aliyesajili line.

Hii maana yake hata wale matapeli wanaosumbua watu wanatumia mwanya huu kusajili line na kuibia watu kwa sababu taarifa zao hazitafahamika kuwa ni wapi na nani amewasajilia line zao.
Na kama sivyo, basi shahidi #5 alikusudia kuwachafua TIGO kwa makusudi ili kutimiza matakwa ya ushahidi wake bila kuathiri ukweli wa maelezo yake.

Nadhani ni wakati sasa wa wateja wa mitandao ya simu kuanza kubadili mtazamo juu ya sheria za faragha zinazomlinda mtumiaji wa huduma.View attachment 1997073
Huyu shahidi wa Tigo, anafikirisha na kutia mashaka sana. Kuna kila dalili kuwa huyu ni member wa genge la kutengeneza/kubumba kesi kwa watu tishio kwa CCM na Serikali (watawala)...

Hebu cheki majibu yake. Ni aidha ana KIBURI CHA UZIMA kwa sababu anawategemea watu fulani fulani watamlinda au alijibu swali hili bila kufikiria madhara yake kwake na kampuni...

SWALI LA WAKILI KIBATALA: Mlichukua hatua gani kumlinda mteja...?

JIBU LA SHAHIDI TIGO NI: Hiyo siyo kazi yetu. Hakuna hatua tuliyochukua kumlinda mteja...!!!

##Inasikitisha kuwa, hata majaji wote wanaosikiliza kesi hizi hushirikiana na upande wa mashitaka na mashahidi wao kutafuta mwanya wa kumtia hatiani na kumfunga mtuhumiwa....

##Ndo kusema, hata Jaji ni sehemu ya syndicate hii ya kuwafunga wanasiasa wakosoaji wa serikali na CCM.

Lakini, Mimi naona kabisa kuwa haya mambo yanaenda kwisha sasa na Tanzania kuzaliwa upya...!!
 
Back
Top Bottom