Mwanasheria wa tiGO katika Organogram ya Kampuni ni mtu mdogo sana, hawezi kuwa na access na mifumo yote aliyoitaja

Mwanasheria wa tiGO katika Organogram ya Kampuni ni mtu mdogo sana, hawezi kuwa na access na mifumo yote aliyoitaja

Daaah nimeogopa Jana nilikuwa nachart na mke wa mtu, kupitia tigo chip huenda huyu Frank akamwambie mume wake , Jaman Fred aka Alfred usimwambie mumewe ntafungwa mie , la sivyo ntahamia Voda au Airtel au hallotel
Hao voda wenyewe hujasikia walivyomkaanga sabaya huko arusha?
 
Mkuu, hadi sasa kesi ya utetezi bado haijaanza, kesi ipo hatua ya mashtaka. Kama jaji ataamua kuna kesi ya kujibu hapo ndio mtaanza kusikia wanajiteteaje.

Kinachofanyika sasa ni kudiscredit ushahidi wa upande wa serikali ili ikiwezekana, jaji aone mashtaka hayana mashiko, au washtakiwa hawana kesi ya kujibu.
Kwa mwenendo ninaouona lazima Mbowe ana kesi ya kujibu. Haijalishi hivyo vimaswali vya Kibatala ambavyo CDM wanaona kama vimewavusha
 
Ukishakuwa chini ya Managing Director wewe tena siyo Director isipokuwa kwa sababu umbumbumbu umewajaa nyinyi watanzania wanaluita jina Director of corporate affairs.

Ni jina tu lakini wewe siyo director. The Compani Act imefafanua vizuri maana ya Director.

Wewe ni mnyapala wa wenzako.
Siyo kweli, Companies Act inaruhusu kampuni kuwa na wakurugenzi zaidi ya wawili.
Wewe hiyo Companies Act yako umeitoa wapi ???
 
Ni kweli kabisa Companies Act inaruhusu Director zaidi ya wawili.

Tabu yenu watanzania mnaodanganywa mmepewa u director ni hii.

Hao ma director wanaosemwa kwenye Companies Act wamo kweye list pale Brela yaani ni decision makers. Hawako chini ya mtu yeyote.

Kampuni nyingi wengi huingia kwenye board tu hawafanyi executive duties. Executive duties wanachagua mwenzao na kwa jina la kazi wanamwia Managing Director au Finace Director.

Wengi hpa nchini huwa Managing na Finance Director.

Kwa sababu kisheria kama inavyosema Company Act hakuna mkubwa kwa mwenzake. Wewe unamwita Managig Director lakini Company Act haitambui hicho cheo inatambua tu Director.

Hii maana yake ukiwa director hauko chinj ya MD bali unalinfana naye na ikibidi kukataa mambo yake na mkiingia kwenye board unamtoa kwa hoja zako.

Wewe uneshasena uko chini ya Managing Director halafu eti ni director. Kimsingi watanzani wengi kwa ujinga wenu mnatulizwa hivyo kwa kupachikwa jina director.

Wewe ni maneja tu japo umepachikwa jina director. Wewe ni subordinate kwa director kisheria ambaye mmeamu kumeita Managing Director.

Ukishakuwa subordinate wa director actually wewe ni employee tu na director ndiye employer.

Watanzania amkeni huko kwenye makampuni kumejaa vihiyo mmebandikwa jina director wakati kumbe ni manager.

Wanakudanganta kwa kukupa mshahara unaoona ni mzuri nyumba nzuri na wewe unasinzia kama pono unajiita director.

Soma the Company Act wala siyo vifungu vyite ujijue kwamba wewe siyo director ni meneja tu au supervisor.


Siyo kweli, Companies Act inaruhusu kampuni kuwa na wakurugenzi zaidi ya wawili.
Wewe hiyo Companies Act yako umeitoa wapi ???
 
Kwaheri kwa mpalange. Bakini na dhambi zenu za usodoma
FB_IMG_1635927509330~2.jpg
 
Ni kweli kabisa Companies Act inaruhusu Director zaidi ya wawili.
Nashukuru umekubali kwamba The Companies Act inaruhusu wakurugenzi zaidi ya wawili.
Hayo mengine ya kutaka vyeo ni majungu ya kike-kike ambayo binafsi ziwezi kuyajadili.

Lakini nachoweza kukushauri ni kwamba tembea uone na uache ushamba na ujuaji,...
Hivi kampuni ya UNILEVER unajua ina wakurugenzi (Directors/Chiefs) wangapi ???
 
The Company Act haitambui Director kama wewe ndiyo context ya post yangu.

Jina lako haliko BRELA kama one of the directors.

Wewe ni meneja wa employees wenzako wakati director siyo employee ni employer.

Nashukuru umekubali kwamba The Companies Act inaruhusu wakurugenzi zaidi ya wawili.
Hayo mengine ya kutaka vyeo ni majungu ya kike-kike ambayo binafsi ziwezi kuyajadili.

Lakini nachoweza kukushauri ni kwamba tembea uone na uache ushamba na ujuaji,...
Hivi kampuni ya UNILEVER unajua ina wakurugenzi (Directors/Chiefs) wangapi ???
 
The Company Act haitambui Director kama wewe ndiyo context ya post yangu.

Jina lako haliko BRELA kama one of the directors.
Unakubali au unakataa kwamba kampuni kubwa kama UNILEVER linaweza kuwa na wakurugenzi hata 5 ambao wameandikwa ndani ya MEMART na kutambulika na mamlaka ya usajili ???

Pili, naona unakariri mambo na una uelewa mdogo sana kuhusu sheria lakini unalazimisha na kutaka kuvimba: Kiufupi Companies Act inataka msajili wa BRELA kupewa taarifa ya kila mtu anayehusika na nafasi ya utawala ndani ya kampuni. Kila mtu aliyeko kwenye ngazi ya utawala jina lake lazima jina lake lipelekwe BRELA wewe utasemaje majina yao hayako ???
 
Jibu maswali kisheria acha majungu ya kike ya kusema najifanya najua, sijasema najifanya.

Kwa kifupi acha kudanganya wasiojua sheria. Hakuna provision yoyote katika the Companies Act inayotetea unayodanganya.

Wala hujifanyi unajua kikubwa ni kwamba hujui. Wewe mwenyewe umesema ni subordinate wa Managing Director.

Kwa mujibu wa The Companies Act hakuna Director ambaye ni subordinate kwa mwenzake.

Walio subordinate kwa Director ni employee kama wewe na actually unaweza kuwaita jina lolote kama manager, supervisor au chochote.

Pale BRELA majina ya directors wa kampuni uliyomo jina lako halimo.

Unakubali au unakataa kwamba kampuni kubwa kama UNILEVER linaweza kuwa na wakurugenzi hata 5 ambao wameandikwa ndani ya MEMART na kutambulika na mamlaka ya usajili ???

Pili, naona unakariri mambo na una uelewa mdogo sana kuhusu sheria lakini unalazimisha na kutaka kuvimba: Kiufupi Companies Act inataka msajili wa BRELA kupewa taarifa ya kila mtu anayehusika na nafasi ya utawala ndani ya kampuni. Kila mtu aliyeko kwenye ngazi ya utawala jina lake lazima jina lake lipelekwe BRELA wewe utasemaje majina yao hayako ???
 
Kwa Bongo, everything is possible ...... Inawezekana huyo naye ni mtu wao.

Tanzania watu wa Kitengo wako kila mahali mpaka makanisani, wengine ni mapadri!!
Wako mpaka kwenye vilabu vya mbege,wanzuki,kwenye mabucha ya kitimoto mpaka Uwanja wa fisi.
 
Jibu maswali kisheria acha majungu ya kike ya kusema najifanya najua, sijasema najifanya.

Kwa kifupi acha kudanganya wasiojua sheria. Hakuna provision yoyote katika the Companies Act inayotetea unayodanganya.

Wala hujifanyi unajua kikubwa ni kwamba hujui. Wewe mwenyewe umesema ni subordinate wa Managing Director.

Kwa mujibu wa The Companies Act hakuna Director ambaye ni subordinate kwa mwenzake.
Aisee, basi sawa! Ila shirika nililopo mimi halijasajiliwa Tanzania na limekuwepo hata kabla ya BRELA kuundwa.

Japo nachelea kusema mambo yafuatayo:
Mosi, hakuna jina la Mkurugenzi/Katibu/Meneja au Kiongozi wa kampuni ambalo haliko BRELA. Kifungu cha 210 cha Companies Act kinataka Wakurugenzi/Makatibu wote ndani ya kampuni kupeleka majina yao kwa msajili wa BRELA kila baada ya muda. Hili linasaidia mambo mengi, mojawapo ni Pinpointing Director's Liability.

Nashangaa sana unavyokazana kusema kwamba majina ya wakurugenzi na makatibu hayapo BRELA. Huenda nafanya mjadala na mtu anayezungumzia kampuni ndogo, tena binafsi (A Private Company) yenye mtaji wa milioni 100 labda, lakini katika dhana nzima ya shirika/kampuni kubwa (Multinational Corporations) wakurugenzi ni wengi na wamegawanyika, na lazima majina yao yapelekwe kwa msajili wa makapuni.

Ukisoma kwa undani kabisa utatambua zaidi kwamba siyo kila Director ni Executive au Residential. Kuna Non-Executive au Non-Residential Directors: Lakini wote wanatambulika kisheria kama Directors/Wakurugenzi na kila mtu ana kazi yake ya kiuongozi ndani ya kampuni (Lakini hawa wote ni wakurugenzi). Ukitembelea Egalitarian Societies kama Scandinavia sheria imeweka ulazima kabisa kwamba lazima wawe na A Woman's Director ndani ya kampuni, pindi inaposajiliwa

Pili, napata shida sana unaposema Companies Act inakataza mkurugenzi moja kuwa juu ya mwingine. Kiufupi nifahamuvyo mimi au labda nina uelewa mdogo. Companies Act inatoa mwongozo wa jumla wa jinsi gani mfumo mzima wa kampuni untakiwa uwe. Ila suala zima la mkurugenzi yupi anawajibika kwa yupi au idadi ya wakurugenzi na majukumu yao liko ndani ya MEMART na ndiko tunapata Organogram ya kampuni. Sasa usilazimishe kwamba wakurugenzi ni lazima wawe sawa.

Wanaoamua wakurugenzi waweje na katika mfumo gani kwenye kampuni la wazi (Public Companies) ni shareholders. Hawa ndiyo huamua nini kiwe nini kwenye MEMART na vikao vyao (Annual & Extra-Ordinary Meetings) na siyo Companies Act.

Lakini pia kuna wakati mwingine makampini yakiwa makubwa Directorship yake hufanywa hata na Kampuni jingine. Hivyo kampuni jingine kubwa (A Holding Company) linaweza kuwa mkurugenzi kwa kampuni jingine dogo ( A Subsidiary). Mkurugenzi wa A Holding Company huwa anakuwa mkubwa kuliko mkurugenzi wa A Subsidiary Company. Mkuu wewe unaendelea kuzalimisha tu ??? Hebu nikupe kifungu cha sheria basi, Soma kifungu (Section) 487 of Companies Act.

Tatu, hata Mkurugenzi (A Director) naye ni mwajiriwa, hatakuwa mwajiriwa endapo tu yeye naye ni mwanahisa (A Shareholder). Unavyosema kwamba usipokuwa mkurugenzi wewe ni mwajiriwa tu, sijakuelewa vizuri. Maana Mkurugenzi wa kampuni la wazi (Public Company) naye ni ameajiriwa na wanahisa(Shareholders), ana mshahara wake na anaweza kutimuliwa. Sasa unaposema kwamba wewe ni mwajiriwa tu au nyapara napata ukakasi.

NB: In a Public Company, unless A Director is a Shareholder, he's merely an employee with ordinary remuneration. And he reports to the Chairman of the Board of Directors (Board of Directors in General) and the Meetings of Shareholders (Be it annual or extra-ordinary). Sasa endelea kukomaa.....

Ninachokisema hapa, pia kimesemwa na tovuti kubwa na inayoaminika kama Investopedia: The Basics of Corporate Structure
 
Kama legal officer wa tigo alichotakiwa kufanya ni kuongoza waliotakiwa kutoa hizo taarifa, kuzitoa bila kwenda nje yaa mstari wa sheria.

Swala la yeye kusimamia kila kitu linaleta doubt na maswali mengi sana. Ina maana tigo wamejiachia kiasi hicho?

Kwamba mtu mmoja anaweza kushughulika na taarifa za mteja na kujibu barua zilizo adresiwa kwa kampuni?

Kama kweli swala hili limekaa kinamna alivyoeleza shahidi, basi tigo ni wa kukimbiwa. Kampuni ya ajabu sana hii.
 
Sasa mbona mawakili wa Mbowe wanajaribu kukataa hiyo transaction kama hakuna kosa?
Huwezi kukubali transaction wakati alikusajilia laini ya tigo hajulikani

Shirikiana na mume wako hapo nyumbani kuyajibu hayo maswali[emoji3596]

Kibala: Taarifa za mboye ulizipata wapi?

Shahidi: kupitia NIDA

Kibatala: Tuseme NIDA ndiyo origin source ya wewe kupata details za mboye

Shahidi: Hapana

Kibatala: Taarifa za mboye umezipatia Tigo

Shahidi: Hapana

Kibatala: Nani aliyemsajilia mboye lain ya Tigo

Shahidi:Sijui
 
Kampuni yoyote, hasa kampuni kubwa kama tiGO inakuwa na organization structure yake ambayo iko well organized. Mwanasheria sio part ya management bali ni muajiriwa wa kawaida tu ambaye kwa kawaida huwa wako chini ya Idara ya Rasilimali Watu.

Lazima wana departments kadhaa ambazo kila moja ina majukumu yake. Mwanasheria wa kampuni anakuwa chini ya Idara ya Rasilimali Watu ambayo lazima iwe na mkuu wake wa idara.

Pia kampuni lazima iwe na msemaji ambaye ndiye anahusika na kuisemea kampuni kwenye mambo yote yanayoihusu. Na yeye anakuwa yuko chini ya hiyohiyo idara ya rasilimali watu.

Masuala yote yanayotoka nje, hasa yanayohusu taarifa za wateja hayawezi kufanyika bila kupitia hii idara ya rasilimali watu. Maombi ya taarifa za wateja yakishamfikia mkuu wa idara ndipo yeye sasa atawapa maelekezo wahusika waandae nyaraka zinazotakiwa kulingana na request husika.

Huyu mwanasheria wa tiGO imekuwaje kila kitu amefanya yeye, mpaka saini amehusika yeye peke yake.






Inawezekanaje mtu ambaye hayupo hata kwenye management ya kampuni anafanya mchakato wote yeye peke yake bila hata management kujua? Mpaka saini zote ni za kwake tuu, hamna za mkuu yeyote wa kitengo chochote. Hii ni ajabu sana.

Kamwe kwenye kampuni kubwa kama MIC haiwezekani mwanasheria uwe na access ya kila kitu, haiwezekani mwanasheria unakuwa na access na mifumo yoooote. Sasa mwanasheria akifanya kazi za watu wa IT na watu wa IT watakuwa na kazi gani?

View attachment 1996627
Duh labda kwa tigo

Ila kwa taasisi za Gvt nyingi huwa na kitengo cha sheria na kina mkuu wake na kinaingia vikao vya Menejimenti
 
"The Companies Act" inatambua aina tatu za watu ndani ya kampuni. Hivyo, kwenye kampuni kuna aina tau za watu, yaani

1. Shareholders
2. Director
3. Employee

Kwanza inatambua wamiliki yaani shareholder. Pili, "The Companies Act" inatambua kwamba management ya kampuni yaani Directors, wawe ni kuanzia wawili (Section 186). Kimsingi "The Companies Act" kuanzia section 181 hadi 214 ni kwa ajili ya management ya kampuni na humo pamezungumzwa management ambayo ni directors tu.

Tatu sheria hii inatambua employee yaani aliyeko chini ya Director, soma section 183.

Hayo unayoyasema yaani "Organogram" nayajua vizuri na najua yako kwenye kampuni zote. Nakuongezea kingine kukuonyesha nayafahamu, wengine wanaweka kitu kinaitwa "Dotted Line" kwenye "Reporting Structure" yao. Hii "Dotted Line" inatumika kwa mtu ku reort hata kwa mtu aliye nje ya nchi hasa hizi kampuni kubwa zenye headquarter nje ya nchi.

Hizi headquarter wengi huziita "Group".

Hivyo, yote haya nayajua kwamba yapo na yanaendelea kufanyika huko makazini, kama unavyosema. Mimi hoja yangu si kwamba hayapo. Hoja yangu ni kwamba sheria za Tanzania haziyatambui.

Labda nikupe mfano mmoja kwamba Director mmoja mmempa duty ya kusimamia Human Resources na kwa uelewa wenu mnamuita "Human Resource Director" au "HR-Director.

Kwa mazoea yenu kama unavyoyaeleza humu mnamuona huyu yuko chini au subordinate kwa Managing Director (MD).

Sasa tuseme wamepishana au wamezinguana kuhusu jambo fulani. Wewe unayeamini kwamba HR Director ni subordinate kwa MD utaamini kwamba kafanya insurbidination!


Hivyo, hicho cheo ulich nacho hata mimi ningekuwa nakampuni ningeita director huku nikijua hujui undani wa director kisheria lakini huingii kwenye board na kule BRELA jina lako halipo.

Nakuongezea kidogo kingine, mmezoea kuwaona Directora wengine wanaingia kwenye Board tu na kimazoea mmezoe kuwaita "Non-Executive Directors" halafu hawa wanaoenda kazini kila siku kama MD mnawaita "Executive directors"

Haya pia nayajua yapo lakini sheria haitambui aina hizi, wote inawaona ni Directors tu.

Nadhani sasa utanielewa


Aisee, basi sawa! Ila shirika nililopo mimi halijasajiliwa Tanzania na limekuwepo hata kabla ya BRELA kuundwa.

Japo nachelea kusema mambo yafuatayo:
Mosi, hakuna jina la Mkurugenzi/Katibu/Meneja au Kiongozi wa kampuni ambalo haliko BRELA. Kifungu cha 210 cha Companies Act kinataka Wakurugenzi/Makatibu wote ndani ya kampuni kupeleka majina yao kwa msajili wa BRELA kila baada ya muda. Hili linasaidia mambo mengi, mojawapo ni Pinpointing Director's Liability.

Nashangaa sana unavyokazana kusema kwamba majina ya wakurugenzi na makatibu hayapo BRELA. Huenda nafanya mjadala na mtu anayezungumzia kampuni ndogo, tena binafsi (A Private Company) yenye mtaji wa milioni 100 labda, lakini katika dhana nzima ya shirika/kampuni kubwa (Multinational Corporations) wakurugenzi ni wengi na wamegawanyika, na lazima majina yao yapelekwe kwa msajili wa makapuni.

Ukisoma kwa undani kabisa utatambua zaidi kwamba siyo kila Director ni Executive au Residential. Kuna Non-Executive au Non-Residential Directors: Lakini wote wanatambulika kisheria kama Directors/Wakurugenzi na kila mtu ana kazi yake ya kiuongozi ndani ya kampuni (Lakini hawa wote ni wakurugenzi). Ukitembelea Egalitarian Societies kama Scandinavia sheria imeweka ulazima kabisa kwamba lazima wawe na A Woman's Director ndani ya kampuni, pindi inaposajiliwa

Pili, napata shida sana unaposema Companies Act inakataza mkurugenzi moja kuwa juu ya mwingine. Kiufupi nifahamuvyo mimi au labda nina uelewa mdogo. Companies Act inatoa mwongozo wa jumla wa jinsi gani mfumo mzima wa kampuni untakiwa uwe. Ila suala zima la mkurugenzi yupi anawajibika kwa yupi au idadi ya wakurugenzi na majukumu yao liko ndani ya MEMART na ndiko tunapata Organogram ya kampuni. Sasa usilazimishe kwamba wakurugenzi ni lazima wawe sawa.

Wanaoamua wakurugenzi waweje na katika mfumo gani kwenye kampuni la wazi (Public Companies) ni shareholders. Hawa ndiyo huamua nini kiwe nini kwenye MEMART na vikao vyao (Annual & Extra-Ordinary Meetings) na siyo Companies Act.

Lakini pia kuna wakati mwingine makampini yakiwa makubwa Directorship yake hufanywa hata na Kampuni jingine. Hivyo kampuni jingine kubwa (A Holding Company) linaweza kuwa mkurugenzi kwa kampuni jingine dogo ( A Subsidiary). Mkurugenzi wa A Holding Company huwa anakuwa mkubwa kuliko mkurugenzi wa A Subsidiary Company. Mkuu wewe unaendelea kuzalimisha tu ??? Hebu nikupe kifungu cha sheria basi, Soma kifungu (Section) 487 of Companies Act.

Tatu, hata Mkurugenzi (A Director) naye ni mwajiriwa, hatakuwa mwajiriwa endapo tu yeye naye ni mwanahisa (A Shareholder). Unavyosema kwamba usipokuwa mkurugenzi wewe ni mwajiriwa tu, sijakuelewa vizuri. Maana Mkurugenzi wa kampuni la wazi (Public Company) naye ni ameajiriwa na wanahisa(Shareholders), ana mshahara wake na anaweza kutimuliwa. Sasa unaposema kwamba wewe ni mwajiriwa tu au nyapara napata ukakasi.

NB: In a Public Company, unless A Director is a Shareholder, he's merely an employee with ordinary remuneration. And he reports to the Chairman of the Board of Directors (Board of Directors in General) and the Meetings of Shareholders (Be it annual or extra-ordinary). Sasa endelea kukomaa.....

Ninachokisema hapa, pia kimesemwa na tovuti kubwa na inayoaminika kama Investopedia: The Basics of Corporate Structure
 
Kampuni yoyote, hasa kampuni kubwa kama tiGO inakuwa na organization structure yake ambayo iko well organized. Mwanasheria sio part ya management bali ni muajiriwa wa kawaida tu ambaye kwa kawaida huwa wako chini ya Idara ya Rasilimali Watu.

Lazima wana departments kadhaa ambazo kila moja ina majukumu yake. Mwanasheria wa kampuni anakuwa chini ya Idara ya Rasilimali Watu ambayo lazima iwe na mkuu wake wa idara.

Pia kampuni lazima iwe na msemaji ambaye ndiye anahusika na kuisemea kampuni kwenye mambo yote yanayoihusu. Na yeye anakuwa yuko chini ya hiyohiyo idara ya rasilimali watu.

Masuala yote yanayotoka nje, hasa yanayohusu taarifa za wateja hayawezi kufanyika bila kupitia hii idara ya rasilimali watu. Maombi ya taarifa za wateja yakishamfikia mkuu wa idara ndipo yeye sasa atawapa maelekezo wahusika waandae nyaraka zinazotakiwa kulingana na request husika.

Huyu mwanasheria wa tiGO imekuwaje kila kitu amefanya yeye, mpaka saini amehusika yeye peke yake.






Inawezekanaje mtu ambaye hayupo hata kwenye management ya kampuni anafanya mchakato wote yeye peke yake bila hata management kujua? Mpaka saini zote ni za kwake tuu, hamna za mkuu yeyote wa kitengo chochote. Hii ni ajabu sana.

Kamwe kwenye kampuni kubwa kama MIC haiwezekani mwanasheria uwe na access ya kila kitu, haiwezekani mwanasheria unakuwa na access na mifumo yoooote. Sasa mwanasheria akifanya kazi za watu wa IT na watu wa IT watakuwa na kazi gani?

View attachment 1996627
Ktk hatua za kuficha na kufabricate case huwa protocol hazifatwi ndio hapo haramia mmoja anajipa mamlake yote.
 
Na watu wa aina yako ndio shida ya taifa hili. Sidhani umeelewa point ya jamaa. Shahidi ni legal officer (mshauri wa maswala ya sheria). Majukumu kwa sehemu kubwa ni hayo na kwa sehemu ndogo ni mengine. Usitake kuonesha kuwa ni yeye pia mtu wa Tigo pesa, au IT department! Point kubwa hapa ni kuwa ushahidi wake unaongeza mashaka kuliko kuyaondoa.

Mbowe katuma pesa. Hilo ndilo jambo alipaswa kulionesha na kama kutuma au kutumiwa sio kosa, hakupaswa kutoa taarifa hizo, kama amezitoa basi ushiriki wake lazima uhojiwe!! Mashaka yanayohojiwa ni kama alikuwa na mamlaka ya kufanya hivo na alifanywa kwa mujibu wa sheria.

Mbona mnakuwa viazi kiasi hiki, hukujua kulikuwa kuna kesi ndogo ya kupinga maelezo ya mshitakiwa kuletwa Mahakamani na hata kupinga hati ya mashtaka?? Jaji mmoja alikubaliana na waleta shauri kuwa hati haikuwa sawa na irekebishwe (alipaswa kuifuta kesi) na wa pili akaonesha hakuna ushahidi maelezo yalichukuliwa kwa mateso na vitisho. Unajua kuwa kesi ya pili utetezi ungeshinda ndio kesi nzima ingekosa "standing" na kufutwa kabisa?? Wasingefikia hata huku kwenye Mbowe kutuma pesa.

Nakushauri usiangalie mwisho wa jambo, sheria huangalia limefikiwaje.
Well
 
Back
Top Bottom