Hao voda wenyewe hujasikia walivyomkaanga sabaya huko arusha?Daaah nimeogopa Jana nilikuwa nachart na mke wa mtu, kupitia tigo chip huenda huyu Frank akamwambie mume wake , Jaman Fred aka Alfred usimwambie mumewe ntafungwa mie , la sivyo ntahamia Voda au Airtel au hallotel
Kwa mwenendo ninaouona lazima Mbowe ana kesi ya kujibu. Haijalishi hivyo vimaswali vya Kibatala ambavyo CDM wanaona kama vimewavushaMkuu, hadi sasa kesi ya utetezi bado haijaanza, kesi ipo hatua ya mashtaka. Kama jaji ataamua kuna kesi ya kujibu hapo ndio mtaanza kusikia wanajiteteaje.
Kinachofanyika sasa ni kudiscredit ushahidi wa upande wa serikali ili ikiwezekana, jaji aone mashtaka hayana mashiko, au washtakiwa hawana kesi ya kujibu.
Siyo kweli, Companies Act inaruhusu kampuni kuwa na wakurugenzi zaidi ya wawili.Ukishakuwa chini ya Managing Director wewe tena siyo Director isipokuwa kwa sababu umbumbumbu umewajaa nyinyi watanzania wanaluita jina Director of corporate affairs.
Ni jina tu lakini wewe siyo director. The Compani Act imefafanua vizuri maana ya Director.
Wewe ni mnyapala wa wenzako.
Siyo kweli, Companies Act inaruhusu kampuni kuwa na wakurugenzi zaidi ya wawili.
Wewe hiyo Companies Act yako umeitoa wapi ???
Nashukuru umekubali kwamba The Companies Act inaruhusu wakurugenzi zaidi ya wawili.Ni kweli kabisa Companies Act inaruhusu Director zaidi ya wawili.
Nashukuru umekubali kwamba The Companies Act inaruhusu wakurugenzi zaidi ya wawili.
Hayo mengine ya kutaka vyeo ni majungu ya kike-kike ambayo binafsi ziwezi kuyajadili.
Lakini nachoweza kukushauri ni kwamba tembea uone na uache ushamba na ujuaji,...
Hivi kampuni ya UNILEVER unajua ina wakurugenzi (Directors/Chiefs) wangapi ???
Unakubali au unakataa kwamba kampuni kubwa kama UNILEVER linaweza kuwa na wakurugenzi hata 5 ambao wameandikwa ndani ya MEMART na kutambulika na mamlaka ya usajili ???The Company Act haitambui Director kama wewe ndiyo context ya post yangu.
Jina lako haliko BRELA kama one of the directors.
Unakubali au unakataa kwamba kampuni kubwa kama UNILEVER linaweza kuwa na wakurugenzi hata 5 ambao wameandikwa ndani ya MEMART na kutambulika na mamlaka ya usajili ???
Pili, naona unakariri mambo na una uelewa mdogo sana kuhusu sheria lakini unalazimisha na kutaka kuvimba: Kiufupi Companies Act inataka msajili wa BRELA kupewa taarifa ya kila mtu anayehusika na nafasi ya utawala ndani ya kampuni. Kila mtu aliyeko kwenye ngazi ya utawala jina lake lazima jina lake lipelekwe BRELA wewe utasemaje majina yao hayako ???
Wako mpaka kwenye vilabu vya mbege,wanzuki,kwenye mabucha ya kitimoto mpaka Uwanja wa fisi.Kwa Bongo, everything is possible ...... Inawezekana huyo naye ni mtu wao.
Tanzania watu wa Kitengo wako kila mahali mpaka makanisani, wengine ni mapadri!!
Aisee, basi sawa! Ila shirika nililopo mimi halijasajiliwa Tanzania na limekuwepo hata kabla ya BRELA kuundwa.Jibu maswali kisheria acha majungu ya kike ya kusema najifanya najua, sijasema najifanya.
Kwa kifupi acha kudanganya wasiojua sheria. Hakuna provision yoyote katika the Companies Act inayotetea unayodanganya.
Wala hujifanyi unajua kikubwa ni kwamba hujui. Wewe mwenyewe umesema ni subordinate wa Managing Director.
Kwa mujibu wa The Companies Act hakuna Director ambaye ni subordinate kwa mwenzake.
Huwezi kukubali transaction wakati alikusajilia laini ya tigo hajulikaniSasa mbona mawakili wa Mbowe wanajaribu kukataa hiyo transaction kama hakuna kosa?
Duh labda kwa tigoKampuni yoyote, hasa kampuni kubwa kama tiGO inakuwa na organization structure yake ambayo iko well organized. Mwanasheria sio part ya management bali ni muajiriwa wa kawaida tu ambaye kwa kawaida huwa wako chini ya Idara ya Rasilimali Watu.
Lazima wana departments kadhaa ambazo kila moja ina majukumu yake. Mwanasheria wa kampuni anakuwa chini ya Idara ya Rasilimali Watu ambayo lazima iwe na mkuu wake wa idara.
Pia kampuni lazima iwe na msemaji ambaye ndiye anahusika na kuisemea kampuni kwenye mambo yote yanayoihusu. Na yeye anakuwa yuko chini ya hiyohiyo idara ya rasilimali watu.
Masuala yote yanayotoka nje, hasa yanayohusu taarifa za wateja hayawezi kufanyika bila kupitia hii idara ya rasilimali watu. Maombi ya taarifa za wateja yakishamfikia mkuu wa idara ndipo yeye sasa atawapa maelekezo wahusika waandae nyaraka zinazotakiwa kulingana na request husika.
Huyu mwanasheria wa tiGO imekuwaje kila kitu amefanya yeye, mpaka saini amehusika yeye peke yake.
Inawezekanaje mtu ambaye hayupo hata kwenye management ya kampuni anafanya mchakato wote yeye peke yake bila hata management kujua? Mpaka saini zote ni za kwake tuu, hamna za mkuu yeyote wa kitengo chochote. Hii ni ajabu sana.
Kamwe kwenye kampuni kubwa kama MIC haiwezekani mwanasheria uwe na access ya kila kitu, haiwezekani mwanasheria unakuwa na access na mifumo yoooote. Sasa mwanasheria akifanya kazi za watu wa IT na watu wa IT watakuwa na kazi gani?
View attachment 1996627
Aisee, basi sawa! Ila shirika nililopo mimi halijasajiliwa Tanzania na limekuwepo hata kabla ya BRELA kuundwa.
Japo nachelea kusema mambo yafuatayo:
Mosi, hakuna jina la Mkurugenzi/Katibu/Meneja au Kiongozi wa kampuni ambalo haliko BRELA. Kifungu cha 210 cha Companies Act kinataka Wakurugenzi/Makatibu wote ndani ya kampuni kupeleka majina yao kwa msajili wa BRELA kila baada ya muda. Hili linasaidia mambo mengi, mojawapo ni Pinpointing Director's Liability.
Nashangaa sana unavyokazana kusema kwamba majina ya wakurugenzi na makatibu hayapo BRELA. Huenda nafanya mjadala na mtu anayezungumzia kampuni ndogo, tena binafsi (A Private Company) yenye mtaji wa milioni 100 labda, lakini katika dhana nzima ya shirika/kampuni kubwa (Multinational Corporations) wakurugenzi ni wengi na wamegawanyika, na lazima majina yao yapelekwe kwa msajili wa makapuni.
Ukisoma kwa undani kabisa utatambua zaidi kwamba siyo kila Director ni Executive au Residential. Kuna Non-Executive au Non-Residential Directors: Lakini wote wanatambulika kisheria kama Directors/Wakurugenzi na kila mtu ana kazi yake ya kiuongozi ndani ya kampuni (Lakini hawa wote ni wakurugenzi). Ukitembelea Egalitarian Societies kama Scandinavia sheria imeweka ulazima kabisa kwamba lazima wawe na A Woman's Director ndani ya kampuni, pindi inaposajiliwa
Pili, napata shida sana unaposema Companies Act inakataza mkurugenzi moja kuwa juu ya mwingine. Kiufupi nifahamuvyo mimi au labda nina uelewa mdogo. Companies Act inatoa mwongozo wa jumla wa jinsi gani mfumo mzima wa kampuni untakiwa uwe. Ila suala zima la mkurugenzi yupi anawajibika kwa yupi au idadi ya wakurugenzi na majukumu yao liko ndani ya MEMART na ndiko tunapata Organogram ya kampuni. Sasa usilazimishe kwamba wakurugenzi ni lazima wawe sawa.
Wanaoamua wakurugenzi waweje na katika mfumo gani kwenye kampuni la wazi (Public Companies) ni shareholders. Hawa ndiyo huamua nini kiwe nini kwenye MEMART na vikao vyao (Annual & Extra-Ordinary Meetings) na siyo Companies Act.
Lakini pia kuna wakati mwingine makampini yakiwa makubwa Directorship yake hufanywa hata na Kampuni jingine. Hivyo kampuni jingine kubwa (A Holding Company) linaweza kuwa mkurugenzi kwa kampuni jingine dogo ( A Subsidiary). Mkurugenzi wa A Holding Company huwa anakuwa mkubwa kuliko mkurugenzi wa A Subsidiary Company. Mkuu wewe unaendelea kuzalimisha tu ??? Hebu nikupe kifungu cha sheria basi, Soma kifungu (Section) 487 of Companies Act.
Tatu, hata Mkurugenzi (A Director) naye ni mwajiriwa, hatakuwa mwajiriwa endapo tu yeye naye ni mwanahisa (A Shareholder). Unavyosema kwamba usipokuwa mkurugenzi wewe ni mwajiriwa tu, sijakuelewa vizuri. Maana Mkurugenzi wa kampuni la wazi (Public Company) naye ni ameajiriwa na wanahisa(Shareholders), ana mshahara wake na anaweza kutimuliwa. Sasa unaposema kwamba wewe ni mwajiriwa tu au nyapara napata ukakasi.
NB: In a Public Company, unless A Director is a Shareholder, he's merely an employee with ordinary remuneration. And he reports to the Chairman of the Board of Directors (Board of Directors in General) and the Meetings of Shareholders (Be it annual or extra-ordinary). Sasa endelea kukomaa.....
Ninachokisema hapa, pia kimesemwa na tovuti kubwa na inayoaminika kama Investopedia: The Basics of Corporate Structure
Ktk hatua za kuficha na kufabricate case huwa protocol hazifatwi ndio hapo haramia mmoja anajipa mamlake yote.Kampuni yoyote, hasa kampuni kubwa kama tiGO inakuwa na organization structure yake ambayo iko well organized. Mwanasheria sio part ya management bali ni muajiriwa wa kawaida tu ambaye kwa kawaida huwa wako chini ya Idara ya Rasilimali Watu.
Lazima wana departments kadhaa ambazo kila moja ina majukumu yake. Mwanasheria wa kampuni anakuwa chini ya Idara ya Rasilimali Watu ambayo lazima iwe na mkuu wake wa idara.
Pia kampuni lazima iwe na msemaji ambaye ndiye anahusika na kuisemea kampuni kwenye mambo yote yanayoihusu. Na yeye anakuwa yuko chini ya hiyohiyo idara ya rasilimali watu.
Masuala yote yanayotoka nje, hasa yanayohusu taarifa za wateja hayawezi kufanyika bila kupitia hii idara ya rasilimali watu. Maombi ya taarifa za wateja yakishamfikia mkuu wa idara ndipo yeye sasa atawapa maelekezo wahusika waandae nyaraka zinazotakiwa kulingana na request husika.
Huyu mwanasheria wa tiGO imekuwaje kila kitu amefanya yeye, mpaka saini amehusika yeye peke yake.
Inawezekanaje mtu ambaye hayupo hata kwenye management ya kampuni anafanya mchakato wote yeye peke yake bila hata management kujua? Mpaka saini zote ni za kwake tuu, hamna za mkuu yeyote wa kitengo chochote. Hii ni ajabu sana.
Kamwe kwenye kampuni kubwa kama MIC haiwezekani mwanasheria uwe na access ya kila kitu, haiwezekani mwanasheria unakuwa na access na mifumo yoooote. Sasa mwanasheria akifanya kazi za watu wa IT na watu wa IT watakuwa na kazi gani?
View attachment 1996627
WellNa watu wa aina yako ndio shida ya taifa hili. Sidhani umeelewa point ya jamaa. Shahidi ni legal officer (mshauri wa maswala ya sheria). Majukumu kwa sehemu kubwa ni hayo na kwa sehemu ndogo ni mengine. Usitake kuonesha kuwa ni yeye pia mtu wa Tigo pesa, au IT department! Point kubwa hapa ni kuwa ushahidi wake unaongeza mashaka kuliko kuyaondoa.
Mbowe katuma pesa. Hilo ndilo jambo alipaswa kulionesha na kama kutuma au kutumiwa sio kosa, hakupaswa kutoa taarifa hizo, kama amezitoa basi ushiriki wake lazima uhojiwe!! Mashaka yanayohojiwa ni kama alikuwa na mamlaka ya kufanya hivo na alifanywa kwa mujibu wa sheria.
Mbona mnakuwa viazi kiasi hiki, hukujua kulikuwa kuna kesi ndogo ya kupinga maelezo ya mshitakiwa kuletwa Mahakamani na hata kupinga hati ya mashtaka?? Jaji mmoja alikubaliana na waleta shauri kuwa hati haikuwa sawa na irekebishwe (alipaswa kuifuta kesi) na wa pili akaonesha hakuna ushahidi maelezo yalichukuliwa kwa mateso na vitisho. Unajua kuwa kesi ya pili utetezi ungeshinda ndio kesi nzima ingekosa "standing" na kufutwa kabisa?? Wasingefikia hata huku kwenye Mbowe kutuma pesa.
Nakushauri usiangalie mwisho wa jambo, sheria huangalia limefikiwaje.