Mwanasiasa huyu alizaliwa na kipaji cha uigiza kwenye siasa aliingia kutafuta maisha tu

Mwanasiasa huyu alizaliwa na kipaji cha uigiza kwenye siasa aliingia kutafuta maisha tu

Leo ni Jumapili, siyo siku ya kazi. Umepitia mtambo gani wa gongo mwenzetu hadi kupwayaya kiasi hiki!!
 
Kwani milioni 50 kila kijiji hamjapata?? Mbona hamna shukrani ninyi?? Acheni uchochezi "harafu muniwombee"[emoji16][emoji16][emoji16]
 
......'Waturuki watakuja kujenga kujenga kiwanda chenye thamani ya Madafu trilioni themanini cha kubadili mavi ya kuku Kuwa gesi ya kupikia majumbani....na wameniahidi wataajiriwa wanainchi elfu nne....' Mavi ya kuku oyeeeee.... Mizuzu inaitikia Kwa nguvu HOYEEEEE[emoji1] [emoji1] [emoji1] Hii ndio Tizedi
Hahaaaah hahhahahahah
 
Kwani milioni 50 kila kijiji hamjapata?? Mbona hamna shukrani ninyi?? Acheni uchochezi "harafu muniwombee"[emoji16][emoji16][emoji16]

Nikukumbuka ule utapeli wa 50m@kijiji huwa nacheka sana.
 
Back
Top Bottom