Pre GE2025 Mwanasiasa Pekee wa CCM anayeweza kushindana na Tundu Lissu kwenye nafasi ya Urais ni Paul Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bure kabisa!!!

Aina hii ya vijana wanamchango mdogo sana katika taifa.

Tafiti zinasema Watanzania wengi ni vichaa!!!
 
Naunga mkono hoja Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli
Siku atakayogombea MH Paul Makonda atakapohombea Urais, awe Ndani ya CCM au Nje, Nitampigia Kura ya Ndio.
Naunga mkono hoja Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
P
 
Kusema ukweli ni kuropoka...? Mmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…