Mwanasimba mwenzangu isikupite hii

Timu ishakuwa ya familia

Familia ipi, hawa siyo ndigu ni majina tu! Siyo kama nyie ukimuona Rutashuburugukwa Bukoba na mwingine Mbeya na mwingine Kigoma basi wanakuwa ni ndugu!
 
Wacha uongo wako, aliyekuwa msemaji wa familia alikuwa Azim Dewji ambaye ni baba yake mdogo wa Mohammed Dewji!
Pamoja na kuwa jibu hili ni sahihi, lakini inazidi kuthibitika kuwa, wengi hapa, huwa hatusomi michango ya wenzetu. Jibu hili, limeshaandikwa, lakini bado wachangiaji wanalirudia rudia kuliandika. Lipo posti namba 19,26,29, na 37. Baada ya kuandikwa na huyo wa kwanza, waliofuata, kama wangekuwa wamemsoma huyo wa post namba 19, nao wasingerudia rudia kuliandika jibu hilo!
 
Huyu jamaa na maslahi yao wasiyumbishe timu inapoelekea kumaliza msimu na kujiandaa na msimu ujao wa mashindano...huko kwenye Vita ya maslahi tulishavuka.
Scars OKW BOBAN SUNZU Ghazwat Championship njaakalihatari
 
Yote hayo kayasababisha dogo wa kizenji duh
 
Swali gumu
 
Kassim Dewji amepitwa na wakati, migogoro nayo imepitwa na wakati.
 
Swali gumu
halina ugumu wowote wakati wansaini yalishajibiwaga yote, ilikuw a milions 250 kwa tangazo moja mo foundation ni free ni taasisi ya kusaidia watu..kuhusu billions 20 FCC washapitisha mchakato officially kuna mambo kufafanua kwa wajinga ni kupoteza muda unadhani kina kigwangwala hawajui ukweli?
 
Kama mnaingiza million 500 Kwa mwaka kwenye Kodi Tu sasa mnatembeza bakuli la nn
 

Kumbuka huyo ni ndugu wa damu wa bwana Mo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…