MwanaSport acheni kujificha kwenye mgongo wa mashabiki wa Simba Sc

MwanaSport acheni kujificha kwenye mgongo wa mashabiki wa Simba Sc

Hivi jf iliwezaje kuleta mbumbumbu kama wewe?
hujui hata kazi ya mwandishi ni nini?
Sijui umeishia darasa la ngapi?.
Eti usajiri unakuwa siri tangu lini?

Kwahiyo kule ulaya fabrizio Romano anapotoaga zile updates za wachezaji na inakuja kutokea kweli kuhusu usajiri, ni ushamba? Au wewe ndio mshamba na wenzio?.

Hii nchi ina vituko [emoji16][emoji16]
Weledi wa waandishi wenu sasa mwandishi mliemtuma kambi ya yanga anawapiga picha wachezaji wakiwa wanakojoa kwenye nyasi za waarabu
 
Huyo Ezekiel anatolea wapi hizo taarifa na yupo anapuyanga Dar timu ipo Morocco?

Yani kweli Afisa Habari wa timu anashindwa kukatiwa ticket? Kwamba hana umuhimu ama? Na yeye anakaa Dar kungoja apewe taarifa kama mashabiki ...

Aisee.

Ubaya yule kulala koridoni hawezi kama mwenzake aliyepita.
Bumbuli yuko wapi
 
Hivi jf iliwezaje kuleta mbumbumbu kama wewe?
hujui hata kazi ya mwandishi ni nini?
Sijui umeishia darasa la ngapi?.
Eti usajiri unakuwa siri tangu lini?

Kwahiyo kule ulaya fabrizio Romano anapotoaga zile updates za wachezaji na inakuja kutokea kweli kuhusu usajiri, ni ushamba? Au wewe ndio mshamba na wenzio?.

Hii nchi ina vituko [emoji16][emoji16]
Usajili sio usajiri
 
wachambuz uchwara wnatumia mgongo wa et mashabiki wakat sisi wenyew wala hatujaulizahaah hasa hat wa east africa radio umbea mwng
 
Hivi jf iliwezaje kuleta mbumbumbu kama wewe?
hujui hata kazi ya mwandishi ni nini?
Sijui umeishia darasa la ngapi?.
Eti usajiri unakuwa siri tangu lini?

Kwahiyo kule ulaya fabrizio Romano anapotoaga zile updates za wachezaji na inakuja kutokea kweli kuhusu usajiri, ni ushamba? Au wewe ndio mshamba na wenzio?.

Hii nchi ina vituko [emoji16][emoji16]
Usajiri usajiri usajiri...
Kajifunze kuandika kiswahili kwanza mkuu kisha rudi humu uandike upya
 
Baba watu wanaenda na teknolojia kuna rabi hume anatoa updates za timu insta/facebook/Twitter



wanasahau Kamwaga ni mkuu wa kitengo cha habar na mawasiliano maana yake kuna team
nyuma yake sio lazima awepo kule yeye hashiki camera wala awafanyii mahojiano wachezaj na bench la ufundi

yeye anamonitor kinachoendelea ground na pia anapokea taarifa au habar kutoka management..

sasa aende morroco akafanye nini..
halafu mkumbuke yuko pale kwa kaz maalum ya kipindi cha miez miwili katika kuboresha idara ya mawasiliano.. maana yake yuko kwenye administrative work zaid
 
Afu hao mwanaspot hatuache, hakuna shabiki wa simba aliyelalamika. Labda hao utopolo
 
Mashabiki wote wa simba ni mbumbumbu tu! Niamini mimi. Labda Ismail Aden Rage aje hapa kuikana ile kauli yake.

Yeye alisema "mashabiki wa simba ni mbumbumbu"
Yaani unamfuatilia Rage, Aisee utapotea.

Hajui kitu huyo
 
Kudadeki inaitwa jino kwa jino liwalo na liwe panya wa wakwepa kodi maarufu wanaanza kutoka shimoni sasa, kwendeni hukooooo hatutaki ujinga wenu

SNITCHES.jpeg
 
Back
Top Bottom