MwanaSport acheni kujificha kwenye mgongo wa mashabiki wa Simba Sc

MwanaSport acheni kujificha kwenye mgongo wa mashabiki wa Simba Sc

Utopolo bhana! Yani wanataka Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano aende Morocco na Kamera kupiga picha wakati kuna Timu ya waliochiniyake kina Rabihume wanaoshika Kamera kupiga picha.

Haki ya matangazo ya Simba inamilikiwa na Simba mwenyewe haijauzwa kama ilivyouzwa ya Utopolo! Hivyo anayetaka habari za Simba lazima atembelee kwenye Kurasa za Simba ndiyo atazipata, hawezi hivyo basi asubiri udaku wa Kitenge na Shaffih Dauda.

Hongereni Simba kwa kudhibiti habari za Simba zisivuje kwa hawa Wachambuzi takataka.

Manara alitukosea sana kwenye kitengo cha habari.
 
Huyo Ezekiel anatolea wapi hizo taarifa na yupo anapuyanga Dar timu ipo Morocco?

Yani kweli Afisa Habari wa timu anashindwa kukatiwa ticket? Kwamba hana umuhimu ama? Na yeye anakaa Dar kungoja apewe taarifa kama mashabiki ...

Aisee.

Ubaya yule kulala koridoni hawezi kama mwenzake aliyepita.
Vipi Bumbuli yupo Morroco?
 
Hivi ni kitu gani kinafanya tuamini Simba inachukiwa au kutaka kuundiwa zengwe na kila mtu kwa sasa?

Huu utoto tunatoa wapi, katika dunia hii ya utandawazi Usajili haujawahi kua siri, Simba tunaficha nini

Tumeingia robo mala mbili viongozi wamekua hivi!

Siku tukichukua klabu bingwa Africa, kuna watu wataenda kunya ofisi za Tff na Ikulu!

Hii Simba imejaa utoto hadi inaboa!

Kila mtu anatuchukia! for what?
 
Acha kupaniki usilazimishe unayoyataka wewe,kama wamefika tu robo umeumia kiasi hicho wakibeba kikombe sijui itakuwaje mkuu wangu.
Hivi ni kitu gani kinafanya tuamini Simba inachukiwa au kutaka kuundiwa zengwe na kila mtu kwa sasa?

Huu utoto tunatoa wapi, katika dunia hii ya utandawazi Usajili haujawahi kua siri, Simba tunaficha nini

Tumeingia robo mala mbili viongozi wamekua hivi!

Siku tukichukua klabu bingwa Africa, kuna watu wataenda kunya ofisi za Tff na Ikulu!

Hii Simba imejaa utoto hadi inaboa!

Kila mtu anatuchukia! for what?
 
Acha kupaniki usilazimishe unayoyataka wewe,kama wamefika tu robo umeumia kiasi hicho wakibeba kikombe sijui itakuwaje mkuu wangu.
Unaweza kunitajia téam moja yenye mafanikio inayofanya hiki kinachofanywa na Simba?

NB: mimi ni Simba ila kuna utoto sikubaliani nao.
 
Kuna wakati ifike washabiki muwe mnajiongeza, mbona MCL wametoa ufafanuzi ambao unaeleweka kabisa, sasa huo uchawa umetoka wapi?
Simba ya MO na Babra imejaa utoto tu, eti kila mtu wanahisi anawaundia zengwe

NB: halafu em tujiulize hivi huko kambini hata afisa habari wa team haruhusiwi kuingia! maana analanda landa tu Dar es salaam.
 
Shida yako kubwa unafikiri afisa habari alikuwa ni manara au ni Ezekiel tu jifunze vitu kabla ya kukimbilia kuandika andika,Simba wale janjajanja wamebanwa ndio maana tunasikia milio yao kila pahala.
Simba ya MO na Babra imejaa utoto tu, eti kila mtu wanahisi anawaundia zengwe

NB: halafu em tujiulize hivi huko kambini hata afisa habari wa team haruhusiwi kuingia! maana analanda landa tu Dar es salaam.
 
Simba inaendesha mambo yake inavyoona ina faa, haiendeshwi unavyotaka wewe au hao wanao lia lia
Unaweza kunitajia téam moja yenye mafanikio inayofanya hiki kinachofanywa na Simba?

NB: mimi ni Simba ila kuna utoto sikubaliani nao.
 
Mbu3 fc mudy anaona aibu kambi aliyoweka kule moroco ni aibu,na uwa apendi ushindani na GSM kishamkamata idara zote,mbu3 imagine kama ingekua ndio ile Yanga ya kutembeza bakuli then mikia iweke kambi moroco Yanga iweke morogoro,mnavyodhani kuna mwandishi angekatazwa kambi ya mikia ya kule mbwinde morocco 😂,kule morocco Yanga iko kwenye hotel ya 5 stars ndani ya jiji linaloongoza kwa utalii africa jiji la marakech,mikia kambi yao ipo vijijini huko kama kigoma ndani ndani karibu na burundi na inaishi kwenye hostel kama za wakimbizi 😂
 
Mbu3 fc mudy anaona aibu kambi aliyoweka kule moroco ni aibu,na uwa apendi ushindani na GSM kishamkamata idara zote,mbu3 imagine kama ingekua ndio ile Yanga ya kutembeza bakuli then mikia iweke kambi moroco Yanga iweke morogoro,mnavyodhani kuna mwandishi angekatazwa kambi ya mikia ya kule mbwinde morocco 😂,kule morocco Yanga iko kwenye hotel ya 5 stars ndani ya jiji linaloongoza kwa utalii africa jiji la marakech,mikia kambi yao ipo vijijini huko kama kigoma ndani ndani karibu na burundi na inaishi kwenye hostel kama za wakimbizi 😂
chawa la gsm wakwepa kodi maarfu toka enzi za home shopping senta,aibu sana kulipa machawa mtandaoni kutetea majinga kabisa
 
Mbu3 fc mudy anaona aibu kambi aliyoweka kule moroco ni aibu,na uwa apendi ushindani na GSM kishamkamata idara zote,mbu3 imagine kama ingekua ndio ile Yanga ya kutembeza bakuli then mikia iweke kambi moroco Yanga iweke morogoro,mnavyodhani kuna mwandishi angekatazwa kambi ya mikia ya kule mbwinde morocco 😂,kule morocco Yanga iko kwenye hotel ya 5 stars ndani ya jiji linaloongoza kwa utalii africa jiji la marakech,mikia kambi yao ipo vijijini huko kama kigoma ndani ndani karibu na burundi na inaishi kwenye hostel kama za wakimbizi 😂
Andika yote ila msisahau kujiandaa dhidi ya river united
 
Kuna wakati ifike washabiki muwe mnajiongeza, mbona MCL wametoa ufafanuzi ambao unaeleweka kabisa, sasa huo uchawa umetoka wapi?
Kuna wakati ifike washabiki muwe mnajiongeza, mbona MCL wametoa ufafanuzi ambao unaeleweka kabisa, sasa huo uchawa umetoka wapi?
Wamedanganya umma kua sisi mashabiki tunalalamika kwao kwamba kwa nini hatujaenda kwenye kambi ya simba. Huu ni uongo wa kupikwa. Sisi taarifa tunazipata kwa wakati kulingana na klabu yetu inavyozitoa. Waache kudanganya umma
 
Back
Top Bottom