Mwanaume 45+

Mkuu....
Kesho natimiza kigezo chako.....
Naomba nikupange ukuwe 2nd wife....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
wanawake reaonin zenu mnajua wenyewe chance ya kupata man wa kueleweka inapungua as age inavoongezeka

45+ wenye kujitambua wameoa tyr
au kama hajaoa basi hajielew na hato jielewa kamwe

ukitoa kund la wacace waliosalitiwa au kufiwa na wake zao
 
Mkuu....
Kesho natimiza kigezo chako.....
Naomba nikupange ukuwe 2nd wife....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Second wife hapana Mkuu!
 
wanawake reaonin zenu mnajua wenyewe chance ya kupata man wa kueleweka inapungua as age inavoongezeka

45+ wenye kujitambua wameoa tyr
au kama hajaoa basi hajielew na hato jielewa kamwe

ukitoa kund la wacace waliosalitiwa au kufiwa na wake zao
Rejea mada yangu ' read between the lines Mkuu'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…