Bhalankuye
Member
- Sep 29, 2015
- 15
- 11
Wee mwamba malinda huna unauliza petrol inakazi gan kwenye moto kweli wew sio riziki fala wewNguvu za kiume Zina faida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mwamba malinda huna unauliza petrol inakazi gan kwenye moto kweli wew sio riziki fala wewNguvu za kiume Zina faida gani?
Uliopitiza kabsa na unatakiwa uwe na mpango mwingine wa nje 😆😆halafu ni uchoyo kutooa
Hajielewi huyo yaani mwanaume ni bora uwe na hela ya kawaida ila sio ukose nguvu za kiume looooooh ni aibu sana ata mwili wako utakukataaa mzeeWee mwamba malinda huna unauliza petrol inakazi gan kwenye moto kweli wew sio riziki fala wew
Unaongea mavi yaliyochanganywa na matapishi paa ata mimi na udogo wangu nimekuzidi akili asee eti mwanaume mwenye nguvu za kiume hawezi ishi maisha marefu 🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮Watu kama hao ni wangapi wanaweza ishi hivyo ndo swali la kijiuliza, mwanaume mwenye nguvu za kiume 100 💯 hawez ishi kipindi kirefu hivyo
Daah aisee hao wazungu hawafungi ndoa ila wanaishi na Wanawake na kuzaa nao watoto huku wakiwapa haki zote CR 7 huyu kila kukicha anaruka nyoka na familia yake na upendo juu pamoja na Messi ndio unawatolea mifano hapa ndg yangu Drake umepotea umeshika kete mbovu...Pesa ndiyo kila kitu siyo ndoa, ndiyo maana CR7 hajaoa, anaishi na hawara
narudia tena hajaoa
ME anayejielewa HAOI
Kwa hiyo umecomment kwenye mavi na matapishi hujuin kama wewe ni mjinga pro max, mwerevu huwaga hacomment kwenye mavi na matapishiUnaongea mavi yaliyochanganywa na matapishi paa ata mimi na udogo wangu nimekuzidi akili asee eti mwanaume mwenye nguvu za kiume hawezi ishi maisha marefu 🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮
Kuna mtu amekushikia fimbo uoe mpaka unasema unalazimishwaNaendelea kushangaa kwa nini tulazimishane ndoa ikiwa ni kitu bora
...kitu bora hakilazimishwi.