Mwanaume ajinyonga hadi kufa golini. Aacha chupi ya kike pembeni

Your browser is not able to display this video.
 
Ukiua mtu kwa kumtuhumu kwa kosa fulani, hapo utakuwa umejichukulia sheria mikononi. Lakini ukiamua kuutoa uhai wako kwa hiari yako mwenyewe bila kushurutishwa na mtu sijui tutasemaje kuhusu hili.
 
hapo wa kulaumiwa ni jinsia ya kike tu, lazima watakuwa ndio chanzo cha baharia kututoka. kama hajafumaniwa akaningínizwa na wakaweka chupi pembeni kama kutuma meseji, basi watakuwa walikuwa wanafanya yao hapo uwanjani walipomaliza wakagombana jamaa akaamua kujiningíniza. si unajua hao jamaa zamani walikuwa mkoa wa Iringa, bado ile asili yao ipo kwenye damu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…