a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
- Thread starter
- #21
Nafikiri kuna baadhi madume ya wanyama,ndege na wadudu(Animalia kingdom) huwa ama wanaishiwa kupoteza nguvu/kuchoka sana exhausted au kuzimia hata wanaweza wakakufa kabisa mara tu baada ya mshindo mmoja(kama kumbukumbu ni nzuri mfano mmoja wapo ni baadhi ya insecta kama nyuki i think.