Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

mimi na wewe hatuwezi elewa ila nakuambia wenye UZi wanakuja tena wakija utashangaa mmoja anasema mbona ilo gari ajakuachia ulale nalo
Atakaeleta hiyo comment nitamzoom tu maana nitajua bado hajaelewa kiini cha uzi..so ni 🥂 Kwa kwenda mbele😃
 
Sasa chibonge wangu [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182], ukifanya kunipasia 40k unahisi kuna kitu kitapungua kwako??

Nweiii watu wa kweli wapoo na wana malengo mazuri, nje ya Ngonoo. [emoji122][emoji122][emoji122] to him
 
Sikutegemea story kuwa na "mwisho mwema" namna hii. Ama akili yangu ishakuwa mbovu mbovu eenh!!
nafikiri ishakuwa mbovu ndugu yangu.😆😆

Nafurahi kutumia uwasilishaji chonganishi.hakika mnapenda lugha rahisi sana
 
Kwa ufupi ni kwamba utelezi alipewa wote hizo shukrani hapo mwisho zinaongea kila kitu
 
Sasa chibonge wangu [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182], ukifanya kunipasia 40k unahisi kuna kitu kitapungua kwako??

Nweiii watu wa kweli wapoo na wana malengo mazuri, nje ya Ngonoo. [emoji122][emoji122][emoji122] to him
My love nimeshakutumia tayari😆😆😆

Nimekumiss.mzima?
 
Back
Top Bottom