Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

Jitahidi king’amua mkuu
Tuachane na kung'amua kwanza.

Hebu tuzungumze kiutu uzima mkuu. Hapo kwenye avatar ni wewe?

Aisee huwa nikiona nyuzi au comments zako naishia kukodolea hizo lips tu.

Tupumzishe kidogo mkuu. Usisahau kwamba katika maeneo mengi nchini Tanzania kuna baridi kipindi hiki [emoji23][emoji23].
 
Tuachane na kung'amua kwanza.

Hebu tuzungumze kiutu uzima mkuu. Hapo kwenye avatar ni wewe?

Aisee huwa nikiona nyuzi au comments zako naishia kukodolea hizo lips tu.

Tupumzishe kidogo mkuu. Usisahau kwamba katika maeneo mengi nchini Tanzania kuna baridi kipindj hiki [emoji23][emoji23].
Nimeitoa Kwa anko gugo ndugu yangu
 
Bwana wa Majeshi asimame maana kusainiana cheti si kazi….kazini ni baada ya cheti kuzoea kabati jee kitaendelea kuwa vile vile?au ndo kitanyeshewa mvua na jua[emoji16][emoji16]
kitafahamika huko huko [emoji23][emoji23], bando likiisha kwake unawasha hotspot mnatumia lako
 
hiyo excitement inaonyesha peak ilifikiwa, siyo tu kuliwa [emoji23][emoji23]
Hakuna kitu inasisimua kama moments ambazo mnakuwa nazo mkuu…
Mnacheza karata,kula,kuwa na muda wa kutembea pamoja,na kupeana spesi kidogo ili kumisiana kiaina…siunajua ee🥰🥰
 
Back
Top Bottom