Atakaeleta hiyo comment nitamzoom tu maana nitajua bado hajaelewa kiini cha uzi..so ni 🥂 Kwa kwenda mbele😃mimi na wewe hatuwezi elewa ila nakuambia wenye UZi wanakuja tena wakija utashangaa mmoja anasema mbona ilo gari ajakuachia ulale nalo
My love nimeshakutumia tayari😆😆😆Sasa chibonge wangu [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182], ukifanya kunipasia 40k unahisi kuna kitu kitapungua kwako??
Nweiii watu wa kweli wapoo na wana malengo mazuri, nje ya Ngonoo. [emoji122][emoji122][emoji122] to him
🤣🤣🤣🤣🙌amevumilia friendzone ya miaka 3....
he deserves it😂 apewe kidogo
kamata cheti hicho, usije ukaibiwa ukabakia kumuota maisha yakoNikogo na furaha siku zote mkuu.
Hallelujah [emoji126][emoji126]