Mwanaume akiwa hivi mimi Hoi

My wangu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€mi nimeishia hapo aliposema si kila mwanamke anapenda hela
🀣🀣🀣🀣Hao wanajikuta ma independent woman..ngoja siku wakijua hela unayopewa na mpenzi wako ilivyotamu,imetoka kwenye wallet,kwanza Hadi inanukia kiharufu kizuriiiiii sio Kama ya vikoba inanukia maandazi
 
Wenzetu kule wanavaa nguo mara moja na kufungasha kwenye makontena, na kuja huku kwetu kama mitumba.
Kwa hiyo unaipigia nyeto, ukihisi uko naye ?πŸ˜€ πŸ˜€
Kuna smell hapa najaribu kuivutia ila wapi... Daaah aiseeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
Mniache kwa mda kwanza
 
Kama huna sifa si upite tu, kwani lazima kuchangia?
Ifike mahala tuheshimu mawazo ya watu wengine kwani sio kila mtu anafikiri unavyo fikiri.....
Naona watu wanashambulia kana kwamba amewatukana!
Ni ushauri tu...
 
Vipi anauza chipi za wanawake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…