Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hazikamatikiTafuta pesa
ππππππππ Daah nimecheka kwa sauti kuuubwaaaa...Sema ni umasikini, ningekuwa na mawe, ungeniona hapo nimemkumbatia
Atakuwa dumeUzi mbona umekaa kimkakati
Wakuu hakikisheni mmesoma hata mara tatu ndo mtaelewa vizuri
ahahahaπππππHili tangazo linakuhusu wewe ajuza ila unasingizia mdogo wako.
Uongoooo huu ni uongo bwana! ππππMy wangu πππmi nimeishia hapo aliposema si kila mwanamke anapenda hela
Ukiona mtu yuko na poligoni sio kwamba amependa, bali anakula kwa urefu wa kamba yakeππππππππ Daah nimecheka kwa sauti kuuubwaaaa...
Vipi unataka ukumbatie huo mtandam sema now if serious unataka hilo jambo...
kweli, mwanaume unakuaje na sura kama umepigwa makeupUmesahau weusi
Ninacho cha kufutia simu hapa...mimi hapa mkuu,,, vipi kitambi unachoπππ
Hebu kunywa juice mahala unipe biliβ¦..Kwenye maisha kuna baadhi ya vigezo tunavitaka ila sio vya msingi ndo maana ndoa hazidumu,single maza wanaongezeka kila siku. Linapokuja suala la maisha baadhi ya vitu havina umuhimu kwenye kujenga familia
Ok unamtaka wa hivyo alafu yeye hakupendi au yeye ajali kuhusu mambo ya familia maana yake utaishi maisha ya shida sana.
Unataka tako alafu tako lenyewe haliwezi hata kukufulia nguo,utajuta maisha yako yote.
Husband material+wife material is what matters
Sura ngumu inaashiria atakupeleka moto, sura laini inaashiria atakuwa na huruma wakati anakukaza na pumzi hawanakweli, mwanaume unakuaje na sura kama umepigwa makeup
ufanye na mazoezi sasa maana na mwili wa mazoezi unahitajika amesemaπππ,,, me mzima siku zinaenda salama kabisaNinacho cha kufutia simu hapa...
Ila sasa u serious ndo sina...ππππ
Vipi mzima wewe na za siku
ππππππππππππππππππππ Hajapependa vile ila ni kipato ndo shida ety...Ukiona mtu yuko na poligoni sio kwamba amependa, bali anakula kwa urefu wa kamba yake
Hamna mwili sports wenye kitambi,....haupooooMbona ni kawaida, unakua na kitambi flani hivi cha kisport.
Mfano: hiyo miili wanakuanayo mafundi garage, mkono wa kazi, na kitambi cha kula vizuri.
Ewaaa .Sura ngumu inaashiria atakupeleka moto, sura laini inaashiria atakuwa na huruma wakati anakukaza na pumzi hawana
Kiweke hapa tukioneππππππππππππππππππππ Hajapependa vile ila ni kipato ndo shida ety...
Sema sio mbaya mkuu mi nina kitambaa hapa sijui nani atabadilisha niwazacho
Hapo kwa mazoez nipo poa mi shida kuwa serious tuu..ufanye na mazoezi sasa maana na mwili wa mazoezi unahitajika amesemaπππ,,, me mzima siku zinaenda salama kabisa