Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣DahhhYupo tu na gagulo lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣DahhhYupo tu na gagulo lake
nyieeee😂😂😂 hiyo kitu jamani hawajui utamu wake 😋😋😋Imagine unaambiwa baby hebu chukua hii ya mahitaji yako 😀😀famasihara nini
me wala sipo daslam rafiki yangu,,, ila nahisi walioko huko wazima😂😂😂😂,, mambo yanaendaje lakiniHapo kwa mazoez nipo poa mi shida kuwa serious tuu..
Najaribu ila nashindwa..😂😂😂😂
Vipi daslam huko wazima
Hapana huyu ni Aposto mtupu AnalyseSharamdala ana sifa zote izo ila dome zege 😂
Haya wee upo wapi ili nirudie swali langu 😂😂😂me wala sipo daslam rafiki yangu,,, ila nahisi walioko huko wazima😂😂😂😂,, mambo yanaendaje lakini
Penzi linazidi maradufu...Sio Kila siku Kuna issue naisikilizia wooi.....watatuchamba Sasa hivi🤣Imagine unaambiwa baby hebu chukua hii ya mahitaji yako 😀😀famasihara nini
Kiweke hapa tukione
Mazoezi si hata kubeba madumu mawili ya Lita 20 ya maji. Yanatosha sana. 😆😂ufanye na mazoezi sasa maana na mwili wa mazoezi unahitajika amesema😂😂😂,,, me mzima siku zinaenda salama kabisa
rudia kwanza halafu uwe serious nione kama utamfaa mdogo mtu😂Haya wee upo wapi ili nirudie swali langu 😂😂😂
nahisi mleta mada alimaanisha pushups😂😂😂Mazoezi si hata kubeba madumu mawili ya Lita 20 ya maji. Yanatosha sana. 😆😂
Tutakula pushapu 😆😂😂nahisi mleta mada alimaanisha pushups😂😂😂
Sifa zote hizo bila uchaMungu ni sifuri. Zero with ears!!!!!Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.
Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.
But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.
Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.
Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.
Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.
hata 10 hivi asubuhi na jioni hautumii mda mrefu mbona 😂😂😂Tutakula pushapu 😆😂😂
😂😂😂😂😂 Khaaaa hata siwezi..rudia kwanza halafu uwe serious nione kama utamfaa mdogo mtu😂
Utokee sasa ulipe dada nshakunywa mirinda nyeusiHebu kunywa juice mahala unipe bili…..
Kuna vitu havijengi familia, akili kumkichwa, acha yaendelee kuwakuta, hadi siku watakapoweza kuwaspot Wife/husband materials
ona sasa 😂😂😂, utakosa mke shauri yako 😃😂😂😂😂😂 Khaaaa hata siwezi..
Haya nipo serious sasa ...
Alaaaaah utoto huu sitaki mii 😂😂😂