Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Sifa zote hizo bila uchaMungu ni sifuri. Zero with ears!!!!!
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa zote hizo bila uchaMungu ni sifuri. Zero with ears!!!!!
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Mungu anasaidiaMambo na za siku...
hata 10 hivi asubuhi na jioni hautumii mda mrefu mbona 😂😂😂
Nikose tuu 😂😂😂ona sasa 😂😂😂, utakosa mke shauri yako 😃
Ni wewe au jina linanichanganya mie...😂😂😂😂Mungu anasaidia
nani huyo nikusaidie kuanzisha siledi 😊Nikose tuu 😂😂😂
Ila sio mda na mimi tafungulia mtu uzi humu tunapoelekea..
Maana PM mtu anajifanya haelewi alaaah 😂😂😂😂
""Bado natafuta humu """nani huyo nikusaidie kuanzisha siledi 😊
Mwili utajengekaje mtu ana kitambo? 😁😁Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.
Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.
But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.
Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.
Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.
Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.
sawa,,, ukiwa tayari usisite kuniambia tutalifanyia kazi mara moja😂😂😂😂,, nimesikitika sana rafiki yangu unapiga nyeto wakati kuna warembo wengi tu humu 😃😃😃😃""Bado natafuta humu """
Ngoja takuambia najua unamjua kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao wanajikuta ma independent woman..ngoja siku wakijua hela unayopewa na mpenzi wako ilivyotamu,imetoka kwenye wallet,kwanza Hadi inanukia kiharufu kizuriiiiii sio Kama ya vikoba inanukia maandazi
Kwa nini?Ni wewe au jina linanichanganya mie...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake mko tofauti sana na sisi, sijui mkoje, yaani mna-fantasize kabisa kupewa hela na mwanaume..Imagine unaambiwa baby hebu chukua hii ya mahitaji yako 😀😀famasihara nini
Funga Omba Omba kwa Mungu.Ili apate mume sahihi.Ruhusu mpango wa MUNGU ufanye kazi sio wewe mwanadamuAwe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.
Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.
But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.
Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.
Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.
Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.