Mwanaume akiwa hivi mimi Hoi

Mwanaume akiwa hivi mimi Hoi

Sifa zote hizo bila uchaMungu ni sifuri. Zero with ears!!!!!



YESU NI BWANA NA MWOKOZI
ms.jpg
 
Nyie si ndio mliosema kwamba sisi " wanaume weuse, warefu, wembamba (dark, tall and handsome) pepo ni ya kwetu [emoji848] hawa wengine liwakute lolote jambo, sio nyie mliosema hivyo?

Wewe tena umekuja na lako, mbona mnatuchanganya jamani..!!?
 
Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.


Mkuu hapo umetuchanganya sana kuhusu jinsia yako ndugu yangu?
 
Wakati huo mwanaume anakuja na mazaga zaga yote hayo uliyotaja

Wewe una nini na nini cha ku-offer?
Wanawake mkitongozwa na wanaume wengi kila siku, mnahis mnaeza pata aina yoyote ya mwanaume mnaemtaka, ndo maana mnaweka vigezo kibao 🤣 Joanah
 
Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.

Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.

But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.

Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.

Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.

Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.
Mwili utajengekaje mtu ana kitambo? 😁😁
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao wanajikuta ma independent woman..ngoja siku wakijua hela unayopewa na mpenzi wako ilivyotamu,imetoka kwenye wallet,kwanza Hadi inanukia kiharufu kizuriiiiii sio Kama ya vikoba inanukia maandazi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ya mwanaume tamu unaichukua unaitumia unavyotaka haiumi, ya vicoba sasa machungu ya kupanda hisa na marejesho hamu yote inakata ya matumizi
 
Imagine unaambiwa baby hebu chukua hii ya mahitaji yako 😀😀famasihara nini
Wanawake mko tofauti sana na sisi, sijui mkoje, yaani mna-fantasize kabisa kupewa hela na mwanaume..

mfano eti kama mm ni-fantasize kupewa hela na mke ntakaemuoa, badala ya ku-fantasize akiwa uchi atakuaje, mbona ajabu hii Amehlo Joannah Leejay49
 
Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.

Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.

But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.

Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.

Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.

Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.
Funga Omba Omba kwa Mungu.Ili apate mume sahihi.Ruhusu mpango wa MUNGU ufanye kazi sio wewe mwanadamu
 
Back
Top Bottom