malikia balqiis
Senior Member
- Apr 28, 2023
- 118
- 189
Mwanaume anaekupenda kwa dhati siku zote anakuwa haeleweki.. ukiona umemuelewa mwanaume wako jua hayo mahusiano yenu yatavunjika muda si mrefuMambo zenu naiman mko Poa naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi Yan nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake ??
Njoo malikia balqiis nikuoneshe namna tunavyopenda, sie wanaume na tunavyo treat baby wazuri kama wewe.. tuwe wapenzi hata wiki tu bila dozeeeMambo zenu naiman mko Poa naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi Yan nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake ??
Duuuuh anakua aeleweki kvp embu Nambie vzrMwanaume anaekupenda kwa dhati siku zote anakua haeleweki.. ukiona umemuelewa mwanaume wako jua hayo mahusiano yenu yatavunjika muda si mrefu
Hahahhaaaaa mi nataka wa kudimu nae sio wa show off nimechoka usinglenjoo malikia balqiis nikuoneshe namna tunavyopendaa sie wanaune na tunavyo treat baby wazuri kama wewe.. tuwe wapenzi hata wiki tu bila dozeee
Yote hayo ubatili mtupu,njoo kwangu yaisheMaana Kuna mkaka annaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu anamwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kw sabbau anamahusiano yake Sasa najiuliza uyo ananipendaje kw mfano kama sio tamaa?? Kw Sasa mwanamke wake amesafir yeye ananiambia eti nisichzee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu mana moyo Wangu unasita kumkubali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila iyo kaka ameanz akunifatilia miaka miwili Mpk Sasa ajakata tamaa Yan anawapenz wake lakn Bado akili yake inaniwaza Mimi nashindwa kuelewa nahisi ni tamaa TU ingawa yeye anasema eti ananipendaYote hayo ubatili mtupu,njoo kwangu yaishe
Miaka hiyo kashidwa,itakua ana sound za kizamani,tumkomoe njoo nikuoe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila iyo kaka ameanz akunifatilia miaka miwili Mpk Sasa ajakata tamaa Yan anawapenz wake lakn Bado akili yake inaniwaza Mimi nashindwa kuelewa nahisi ni tamaa TU ingawa yeye anasema eti ananipenda
Sisi hatueleweki wewee. Tunaweza kukuonyesha Kila kitu Ili tupate tu Prrr mpaka Maka (utelezi), baada ya hapo hakuna color utaacha onaMambo zenu naiman mko Poa naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi Yan nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake ??
Iyo ni avaty tu usije kuwa twisted ukajia ndo mwandishinjoo malikia balqiis nikuoneshe namna tunavyopendaa sie wanaune na tunavyo treat baby wazuri kama wewe.. tuwe wapenzi hata wiki tu bila dozeee
π€£π€£ huyu haelewagi, hadi akutane na pisi inamfanana JOASH ONYANGOIyo ni avaty tu usije kuwa twisted ukajia ndo mwandishi
Love is self expression. Hii inawezekana isiambatane na ukabila pia. Although nimempenda ulivyoweka point of start to think in particularity...... Muhimu huyu dada ajue kwamba no single way of expressing our feelings.As if wanaume wote kabila moja?
Mkuria na mzaramo wakiwa in love na mwanamke wanafanana??
πππ tunaweza kuwa wa kudumu pia.. kila kitu si maelewano tuHahahhaaaaa mi nataka wa kudimu nae sio wa show off nimechoka usingle
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] karibu mwayaMiaka hiyo kashidwa,itakua ana sound za kizamani,tumkomoe njoo nikuoe