Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Kila mmoja anaestaili yake mimi ya kwangu nikimpenda demu sana sitaki ajue kama nampenda nikianza kumpa salam sahivi kesho au baadae ni zamu yake kuanza kunitafuta yeye akinikaushia tutamaliza wiki hatutafutani, anaweza kufikiri simpendi kumbe nampenda kinoma ila suala la kuwa mtumwa ndo sitaki
Ahaaa kumbe Kwaio Kuna wanaume weñgine awapendi kujionesha mapenzi yao
 
Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.

Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Usinase kwenye huo mtego kipenzi. Mwanaume ambaye bado hajakulala anakuwa msweet sana. Anaongea vizuri, anajua kufanya mawasiliano mazuri. Baby baby nyiiingi mara skukumbushe kuhema mara akukumbushe kumeza mate. Ukutumia hisia unasikia raha sana na unaona umepata ila mara ukiingia kwenye mtego wake [emoji23][emoji23][emoji23]hautaamini kama ni yeye.
 
Uwiii sio yule aliyekuwaga Songea teaching college Sasa kahamia Mbeya? Ni muongo yule kaka anaweza kukufanya ukahiona unapendwaa Dunia nzima upo wewe tu kumbe kawapanga kila mkoa.Kimbia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jaman anaitwa nani uyo kaka wa songea??
 
Usinase kwenye huo mtego kipenzi. Mwanaume ambaye bado hajakulala anakuwa msweet sana. Anaongea vizuri, anajua kufanya mawasiliano mazuri. Baby baby nyiiingi mara skukumbushe kuhema mara akukumbushe kumeza mate. Ukutumia hisia unasikia raha sana na unaona umepata ila mara ukiingia kwenye mtego wake [emoji23][emoji23][emoji23]hautaamini kama ni yeye.
Ndio mana moto Wangu umegoma.kukubali aisee
 
Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.

Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Kwisha habari yako,ushapenda

Hakuna tutakachosema utaelewa
 
Mi sijui Nina hitilafu kichwani,ila wakati namwaga mistari,mtoto akinikubali naweza kuchati nae hata mesji buku,kuna siku nliprove zilikuwa 1200,Ila Ile mizuka ya kuchati huishiaga lodge after minyanduo.Nitakuwa nimelogwa?
 
Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.

Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Ukishaliwa kichwa ndo utaelewa kama anakupenda ama la sasa uamuzi ni wako
 
Mtu anaishi na sogea tukae, haujawahi ona wamegombana na bado anakutaka wewe... Hapo dada jiandae kwa haya matatu
~kuliwa harafu uachwe
~kuvuruga nyumba ya watu uishie kurogwa, na
~kuchukua jimbo harafu ujiandae kufanyiwa ulivyomfanyia sogea tukae wake
 
Back
Top Bottom