Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

🎶🎶🎶🎶 Usibane bane Sana utazikwa nayo 🎶🎶🎶🎶
 
Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.

Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Ooh kumbe, ñjoo p mara moja nikufinye skio
 
Huyo hakufai, niamini mimi... Kuna mwamba mmoja alimfukuzia dada angu (family friend), tokea 2015 mpaka 2020 (wakati wa korona).
Alipopata utalezi huwezi amini mpaka leo huyo dada anajilaumu kuigawa bikra yake kizembe
Eti eh ndo mana moyo wangu unagoma kumkubali mana tabiazake sizielew mana tayari anamahusiano yake
 
Ahaaa kumbe Kwaio Kuna wanaume weñgine awapendi kujionesha mapenzi yao
yeah baadhi tukipenda hatutaki kuonyesha mapenzi maana demu akijua unampenda sana anaanza kuleta mapicha picha kwahiyo nakupenda ila haifikii nijitoe thamani hadi niwe mtumwa nikikutafuta inabdi unitafute pia ila nikiona Mimi ndo nimekutafuta mara mbili we hujanitafuta hata mara moja naweka mikausho mikali.

kwa demu ninae mtamani tu naweza kujishusha sana nikamuigizia upendo wa kila namna ili nipate nachotaka baada ya hapo nambadilikia(japo mi siyo mambo yangu hayo)
 
Back
Top Bottom