malikia balqiis
Senior Member
- Apr 28, 2023
- 118
- 189
- Thread starter
- #81
Hahahhaa ww je hauna mwanamke mana wanaume nyie sinaga Imani n anyie kabisahuyo achana nae malikia balqiis .. mie nitakuwa kwa ajiri yako [emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhaa ww je hauna mwanamke mana wanaume nyie sinaga Imani n anyie kabisahuyo achana nae malikia balqiis .. mie nitakuwa kwa ajiri yako [emoji4][emoji4]
🫣🫣🫣🫣🫣🫣Hahahhaa ww je hauna mwanamke mana wanaume nyie sinaga Imani n anyie kabisa
Vyote kw pamojaaaWw unataka ndoa au upendo?
Wamefanyaje dearWasukuma bhana.....[emoji1751]
Nafikiri utulie kwanza...ila kama unaharaka Muulize Mungu atakujibu kwa usahihi zaidi.Vyote kw pamojaaa
Napenda mambo yenu.Wamefanyaje dear
msukuma wa wapi weweHeee kumbeee mwanagaloka ingawa sijui kisukuma usinicheke nimekalili mwanagaloka tu
Akili zenu mnazijua wenyewe, aisee[emoji23][emoji23][emoji23]. Kwaiyo huoni logical error kwenye mawazo yako[emoji23][emoji23][emoji23]Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Hujagoma bali umestuck, tafsiri ya kugoma sio hiyo. Sasa mtu anataka afanye cheating kupitia wewe na ukarifikiria. Sijui ila wadada mnaakili zenu, nimeona wengi lakini[emoji23][emoji23][emoji23] mpo hivyohivyo.Ndio mana moto Wangu umegoma.kukubali aisee
Hahahaha kweli kazi mnayo,hivi hizo akili mnazifungiaga kwenye makabati?Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Nauwezi amini ndivyo wanavyofikiriaga sasa najiuliza hivi wanawake wameumbwaje, yaani they see danger but choose to ignore ili tu walifikie jambo fulani ambalo akifika anakuwa kashaumizwa na kupopolewa vya kutosha.Hahahaha kweli kazi mnayo,hivi hizo akili mnazifungiaga kwenye makabati?
Yaani wewe unamuona kabisa mwenzio ameshanyolewa ila unahaha kutafuta pakutia na wewe nywele zako maji uende ukanyolewe?nikusema yupo mwanamke mwenzako amezalishwa na huyu bwana then anakushawishi na wewe akuzalishe (probably ndiyo kitakachotokea) but still unataka uambiwe kama umkubali au umkatae?
Nilitegemea nione ukiomba ushauri namna ya kwenda kuokoa mahusiano ya mwanamke mwenzako.
Nitafute tuyajenge hautojuta.Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Kw taarifa Yako mi sijamkubali nongekua nania ya kuvunja mahusiano Yao ningemkubali mkaka miwili nyuma uoni miaka yote ito ananisumbua namkataa Sasa nongekua nania ya kuharibu mahusiano Yao SI ningayaharibu TU usiazan Kila MTU anapenda kuharibu mahusiano ya watuHahahaha kweli kazi mnayo,hivi hizo akili mnazifungiaga kwenye makabati?
Yaani wewe unamuona kabisa mwenzio ameshanyolewa ila unahaha kutafuta pakutia na wewe nywele zako maji uende ukanyolewe?nikusema yupo mwanamke mwenzako amezalishwa na huyu bwana then anakushawishi na wewe akuzalishe (probably ndiyo kitakachotokea) but still unataka uambiwe kama umkubali au umkatae?
Nilitegemea nione ukiomba ushauri namna ya kwenda kuokoa mahusiano ya mwanamke mwenzako.
Soma vzr marlezo yangu umekurupuka kulaumu mi sijamkubali uyo MTU ningekua nimemkubali nisingeleta hii mada Apa acha makasiriko nduguHahahaha kweli kazi mnayo,hivi hizo akili mnazifungiaga kwenye makabati?
Yaani wewe unamuona kabisa mwenzio ameshanyolewa ila unahaha kutafuta pakutia na wewe nywele zako maji uende ukanyolewe?nikusema yupo mwanamke mwenzako amezalishwa na huyu bwana then anakushawishi na wewe akuzalishe (probably ndiyo kitakachotokea) but still unataka uambiwe kama umkubali au umkatae?
Nilitegemea nione ukiomba ushauri namna ya kwenda kuokoa mahusiano ya mwanamke mwenzako.
AsanteNapenda mambo yenu.
MmmmhNitafute tuyajenge hautojuta.
Kw taarifa Yako mi sijamkubali nongekua nania ya kuvunja mahusiano Yao ningemkubali mkaka miwili nyuma uoni miaka yote ito ananisumbua namkataa Sasa nongekua nania ya kuharibu mahusiano Yao SI ningayaharibu TU usiazan Kila MTU anapenda kuharibu mahusiano ya watu
Tatizo lako ume-panic.Soma vzr marlezo yangu umekurupuka kulaumu mi sijamkubali uyo MTU ningekua nimemkubali nisingeleta hii mada Apa acha makasiriko ndugu