bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Pesa ya mwanaume inakuwa Sio ngumu kutoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Bado sijamkubali moyo wangu hautaki kumkubali yeye ndo Bado ananibembeleza ila moyo wangu umekua mgumu kabisa ni miaka miwili Sasa ajachoka kuniapproachMtu anaishi na sogea tukae, haujawahi ona wamegombana na bado anakutaka wewe... Hapo dada jiandae kwa haya matatu
~kuliwa harafu uachwe
~kuvuruga nyumba ya watu uishie kurogwa, na
~kuchukua jimbo harafu ujiandae kufanyiwa ulivyomfanyia sogea tukae wake
kweli malikia balqiis 😉😉😉 nitakupenda hadi uchanganyikiweHahhahaa atakae uwin moyo wangu tunakula pilau[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaah! Ngoja mi nianze mdogomdogo...Hahhahaa atakae uwin moyo wangu tunakula pilau[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahhaa ushaanz akutoa ahadi wakata Bado ata ujaniona ata kw sura jaman we kaka[emoji23][emoji125][emoji125]kweli malikia balqiis [emoji6][emoji6][emoji6] nitakupenda hadi uchanganyikiwe
Nakuona nakuona😊😊😊 tunaweza kuwa wa kudumu pia.. kila kitu si maelewano tu
Mi mchoyo wa mbususu nae anasema eti atanioa lakn mpk nimepe mbususu NAMI nimegoma kumpa kabisa Kwaio saiv Kila siku ananisifia ooh we dada tabia zako nzur sanaMpe mbususu hiyo uone anakuaje after hapo!!
kuhusu face usijali.. mambo ya sura na umbo mambo ya watoto hayo. sie watu wazima tunaangalia moyo wa mtuHahahhaa ushaanz akutoa ahadi wakata Bado ata ujaniona ata kw sura jaman we kaka[emoji23][emoji125][emoji125]
Jaribu uone Utakavyopigwa na kitu kizito.Maana Kuna mkaka anaifatilia mwaka wa pili Sasa lakn sijamkubali analalamika ananipenda lakn Cha ajabu ana mwanamke wake wameshazaa na wanaishi sogoea tukae lakn Sasa mi nashindwa kumkubali kwasabbau ana mahusiano yake.
Sasa najiuliza huyo ananipendaje kwa mfano kama sio tamaa?? Kwasasa mwanamke wake amesafiri yeye ananiambia eti nisichezee bahata yeye Bado hajaoa lakn ushaur wenu maana moyo Wangu unasita kumkubali
Hahahha eti eh hongera kw kujitambua [emoji23][emoji23][emoji23]kuhusu face usijali.. mambo ya sura na umbo mambo ya watoto hayo. sie watu wazima tunaangalia moyo wa mtu
Mie nimekupenda tu , namna maandishi yako yalivyo unaonekana huna baya mtoto mzuriHahahha eti eh hongera kw kujitambua [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbeeee???Anakuwa bwege
za jioni mpendwaa 😊😊.u
Nakuona nakuona
Unaupiga mwingi.
Kabisa Yan Niko peace sana msukuma mieMie nimekupenda tu , namna maandishi yako yalivyo unaonekana huna baya mtoto mzuri
Huyo hakufai, niamini mimi... Kuna mwamba mmoja alimfukuzia dada angu (family friend), tokea 2015 mpaka 2020 (wakati wa korona).Mimi Bado sijamkubali moyo wangu hautaki kumkubali yeye ndo Bado ananibembeleza ila moyo wangu umekua mgumu kabisa ni miaka miwili Sasa ajachoka kuniapproach
The real meaning ya "Sky is the limit" ndio utaiona hapo.Mambo zenu, naimani mko poa! Naombeni mnambie mwanaume akimpenda mwanamke anamtreat vipi yaani nataka kujua mwanaume akiwa in love na mwanamke anakuaje tabia zake??
Na mie msukuma jamani.. tupo kabila moja kabisaa 😊Kabisa Yan Niko peace sana msukuma mie