witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Tanasha kawa mtamu sana[emoji91][emoji91]Apunguze saizi ya hips iendane na mwili tanasha Dona mchina wake kamweka kapendeza ukichangia na uzuri wa sura tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanasha kawa mtamu sana[emoji91][emoji91]Apunguze saizi ya hips iendane na mwili tanasha Dona mchina wake kamweka kapendeza ukichangia na uzuri wa sura tena
Hii ni kweli kabisa[emoji848][emoji848]Kuna mdada mmoja nilisikia akisema "hapa mjini ukitaka usifilw#*@ tafuta pesa" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama Lora ni nani?Nadhani hizo story na kupanuka maumbile ndio huwadaganya wengi humu. Mama lola naye kazaa kwa kisu pia
Afuu magumu hayo[emoji848]Hivi sajari ni sh ngapi kwani, nami nipitishe bakuli humu nikapunguze kitambi....
Ila makalio ya surgery sijui yanakaaje ni kama mtu amevaa pampas kweli, tena bora kuyaona kwenye nguo tu sio avue
Cappuccino?Nasikia na poda kama kawa
YeahCappuccino?
Wachache ndio yanakaa vizuri wengi naona hamna kitu....hata blackchyna yamekaa vibayaaAfuu magumu hayo[emoji848]
Alifunga ndoa kabisa[emoji848]Jamaa alimvisha hadi Pete yule mnaijeria
Aliseremaaa alijaaaa sereme seremaaaa, Witty serema 😁Hii ni kweli kabisa[emoji848][emoji848]
Nini kilifanya ndoa ikafa, ila wa Nigeria huwa ni matapeli huwa wanaenda kuoa kwaoAlifunga ndoa kabisa[emoji848]
Tunda anaitwa mama lolaMama Lora ni nani?
Aisee huyo Dr kampatia kuliko hata makalio ya kina kadashianTanasha kawa mtamu sana[emoji91][emoji91]
Hivi tatizo ni kumuambukiza dogo?Hiyo ndio yenyewe, usalama ni operation...
Surgery went wrong [emoji1745][emoji1745]Wachache ndio yanakaa vizuri wengi naona hamna kitu....hata blackchyna yamekaa vibayaa
[emoji16][emoji16][emoji16]Aliseremaaa alijaaaa sereme seremaaaa, Witty serema [emoji16]
For sureAisee huyo Dr kampatia kuliko hata makalio ya kina kadashian
Madhara lazima yapoHaina madhara
Chance ya kuambukiza inakua kubwa, na hiyo kubleed pia, hivo njia salama zaidi ni operationHivi tatizo ni kumuambukiza dogo?
Na kutoka damu nyingi? Au?