Mwanaume aliye kwenye mahusiano na Poshy Queen atakuwa na pesa nyingi

Mwanaume aliye kwenye mahusiano na Poshy Queen atakuwa na pesa nyingi

Dimpo imekaa kama kakikombe cha kunywea kahawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].kweli fake huwa ni fake tu
Screenshot_20210819-101637_1.jpg
 
kama ndo ivyo basi wanawake wengi wangekua na majumba mana wanazo wengi sana
Wanaume kuna kitu zaidi ya hizo hips, shosti tukubali tu wanawake tumezidiana "kuna wenye mashine mnato, yani baba akiingia na kutoka kuna kasauti kanalia duu, duu," hapo mwanaume hata hati ya nyumba anakupa.
 
Ni Kweli wana hela za kuchezea.
Mimi ningekua mwanaume mahips yamechongoka kama sinia za sele bonge nisingepoteza hata mbuni yangu
Wanaume tumeumbwa kupenda kuangalia uumbaji japo kila mtu ana kitu anapenda kuangalia 😄😄 inawezekana huyo jamaa kaona hizo hipusi 😄😄
 
Kaweka dimples hata hazijawa nzuri, kabadili meno tako na nyonyo jinsi huwa naona madhara kupitia kipindi cha botch acha nibakie kuwa natural tu
Kumbe unawachekigi wale marafiki wawili Dr nasif na Dr Dubrow wako vizuri sana kama umebolonga au haiwezekani wanakwambia ukweli hawana njaa. Napenda wanavyotaniana 😄😄
 
Hizi takwimu za wadada kuingiliwa kinyume na maumbile, nahisi watu wanazikuza kuliko uhalisia wenyewe, wadada wanaoingiliwa kinyume na maumbile, hawazidi 5% ya population yote ya wanawake cariha Evelyn Salt
No research no right to speak.... Ungekua mtu wa viwanja ndo ungeelewa jinsi hawa dada zetu walivyoamua kurasimisha mpalange kama njia halali
 
Back
Top Bottom