Hako bila kumfumua rinda mechi kwake hainogi plus bangi...kuna washkaji wawili chunga wote wanatoa story hizo mpka nkawa namuonea huruma umri huo...akija kufika 30 njia zote size moja
Ni Nani huyo ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hako bila kumfumua rinda mechi kwake hainogi plus bangi...kuna washkaji wawili chunga wote wanatoa story hizo mpka nkawa namuonea huruma umri huo...akija kufika 30 njia zote size moja
Kaongeza tako kapendeza size ndogo maana alikuwa na flat screen, na mobeto kaongeza tako limezidi ukubwa kawa kama anavaa pampas iliyojaa
Ndio maana Vera kasha book kuzaa kwa operation
😂😂😂😂Ila nnya mbona hainaga uhusiano na hayo mambo.
Watakua na mengine, mi nadhani ni kale kaugonjwa kalikokaa pabaya
Poshikwini,sanchiwodi na verasindika.....KAVIGELOZ.
Uwoya n sanchi wanatoka kijiji kimoja,yani dada zangu wanauza mbunye tu na kwao uwezo upo
Wengi wanaaminishwa kuzaa kwa kawaida eti kuharibu huku mbele kitu ambacho sidhani ka ni kweli maana operation ifanyike kwa emergency sana sasa hawa wanachagua, pia watoa mtandao pendwa ni wengi maybe wanaogopa
Tanasha kawa mtamu sana[emoji91][emoji91]
Maua kilema,jimbo la vunjoDah Kijiji gani hicho kilichotupa ma legend hawa wawili?
Afuu magumu hayo[emoji848]
Hizi takwimu za wadada kuingiliwa kinyume na maumbile, nahisi watu wanazikuza kuliko uhalisia wenyewe, wadada wanaoingiliwa kinyume na maumbile, hawazidi 5% ya population yote ya wanawake cariha Evelyn Salt
Wengi hujidaganya hivo ila kwa mpalange na hyo makulanga ni sababu kubwa ya kukimbilia operationKuzaa kwa kawaida hakuharibu njia hata kidogo,wengi wana opt kisu may be kwa mpalange pameharibika hivyo wanaogopa fedheha , wengine kama anavyosema Sister Eve kwamba Malukanga yametamaladi wanaepusha kumuambukiza mtoto.
Dadavua mkuu maana ndio tumefundishwa hvoBongo kwa kasumba bana, badilikeni bana
Siuelezee in deep na sio kuita ujinga na wewe mhhhh. Umbeya tuBongo ujinga mwingi
Sawa mkuuMobeto kaengeza mashabiki aisee, Lile tako limemfanya atuteke akili wengi bana
Aah wapi yanakaa vibaya, tena wanaowekewa hizo silicone sijui ndio kabisa yanakua kama wamevaa pampers.TAKO TAKO tu alienalo analo, hata kama la kichina lakini si kukosa kabisa
Hivi ni kweli Vanessa ana mtotoKwa mnigeria usiweke yamini[emoji849][emoji848]
The same to Vanessa mdee..kilio chake chaja
Halafu anamficha mtoto sasa ili iweje[emoji57]