faraja ya moyo
Member
- Apr 20, 2022
- 23
- 31
Jinsia: Kike
Umri: 33
Dini: Mkristu/ mkatoliki
Elimu😀egree level
Kazi: Muajiriwa+mjasiliamali
Sifa za mwanaume anayehitajika
Awe anajitambua(ninj afanye kwa wakati gani, kwa nani, wapo na kwa sababu gani)
Awe mkatoliki
Awe muelewa
Awe na huruma
Asiwe mbinafsi
Asiwe msiri
Awe muwazi kwa kila jambo hata kama kakosea
Asiwe mlevi
Akiwa mwajiriwa wa serikali (sector ya afya) itapendeza but si lazima
Awe ameshamaliza kula ujana na yupo tyr kwa kuwa na familia
Umri: 36-40
Umri: 33
Dini: Mkristu/ mkatoliki
Elimu😀egree level
Kazi: Muajiriwa+mjasiliamali
Sifa za mwanaume anayehitajika
Awe anajitambua(ninj afanye kwa wakati gani, kwa nani, wapo na kwa sababu gani)
Awe mkatoliki
Awe muelewa
Awe na huruma
Asiwe mbinafsi
Asiwe msiri
Awe muwazi kwa kila jambo hata kama kakosea
Asiwe mlevi
Akiwa mwajiriwa wa serikali (sector ya afya) itapendeza but si lazima
Awe ameshamaliza kula ujana na yupo tyr kwa kuwa na familia
Umri: 36-40