Mwanaume aliye tayari kwa ndoa anahitajika

Mwanaume aliye tayari kwa ndoa anahitajika

Mkuu Hr01 Pita huku.
36 nitakuwa nachukua PhD anyway kila kheri...
 
AMEEEN NA UBARIKIWE PIA NA YULE WIFI ETU YULE..

mzabzab mume mtarajiwa naomba uhusike na maneno ya hapo chini
Asante mamie yule shemaji yako ninaendelea nae vizuri ingawa kuna vangarati moja kubwa ilijitokeza yakuweza kusababisha mahusiano yake na yangu kufa
 
Asante mamie yule shemaji yako ninaendelea nae vizuri ingawa kuna vangarati moja kubwa ilijitokeza yakuweza kusababisha mahusiano yake na yangu kufa
Oooh jamanj..but i hope jini kivuruge hakufanya yake..Mungu awalinde
 
Zipo nyingi sana, but siwezi weka public
Mimi naamini Mungu atakusaidia utapata mwanaume sahihi wa maisha yako lakini pia anaweza asiwe na sifa zote hizo ulizoandika Cha msingi umuombe Mungu pamoja na kutoa sadaka ikiwa imebeba maombi yako Mungu ni msikivu atajibu maombi yako soma Mathayo 7:7
 
Oooh jamanj..but i hope jini kivuruge hakufanya yake..Mungu awalinde
Asante bibie kuna mpuuzi mmoja jirani yangu ndio alisababisha yote hayo kwa tabia yake ya uswahili na kufuatilia mambo yasiyomuhusu
 
Mimi naamini Mungu atakusaidia utapata mwanaume sahihi wa maisha yako lakini pia anaweza asiwe na sifa zote hizo ulizoandika Cha msingi umuombe Mungu pamoja na kutoa sadaka ikiwa imebeba maombi yako Mungu ni msikivu atajibu maombi yako soma Mathayo 7:7
Ameen, ubarikiwe mpendwa
 
Back
Top Bottom