TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Yaani ni sawa uweke tangazo:Zipo nyingi sana, but siwezi weka public
"Natafuta mnunuzi wa gari... mnunuzi ninaemtaka lazima awe na hela, awe na leseni class C, awe hajawahi kupata ajali, awe na uwezo mzuri wa kuona, asiwe mlevi nk. Mwenye sifa hizo aje dm, taarifa za gari siwezi kuziweka public" 😀