Binafsi ninaumia Sana kusoma nyuzi bila kuona comment yako huwa unanifurahisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi ninaumia Sana kusoma nyuzi bila kuona comment yako huwa unanifurahisha sana
May labda nafasi ipo wazi kwa Mywaji manake Mnywaji na mlevi ni watu wawili tofauti kwa mujibu wa watu wa masanga.Awe mkatoliki halafu sio mlevi!!! How?
😂😂Binafsi ninaumia Sana kusoma nyuzi bila kuona comment yako huwa unanifurahisha sana
Wewe umejua kutafsiri vizuri vip kwani Mr van yeye yuko kwenye nafasi gani kwenye hizo mbiliSi wanadai kuna mnywaji na mlevi. Au sio😁
Ah wee unataka kunichukulia goma langu....acha kuingilia mipaka huyu tayari ni mke wangu mtarajiwaBinafsi ninaumia Sana kusoma nyuzi bila kuona comment yako huwa unanifurahisha sana
Mume mtarajiwa relaaaax...huyo hana madhara hata kidogo😊Ah wee unataka kunichukulia goma langu....acha kuingilia mipaka huyu tayari ni mke wangu mtarajiwa
Oooh kumbe!May labda nafasi ipo wazi kwa Mywaji manake Mnywaji na mlevi ni watu wawili tofauti kwa mujibu wa watu wa masanga.
Na wewe vip utaki Mume au huamini kwenye Jf? au unasubiri Mungu akupatie😂😂
Ahsante sana mpendwa wangu
Kumbe![emoji28]Si wanadai kuna mnywaji na mlevi. Au sio[emoji16]
Ah wee hawa ndio wale ambao baadae unakuta mnaanza kupiga story za ukubwa wa m.booo. sitaki ya ikute ya yule jamaaa,🤣🤣🤣🤣🤣Mume mtarajiwa relaaaax...huyo hana madhara hata kidogo😊
Ah wee mambo hayo mie naachana nayo ndio maana nakutaka wewe tutulie zetu😂😂😂😂 Am not bwagaring you..nakupa choice tofauti..huwezi jua huko mbeleni atakua msaidizi wangu..🤣🤣
Mimi mume nimeshapata bado baraka za Mungu tu hapaNa wewe vip utaki Mume au huamini kwenye Jf? au unasubiri Mungu akupatie
Haha..nilikua nakuangalia tu..ungekubali mambo yangeisha hapahapa😂😂Ah wee mambo hayo mie naachana nayo ndio maana nakutaka wewe tutulie zetu
Wee jiandae tuu kuitwa mrs mzabzabHaha..nilikua nakuangalia tu..ungekubali mambo yangeisha hapahapa😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Stori stori mara ..kituuuu..basi usihofu mume mtarajiwa naacha kabisa mazoea na huyo jirani yanguAh wee hawa ndio wale ambao baadae unakuta mnaanza kupiga story za ukubwa wa m.booo. sitaki ya ikute ya yule jamaaa,🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera Sana Mungu akusaidia uwe mke mwema kwake lakini pia jitahidi umuombe Mungu huo jamaa yako awe Mume Bora kwako na asiweze kubadilika kitabia akuone wewe pekee asione mwanamke mwingine.Mimi mume nimeshapata bado baraka za Mungu tu hapa
Wa kufa na kuzikanaWee jiandae tuu kuitwa mrs mzabzab
Eeh story mara oh kwani wee shem hujajaribu hii style...basi ngoja nikuonyeshe....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Stori stori mara ..kituuuu..basi usihofu mume mtarajiwa naacha kabisa mazoea na huyo jirani yangu