Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Baba Kisarii

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2024
Posts
1,844
Reaction score
3,089
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.

Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.

Wanaume tuache ujinga.

1715588126740.jpg
 
Malaya ni malaya tu

Hakuna mke/mpenzi hapo

Hayo mavazi ni kwa ajili ya kutafuta attention za wanaume

Tayari ana mwanaume anavaa hivyo kwa ajili ya nani?

Kama sio umalaya ni nini?

Anyway kwenye hiyo picha naona lesbians wawili wakiingia ukumbini
 
Nafikiri mngeitafuta logic nyuma ya hiyo picha kabla hamjasema yote.

Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi (ya mfanyakazi mwenzao pale Yanga) ndipo huyo dada (pichani) akashinda kwa kura nyingi, ndio akahudhuria nae kama mnavyoona.

Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
 
Mwenye mke kaona sawa tu,wewe unapata wapi nguvu ya kusema jambo??

By the way nimezoom picha ili namimi NIIONE lakini sijaona kitu,sijui ni kuzeeka nimeanza kutoona!!
 
Back
Top Bottom